Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MASAUNI ZIARANI SHULE YA POLISI MOSHI TANZANIA

Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni akizungumza na Kamishna Msaidizi Omar Khamis Omar (kulia) na Mkuu wa Uhamiaji Mkoa wa Kilimanjaro, Kamishna Msaidizi Mwandamizi, Tunu Ng’ondya wakati alipotembelea Shule ya Polisi Moshi Tanzania,mwishoni mwa wiki kufuatilia masuala mbalimbali katika shule hiyo inayofundisha fani tofauti zenye lengo la kuzuia na kupambana na uhalifu nchini.Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi
Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi,...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

IGP SIRRO AFANYA ZIARA YA UKAGUZI KATIKA SHULE YA POLISI MOSHI

 Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Simon Sirro akikagua eneo la uwanja wa mbinu za medani lililopo Halmashauri ya Wilaya ya Siha mkoani Kilimanjaro, leo 06/03/2020, IGP Sirro yupo mkoani humo kwa ajili ya ziara ya kikazi. Picha na Jeshi la Polisi Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Simon Sirro (wapili kulia) akitumia darubini kuangali wakati alipofanya ziara ya ukaguzi eneo la uwanja wa mbinu za medani lililopo Halmashauri ya Wilaya ya Siha mkoani Kilimanjaro, leo 06/03/2020, IGP Sirro...

 

10 years ago

Michuzi

MSTAHIKI MEYA WA MANISPAA YA MOSHI ,JAFARY MICHAEL ATOA MSAADA WA KOMPYUTA KWA SHULE YA MSINGI PASUA MJINI MOSHI

Msathiki Meya wa manispaa ya Moshi ,Jafary Michael akizungumza wakati wa kikao cha wazazi wa watoto wanaosoma katika shule hiyo.Mstahiki Meya wa manispaa ya Moshi Jafary Michael akimkabidhi mwenyekiti wa Shule ya msingi Pasua Shabani Machivya msaada wa Kompyuta kwa ajili ya shule hiyo.

BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI

 

10 years ago

Michuzi

Makalla alipokuwa ziarani mjini Moshi mkoa wa Kilimanjaro

Naibu waziri wa Maji Mhe.Amos makalla akizindua mradi wa maji karanga mjini MoshiNaibu waziri wa maji Amos makalla akiwahurubia wafanyakazi wa mamlaka maji Moshi Naibu Waziri wa Maji Mhe Amos Makalla akikabidhi tuzo ya ubora wa utunzaji mazingira kwa mkurugenzi wa mamlaka maji moshi Injinia Cryspin Lumeleja Naibu Waziri wa Maji Mhe Amos Makalla Naibu wazir maji akiongea na wajumbe wa bodi ya mamlaka maji moshiNaibu Waziri wa Maji Mhe Amos Makalla akikagua chanzo cha maji cha Mto Karanga...

 

5 years ago

Michuzi

MASAUNI-POLISI ZINGATIENI MISINGI YA SHERIA KUDHIBITI UHALIFU




Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi,Mhandisi Hamad Masauni akizungumza na wajumbe(hawapo pichani),  wakati wa Ufunguzi wa Kikao cha Kumi na Mbili cha Baraza la Wafanyakazi wa Idara ya Jeshi la Polisi ambapo amelitaka jeshi hilo kuzingatia misingi ya sheria katika kudhibiti viashiria au matendo ya uhalifu katika kipindi cha kuelekea Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika mwishoni mwa mwaka huu.Ufunguzi wa kikao hicho umefanyika katika Ukumbi wa Bwalo la Maofisa wa...

 

5 years ago

Michuzi

Masauni - Polisi zingatieni Misingi ya Sheria kudhibiti Uhalifu


Serikali imelitaka Jeshi la Polisi kuzingatia misingi ya sheria katika kudhibiti viashiria au matendo ya uhalifu katika kipindi cha kuelekea Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika mwishoni mwa mwaka huu.
Hayo yamesemwa leo Machi 16,2020 na Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi,Mhandisi Hamad Masauni wakati akifungua Kikao cha Kumi na Mbili cha Baraza la Wafanyakazi wa Idara ya Jeshi la Polisi kilichofanyika katika Ukumbi wa Bwalo la Maofisa wa Polisi Oysterbay jijini Dar es Salaam.
“Napenda...

 

10 years ago

GPL

JESHI LA POLISI NA VODACOM TANZANIA WAENDELEZA MAFUNZO SHULE ZA MSINGI JIJINI

Ofisa polisi wa Usalama Barabarani (CPL) Rashid Msuya akiwafundisha wanafunzi wa Shule ya Msingi Mapambano Sinza jijini Dar es Salaam jinsi ya kuvuka barabara kwa kutumia alama za barabarani, ikiwa ni mwendelezo wa  kuadhimisha siku ya Afya na Usalama kazini Duniani. Hafla hiyo iliandaliwa na Vodacom Tanzania na kufanyika katika shule hapo. Wanafunzi wa Shule ya Msingi Msasani A na B ya jijini Dar es Salaam,wakimsikiliza...

 

10 years ago

Michuzi

NAIBU INSPEKTA JENERALI WA POLISI AFUNGA MAFUNZO YA WAKAGUZIWASAIDIZI WA JESHI LA POLISI CCP-MOSHI

Naibu Inspekta Jenerali wa Polisi,DIGP, Abdulrahmani Kaniki akikagua gwaride la wakaguzi wasaidizi wa polisi wakati wa sherehe ya kufunga mafunzo ya maofisa hao katika chuo cha polisi Moshi. Naibu Inspekta Jenerali wa Polisi,DIGP, Abdulrahmani Kaniki akimvisha cheo wp 2704 ssgt Batuli kuwa mkaguzi msaidizi wa jeshila polisi wakati wa sherehe ya kufunga mafunzo ya maofisa hao katika chuo cha polisi Moshi. Wahitimu wa kozi ya mkwaguzi msaidizi wa jeshi la polisi wakipita kutoa heshima kwa...

 

11 years ago

Mwananchi

Wilaya ya Moshi na aibu ya shule kukosa vyoo

>Kilimanjaro ya zamani sio ya sasa. Ile sifa ya mkoa huo kinara wa elimu nchini ilishaporomoka siku nyingi.

 

11 years ago

Michuzi

Shule ya Motamburu Moshi yapata msaada wa vitabu toka Airtel

 Mkuu wa wilaya ya Rombo kulia akimkabidhi mwanafunzi Happnes John wa shule ya sekondari motamburu moja ya vitabu vya sayansi vilivyo tolewa na Airtell katika mpango wa shule yetu kwa shule ya sekondari Motamburu iliyopo Rombo mkoani Kilimanjaro. Mkuu wa wilaya ya Rombo kulia akimkabidhi mwalimu mkuu(Abel Masuki kushoto) wa shule ya sekondari motamburu baadhi ya vitabu vya sayansi vilivyo tolewa na Airtell katika mpango wa shule yetu shuleni hapo ======  ====== ======= Shule ya Motamburu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani