Masauni - Wahamiaji Haramu kusakwa kwenye ma-Gesti, Mahotelini
Na Mwandishi WetuSerikali imetangaza kuanza operesheni, doria na misako maalumu ya kuwasaka na kuwakamata wahamiaji haramu katika sehemu mbalimbali ikiwemo katika nyumba za kulala wageni, stesheni za mabasi, stesheni za reli, mahoteli, mialo ya uvuvi pamoja na maeneo yenye muingiliano wa shughuli za kibiashara hasa vijiji vinavyojishughulisha na shughuli za kilimo,makampuni binafsi na mashirika yasiyo ya kiserikali.Hayo yamesemwa na Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili19 May
EU kupambana na wahamiaji haramu
11 years ago
Tanzania Daima08 Jul
‘Msihifadhi wahamiaji haramu’
KIONGOZI wa mbio za mwenge wa uhuru, Rachel Kassanda, amewataka Watanzania kuacha tabia ya kuwahifadhi wahamiaji haramu, kwani kwa kufanya hivyo ni kuhatarisha amani na usalama wa nchi. Akizungumza baada...
11 years ago
Habarileo02 Jan
JK aonya wahamiaji haramu
RAIS Jakaya Kikwete ameonya wahamiaji haramu wanaorejea nchini baada ya Operesheni Kimbunga kumalizika na kusema kama wanafanya hivyo, wanajisumbua, hawatadumu nchini.
11 years ago
Tanzania Daima17 Aug
Wahamiaji haramu 21 wakamatwa
IDARA ya Uhamiaji mkoani hapa, imewakamata wahamiaji haramu 21 kutoka nchi ya Ethiopia walioingia nchini kwa kutumia roli la kubebea saruji katika eneo Mashujaa mjini Makambako. Naibu Kamishna wa Idara...
10 years ago
Habarileo29 Jan
Wakala wa wahamiaji haramu anaswa
MKAZI wa Mwanza aliyetambulika kwa jina la Sultan Said Ramadhani (31) maarufu kama Kusharunga, amekamatwa na Polisi kwa tuhuma za kusafirisha wahamiaji haramu kutoka Ethiopia.
10 years ago
Mwananchi15 Dec
Wahamiaji haramu 12 wanaswa Tanga
10 years ago
Habarileo29 Jun
Wahamiaji haramu 50 wazuiwa kujiandikisha
ZAIDI ya wahamiaji haramu 50 wanaoishi katika kijiji cha Tamau wilayani Bunda, mkoani Mara, akiwemo mwenyekiti wa kijiji hicho wamezuiwa kujiandikisha kwenye daftari hilo.
10 years ago
BBCSwahili10 Aug
Wanaowaajiri wahamiaji haramu kuadhibiwa
10 years ago
BBCSwahili24 Apr
Mikakati kupambana na wahamiaji haramu