Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mashabiki washambuliwa ukumbini Nigeria

Takriban watu 20 wameuawa na Boko Haram Kaskazini mwa Nigeria walipokuwa wakitazama michuano ya kombe la dunia

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Msikiti washambuliwa nchini Nigeria

Taarifa kutoka mjini Kano, Kaskazini ya Nigeria, zinasema kuwa watu wengi wamefariki na wengine wengi kujeruhiwa katika shambulizi la bomu msikitini.

 

11 years ago

Mwananchi

Brazil 2014: Kocha wa Nigeria awajia juu mashabiki

Kocha Stephen Keshi amewapuuza mashabiki wa soka nchini Nigeria baada ya timu yake kucheza moja ya mechi mbaya za Kombe la Dunia nchini Brazil mapema wiki hii.

 

9 years ago

Bongo5

Trey Songz athibitisha mbele ya mashabiki wa Nigeria juu ya collabo aliyofanya na Davido

trey n dav

Kwenye orodha ya nyimbo za album mpya ya Davido “B.A.D.D.E.S.T” ambayo ilikuwa itoke mwishoni mwa mwaka huu kabla ya kusogezwa hadi mwakani 2016, kuna wimbo ambao staa huyo wa Nigeria amemshirikisha muimbaji wa R&B kutoka Marekani, Trey Songz.

trey n dav

Licha ya kuwa aliwahi kuthibitisha kupitia Twitter, Trey Songz ambaye Ijumaa iliyopita (Dec.18) alitumbuiza Lagos, Nigeria kwenye tamasha kubwa la kila mwaka Rhythm Unplugged, mitandao ya Nigeria imeripoti kuwa Trey alithibitisha kwa mara nyingine...

 

9 years ago

Bongo5

Victoria Kimani adai hapewi support na mashabiki wa nyumbani Kenya kama anayoipata Nigeria ambako sio kwao

Kwa mara nyingine tena mwimbaji wa Kenya, Victoria Kimani amezungumzia swala la kukosa support ya kutosha nyumbani Kenya, tofauti na anavyopata Nigeria ambako ameishi kwa muda mrefu licha ya kuwa si kwao. Kupitia akaunti yake ya Instagram ameandika ujumbe huu mrefu; “I could choose to highlight all the negativity I get from my Fellow Kenyans […]

 

10 years ago

BBCSwahili

Wapiganaji wa Kikurdi washambuliwa

Uturuki imeanzisha tena msururu wa mashambulizi dhidi ya wapiganaji wa Kikurdi yanayolenga maeneo 17 kusini mashariki, kwa mujibu wa jeshi

 

10 years ago

BBCSwahili

Wachezaji wa Fenerbahce washambuliwa

Basi la kilabu ya Fenerbahce lilifyatuliwa risasi na wapiganaji baada ya kilabu hiyo ya Uturuki kupata ushindi wa mabao 5-1.

 

11 years ago

BBCSwahili

Waandamanaji washambuliwa Bangkok

Watu wapatao ishirini na wanane wamejeruhiwa katika shambulio dhidi ya waandamanaji wanaoipinga serikali mjini Bangkok, Thailand.

 

10 years ago

BBCSwahili

Msikiti washambuliwa Sweden

Polisi nchini Sweden wanamtafuta mshukiwa mmoja katika kile ambacho wanamini kuwa shambulizi jengine kwenye msikiti.

 

10 years ago

BBCSwahili

Askari wa UN Syria washambuliwa

Askari kutoka Philippines wa kuweka amani baina ya Syria na Israel washambuliwa na wapiganaji wa Syria

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani