Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wahamiaji haramu 15 wanaswa vitambulisho vya taifa

Afisa uhamiaji mkoani Pwani, Grace Hokororo
Idara ya Uhamiaji mkoani Pwani imenasa majina 15 ya watu wanaodaiwa kuwa wahamiaji haramu waliojiandikisha kwenye Zoezi la Vitambulisho vya Taifa.
Afisa uhamiaji mkoani Pwani, Grace Hokororo, ameiambia NIPASHE kuwa tayari wamepata majina hayo ambapo hatua inayofuata ni kuwakamata na kuwahoji ili kupata uhalali wa uraia wao.

“Tutachukua maelezo yao tukiridhika kuwa si raia wa Tanzania tutawachukulia hatua za kisheria ikiwa ni pamoja na kuwapeleka...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Wahamiaji haramu 12 wanaswa Tanga

Polisi wilayani hapa imewakamata wahamiaji haramu 12 wenye asili ya Ethiopia wakiwa wamefichwa katika gari lililokuwa likielekea Dar es Salaam.

 

5 years ago

Michuzi

WAHAMIAJI HARAMU 51 TOKA ETHIOPIA WANASWA WILAYANI BAGAMOYO MKOANI PWANI

NA VICTOR MASANGU, BAGAMOYOJESHI la Polisi Mkoa wa Pwani limewakamata Wahamiaji haramu 51 walioingia nchini kupitia bandari bubu ya ya Makurunge Tarafa ya Yombo Wilayani Bagamoyo Mkoani hapa.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Pwani Wankyo Nyigesa alithibitisha kutokea kwa tukio hilo, ambapo alisema wahamiaji hao walikamatwa majira ya saa 11 alfajiri Mach 19.
Wankyo alisema, watuhumiwa hao walikabidhiwa kwa vyombo vingine vya dola kwa taratibu za kisheria waweze kuchukuliwa hatua.
Mwenyekiti wa...

 

5 years ago

Michuzi

WAHAMIAJI HARAMU WAPATAO 51 WANASWA WILAYANI BAGAMOYO MKOANI PWANI,WAPIMWA CORONA

NA VICTOR MASANGU, BAGAMOYO
JESHI la Polisi Mkoa wa Pwani limewakamata Wahamiaji haramu 51 walioingia nchini kupitia bandari bubu ya ya Makurunge Tarafa ya Yombo Wilayani Bagamoyo Mkoani hapa.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Pwani  Wankyo Nyigesa alithibitisha kutokea kwa tukio hilo, ambapo alisema wahamiaji hao walikamatwa  majira ya saa 11 alfajiri Mach 19.
Wankyo alisema, watuhumiwa hao walikabidhiwa kwa vyombo vingine vya dola kwa taratibu za kisheria  waweze kuchukuliwa hatua.
Mwenyekiti wa...

 

10 years ago

Mwananchi

Vitambulisho vya Taifa vyalalamikiwa

>Kazi ya uchukuaji alama za vidole na picha kwa ajili ya vitambulisho vya Taifa, imeanza mjini Tanga na dosari kadhaa zimeripotiwa, ikiwamo wananchi kusota muda mrefu kwenye vituo.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Maisha ya kutekeleza amri ya kusalia ndani kwa wahamiaji haramu

Takribani wafanyakazi milioni 1 wasiokuwa na vibali Uingereza wanawasiwasi wa kutafuta msaada wakipata corona.

 

10 years ago

Habarileo

Milioni 6 waandikishwa vitambulisho vya Taifa

WATU zaidi ya milioni 6.1 wameshaandikishwa kwa ajili ya kupatiwa vitambulisho vya Taifa na kati yao milioni 2.5 wameshapatiwa vitambulisho tangu zoezi hilo lizinduliwe mwezi Februari 2013.

 

11 years ago

Mwananchi

Mchakato wa Vitambulisho vya Taifa uboreshwe

Mchakato wa kupatikana kwa vitambulisho vya Taifa unaoendelea jijini Dar es Salaam umeanza kuibua maswali kama kweli wananchi wote nchi nzima watakuwa wamepata vitambulisho hivyo kabla ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa mwakani na hata kabla ya Uchaguzi Mkuu mwaka 2015.

 

10 years ago

GPL

NIGERIA YAZINDUA VITAMBULISHO VYA TAIFA

Rais wa Nigeria, Goodluck Jonathan akiwa na mfano wa kitambulisho chake cha taifa. NCHI ya Nigeria imezindua mpango wa vitambulisho vya taifa hilo vya ki- elektroniki. Rais wa nchi hiyo, Goodluck Jonathan amekuwa mtu wa kwanza kupata kadi hiyo ya Biometric, baada ya kuipokea ameielezea kadi hiyo kuwa itarahisisha huduma za Kiserikali lakini pia kadi hiyo inao uwezo wa kufanya malipo mtandaoni. Rais Jonathan akitumia...

 

10 years ago

Mwananchi

Vitambulisho vya Taifa bado ni kitendawili

Tuliwahi kusema katika safu hii kwamba mpango wa Serikali wa kuandikisha wananchi ili kuwapatia vitambulisho vya Taifa hautafanikiwa kama matatizo yaliyokuwa yakigubika mpango huo hayangepatiwa ufumbuzi wa kudumu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani