MASAUNI ZIARANI SHULE YA POLISI MOSHI TANZANIA
![](https://1.bp.blogspot.com/-hxRbAKUXDp8/Xkg7aXbkBiI/AAAAAAALdg8/9yjPM1M0QzMeixGhpY21iSdEWrYM8I_QgCLcBGAsYHQ/s72-c/PIX-5-9-2048x1365.jpg)
Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni akizungumza na Kamishna Msaidizi Omar Khamis Omar (kulia) na Mkuu wa Uhamiaji Mkoa wa Kilimanjaro, Kamishna Msaidizi Mwandamizi, Tunu Ng’ondya wakati alipotembelea Shule ya Polisi Moshi Tanzania,mwishoni mwa wiki kufuatilia masuala mbalimbali katika shule hiyo inayofundisha fani tofauti zenye lengo la kuzuia na kupambana na uhalifu nchini.Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi
Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi,...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ezWWJSUhBVM/XmJa6dQAkKI/AAAAAAALhkE/PWZs6rlamtE9U2XuH9q11akUblFzasW9ACLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
IGP SIRRO AFANYA ZIARA YA UKAGUZI KATIKA SHULE YA POLISI MOSHI
![](https://1.bp.blogspot.com/-ezWWJSUhBVM/XmJa6dQAkKI/AAAAAAALhkE/PWZs6rlamtE9U2XuH9q11akUblFzasW9ACLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-LY-6CqEBRaU/XmJa6Ysd65I/AAAAAAALhkA/ycpZGCKv-YYnWAcCneLC31grjs6H6tA6ACLcBGAsYHQ/s640/2.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-HmVT-Elh97o/VXQEGQ4etQI/AAAAAAAAQoE/fYnLAyhZiJU/s72-c/DSCF5476%2B%2528800x600%2529.jpg)
MSTAHIKI MEYA WA MANISPAA YA MOSHI ,JAFARY MICHAEL ATOA MSAADA WA KOMPYUTA KWA SHULE YA MSINGI PASUA MJINI MOSHI
![](http://4.bp.blogspot.com/-HmVT-Elh97o/VXQEGQ4etQI/AAAAAAAAQoE/fYnLAyhZiJU/s640/DSCF5476%2B%2528800x600%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-9hDNwimkFyY/VXQEJkbuYRI/AAAAAAAAQoM/C3ZI1FGjYWw/s640/DSCF5477%2B%2528800x600%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-7Z2JyKI1NzU/VXQEMGrYqfI/AAAAAAAAQoc/rJ2Z2aYTzEk/s640/DSCF5479%2B%2528800x600%2529.jpg)
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-16SvSXGKJAY/VJWgoFwNpKI/AAAAAAAG4vE/8RyMq_0e5A4/s72-c/unnamed%2B(19).jpg)
Makalla alipokuwa ziarani mjini Moshi mkoa wa Kilimanjaro
![](http://4.bp.blogspot.com/-16SvSXGKJAY/VJWgoFwNpKI/AAAAAAAG4vE/8RyMq_0e5A4/s1600/unnamed%2B(19).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-mnEPiqq8ZVw/VJWhVq9FcPI/AAAAAAAG4vM/6Hh7QqprKTA/s1600/unnamed%2B(20).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-BU5zIfznL_g/VJWjmzqXxEI/AAAAAAAG4vY/r9PiXrr-Pwk/s1600/unnamed%2B(21).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-RxPaJvRXxtE/VJWjm4Ovi6I/AAAAAAAG4vk/9YX-hl5NRVM/s1600/unnamed%2B(22).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-gW7TTBC8eFU/VJWjm8tDYoI/AAAAAAAG4vc/ufi1ZNUD_Bg/s1600/unnamed%2B(23).jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-BW7QWHRAr90/XnEZisZl8AI/AAAAAAALkLc/JIH78QwUUvIHd90GjTfHYpmNriT7SreqQCLcBGAsYHQ/s72-c/PIX-1-6-768x512.jpg)
MASAUNI-POLISI ZINGATIENI MISINGI YA SHERIA KUDHIBITI UHALIFU
![](https://1.bp.blogspot.com/-BW7QWHRAr90/XnEZisZl8AI/AAAAAAALkLc/JIH78QwUUvIHd90GjTfHYpmNriT7SreqQCLcBGAsYHQ/s640/PIX-1-6-768x512.jpg)
Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi,Mhandisi Hamad Masauni akizungumza na wajumbe(hawapo pichani), wakati wa Ufunguzi wa Kikao cha Kumi na Mbili cha Baraza la Wafanyakazi wa Idara ya Jeshi la Polisi ambapo amelitaka jeshi hilo kuzingatia misingi ya sheria katika kudhibiti viashiria au matendo ya uhalifu katika kipindi cha kuelekea Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika mwishoni mwa mwaka huu.Ufunguzi wa kikao hicho umefanyika katika Ukumbi wa Bwalo la Maofisa wa...
5 years ago
MichuziMasauni - Polisi zingatieni Misingi ya Sheria kudhibiti Uhalifu
Serikali imelitaka Jeshi la Polisi kuzingatia misingi ya sheria katika kudhibiti viashiria au matendo ya uhalifu katika kipindi cha kuelekea Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika mwishoni mwa mwaka huu.
Hayo yamesemwa leo Machi 16,2020 na Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi,Mhandisi Hamad Masauni wakati akifungua Kikao cha Kumi na Mbili cha Baraza la Wafanyakazi wa Idara ya Jeshi la Polisi kilichofanyika katika Ukumbi wa Bwalo la Maofisa wa Polisi Oysterbay jijini Dar es Salaam.
“Napenda...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/uX0ODFdMLadgSo80x3*lr1KsZn0*IIvJ1WUgyXGLEL85UAG9Ky3UHnZ9avQMz98LWOIJoWQXw3p6FM91od7fWdkiNU8P7vDX/001.MAPAMBANO.jpg?width=650)
JESHI LA POLISI NA VODACOM TANZANIA WAENDELEZA MAFUNZO SHULE ZA MSINGI JIJINI
10 years ago
MichuziNAIBU INSPEKTA JENERALI WA POLISI AFUNGA MAFUNZO YA WAKAGUZIWASAIDIZI WA JESHI LA POLISI CCP-MOSHI
11 years ago
Mwananchi08 Jul
Wilaya ya Moshi na aibu ya shule kukosa vyoo
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-zDyuWz18pCQ/Uz544i1siBI/AAAAAAACeJo/IOg9x8Lxyeg/s72-c/pic+2.jpg.JPG)
Shule ya Motamburu Moshi yapata msaada wa vitabu toka Airtel
![](http://1.bp.blogspot.com/-zDyuWz18pCQ/Uz544i1siBI/AAAAAAACeJo/IOg9x8Lxyeg/s1600/pic+2.jpg.JPG)