Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mariado wanyakua ubingwa Airtel Rising Stars

 Katibu wa chama cha mpira wa miguu mkoa wa Arusha Adam Brown akikabidhi kombe la ubingwa kwa nahodha wa timu ya Mariado Munira Goda baada ya timu yake kuibuka bingwa wa michuano ya Airtel Rising Star, jana jijini ArushaTimu ya Mariado wakishangalia ubingwa kwa staili ya aina yake baada ya kuibuka mabingwa wa michuano ya Airtel Rising Star, Agosti 20 jana Arusha,
Na mwandishi wetu.Timu ya wasichana ya Mariado imefanikiwa kunyakua ubingwa wa mashindano ya vijana chini ya umri wa miaka 17 ya...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

GPL

MARIADO WANYAKUA UBINGWA AIRTEL RISING STARS‏

Katibu wa chama cha mpira wa miguu mkoa wa Arusha Adam Brown akikabidhi kombe la ubingwa kwa nahodha wa timu ya Mariado Munira Goda baada ya timu yake kuibuka bingwa wa michuano ya Airtel Rising Star, jana jijini Arusha Timu ya Mariado wakishangalia ubingwa kwa staili ya aina yake baada ya kuibuka mabingwa wa michuano ya Airtel Rising Star, jana jijini… ...

 

10 years ago

Michuzi

Airtel wakabidhi jezi kwa timu zitakazoshiriki michuano ya Airtel Rising Stars

Mwenyekiti kamati ya soka la vijana katika Shirikisho la Soka Tanzania (TFF),Ayubu Njenza (kushoto) akimkabidhi vifaa vya michezo katibu wa chama cha mpira wa miguu Wilaya ya Kinondoni,Isaac Mazwile kwaajili ya mashindano ya vijana chini ya umri wa miaka 17 ya Airtel Rising Stars, inayoanza tarehe 24 Julai mkoani Mbeya. katikati ni Afisa Uhusiano Airtel,Jane Matinde. Makabidhiano hayo yalifanyika leo jijini Dar-es-Salaam. Mwenyekiti kamati ya soka la vijana katika Shirikisho la Soka...

 

10 years ago

GPL

AIRTEL WAKABIDHI JEZI KWA TIMU ZITAKAZOSHIRIKI MICHUANO YA AIRTEL RISING STARS‏

Mwenyekiti kamati ya soka la vijana katika Shirikisho la Soka Tanzania (TFF),Ayubu Njenza (kushoto) akimkabidhi vifaa vya michezo katibu wa chama cha mpira wa miguu Wilaya ya Kinondoni,Isaac Mazwile kwaajili ya mashindano ya vijana chini ya umri wa miaka 17 ya Airtel Rising Stars, inayoanza tarehe 24 Julai mkoani Mbeya. katikati ni Afisa Uhusiano Airtel,Jane Matinde. Makabidhiano hayo yalifanyika jana jijini Dar-es-Salaam. ...

 

10 years ago

GPL

AIRTEL RISING STARS MBEYA

Ofisa Elimu wa Jiji la Mbeya Protas Mpogole akimkabidhi nahodha wa timu ya Mbaspo Academy Biva Stiven baada ya timu yake kuibuka bingwa wa michuano ya Airtel Rising Star, jana jijini Mbeya. Wachezaji wa timu ya Mbaspo Academy wakishangilia baada ya kuwa mabingwa katika michuano ya vijana chini ya umri wa miaka 17 ya Airtel Rising Stars. Michuano hiyo ilimalizika jana jijini Mbeya.… ...

 

11 years ago

GPL

AIRTEL YAENDESHA SEMINA ELEKEZI KWA VIONGOZI WA SOKA KWA AJILI YA KUJIANDAA NA MICHUANO YA AIRTEL RISING STARS 2014‏

Meneja Matukio wa Airtel Tanzania Rebeca Mauma akizungumza wakati wa semina elekezi ya Airtel Rising Stars iliyofanyika kwenye uwanja wa Taifa, Dar es Salaam mwishoni mwa wiki.
Baadhi ya washiriki wa semina elekezi ya Airtel Rising Stars wakifuatilia kwa makini moja ya mada zilizowasilishwa kwenye semina hiyo iliyofanyika uwanja wa Taifa, Dar es Salaam mwishoni mwa… ...

 

10 years ago

TheCitizen

Morogoro RC opens Airtel Rising Stars

Morogoro Regional Commissioner honourable Rajabu Rutengwe opened the U-17 Airtel Rising Stars in Morogoro yesterday and called on regional football association and the Tanzania Football Federation (TFF) to pay special attention to youth programmes.

 

10 years ago

GPL

VIJANA WATAKIWA KUJITUMA AIRTEL RISING STARS

Mkurugenzi wa IT wa Airtel Frank Filman akiongea wakati wa ufunguzi wa mashindano ya Airtel Rising Stars jana jijini Dar-es-Saam.…

 

10 years ago

GPL

WASICHANA WATOANA JASHO AIRTEL RISING STARS

Mchezaji timu ya soka ya wasichana ya Ilala Fatuma Salumu (Kushoto) akichuana na mchezaji wa timu ya Simba Queens Mwanaidi Hamisi katika michuano ya Airtel Rising Stars kwenye kiwanja cha kumbukumbu ya Karume jijini Dar es Salaam jana. Simba Queens walishinda 2 – 0. Mchezaji timu ya soka ya wasichana ya Ilala Fatuma Salumu (Kushoto) akiwania mpira na mchezaji wa timu ya Simba Queens Asha Abdul katika michuano ya Airtel...

 

9 years ago

Michuzi

WASHINDI AIRTEL RISING STARS DAR WATUNUKIA

 Mtendaji mkuu bodi ya ligi Boniface Wambura akimkabidhi Kombe nahodhawa timu ya Harmburg Queens Jamila Kassim baada ya kuwa mabingwa katikamichuano ya vijana chini ya umri wa miaka 17 ya Airtel Rising Starsmkoa wa kisoka wa Ilala. Hafla ya kukabidhi kombe ilifanyika janakatika uwanja wa Kumbukumbu ya Karume Jijini Dar-es-Salaam.  Mtendaji mkuu bodi ya ligi Boniface Wambura akimkabidhi Kombe nahodha wa timu ya Evergreen Linda Shilla baada ya kuwa mabingwa katika michuano ya vijana chini ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani