Wahamiaji haramu 12 wanaswa Tanga
Polisi wilayani hapa imewakamata wahamiaji haramu 12 wenye asili ya Ethiopia wakiwa wamefichwa katika gari lililokuwa likielekea Dar es Salaam.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo29 Mar
Wahamiaji haramu 15 wanaswa vitambulisho vya taifa
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/uhamiaji-march29-2015.jpg)
Idara ya Uhamiaji mkoani Pwani imenasa majina 15 ya watu wanaodaiwa kuwa wahamiaji haramu waliojiandikisha kwenye Zoezi la Vitambulisho vya Taifa.
Afisa uhamiaji mkoani Pwani, Grace Hokororo, ameiambia NIPASHE kuwa tayari wamepata majina hayo ambapo hatua inayofuata ni kuwakamata na kuwahoji ili kupata uhalali wa uraia wao.
“Tutachukua maelezo yao tukiridhika kuwa si raia wa Tanzania tutawachukulia hatua za kisheria ikiwa ni pamoja na kuwapeleka...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ciywewNmzfo/XnVU8uKgzQI/AAAAAAALklk/nG3lxTS7miQyKwpOvhT8GFVXFOgBqnEJACLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
WAHAMIAJI HARAMU 51 TOKA ETHIOPIA WANASWA WILAYANI BAGAMOYO MKOANI PWANI
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Pwani Wankyo Nyigesa alithibitisha kutokea kwa tukio hilo, ambapo alisema wahamiaji hao walikamatwa majira ya saa 11 alfajiri Mach 19.
Wankyo alisema, watuhumiwa hao walikabidhiwa kwa vyombo vingine vya dola kwa taratibu za kisheria waweze kuchukuliwa hatua.
Mwenyekiti wa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-NuX3TFUlpjE/XnWq4LxCXBI/AAAAAAALkmU/55_g28YjvKc4HGXcykWXKOtUYkGS6SumQCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
WAHAMIAJI HARAMU WAPATAO 51 WANASWA WILAYANI BAGAMOYO MKOANI PWANI,WAPIMWA CORONA
JESHI la Polisi Mkoa wa Pwani limewakamata Wahamiaji haramu 51 walioingia nchini kupitia bandari bubu ya ya Makurunge Tarafa ya Yombo Wilayani Bagamoyo Mkoani hapa.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Pwani Wankyo Nyigesa alithibitisha kutokea kwa tukio hilo, ambapo alisema wahamiaji hao walikamatwa majira ya saa 11 alfajiri Mach 19.
Wankyo alisema, watuhumiwa hao walikabidhiwa kwa vyombo vingine vya dola kwa taratibu za kisheria waweze kuchukuliwa hatua.
Mwenyekiti wa...
10 years ago
Mwananchi31 Jul
Wahamiaji 2,000 wanaswa wakijiandikisha
9 years ago
BBCSwahili14 Aug
Wahamiaji 100 kutoka Asia wanaswa Uganda
11 years ago
Habarileo02 Jan
JK aonya wahamiaji haramu
RAIS Jakaya Kikwete ameonya wahamiaji haramu wanaorejea nchini baada ya Operesheni Kimbunga kumalizika na kusema kama wanafanya hivyo, wanajisumbua, hawatadumu nchini.
10 years ago
BBCSwahili19 May
EU kupambana na wahamiaji haramu
11 years ago
Tanzania Daima08 Jul
‘Msihifadhi wahamiaji haramu’
KIONGOZI wa mbio za mwenge wa uhuru, Rachel Kassanda, amewataka Watanzania kuacha tabia ya kuwahifadhi wahamiaji haramu, kwani kwa kufanya hivyo ni kuhatarisha amani na usalama wa nchi. Akizungumza baada...
10 years ago
Tanzania Daima17 Aug
Wahamiaji haramu 21 wakamatwa
IDARA ya Uhamiaji mkoani hapa, imewakamata wahamiaji haramu 21 kutoka nchi ya Ethiopia walioingia nchini kwa kutumia roli la kubebea saruji katika eneo Mashujaa mjini Makambako. Naibu Kamishna wa Idara...