MASHINDANO YA NGALAWA YA KUADHIMISHA MIAKA 51 YA MAPINDUZI ZANZIBAR
Waziri wa Uvuvi na Mifugo Mhe. Abdilah Jihad, akisalimiana na manahodha wa ngalawa zinazoshiriki resi za ngalawa yaliofanyika katika ufukwe wa pwani ya forodhamchanga Zanzibar.
Ngalawa zinazoshiriki resi za ngalawa zikiwa katika matayarisho ya kuaza resi hizo.Jumla ya ngalawa 10 zimeshiriki resi hizo zilizofanyika katika ufukwe wa foromchanga.
Ngalawa zinazoshiriki resi za ngalawa zikiwa katika matayarisho ya kuaza resi hizo.Jumla ya ngalawa 10 zimeshiriki resi hizo zilizofanyika katika...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/O0rRt4kCpsrsc*mOXX94vujBWlYBlyNuh4eNNd3G0hhmUNDUos02e4vjGEyQOmNiUbVTp7uyonO3ctM3z8qTvtp563qPrnih/12.jpg?width=650)
KAMATI KUU CCM YAWAPONGEZA WATANZANIA KWA KUADHIMISHA MIAKA 50 YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR
11 years ago
Dewji Blog07 Apr
MOblog inaunga na Watanzania wote kuadhimisha miaka 42 ya kifo muasisi wa Mapinduzi ya Zanzibar Sheikh Abeid Amani Karume
Watanzania leo wanakumbuka kifo cha aliyekuwa Rais wa Kwanza wa Zanzibar, Abeid Amani Karume aliyeuawa kwa kupigwa risasi siku hiyo mwaka 1972.
MOblog inakutakia mapumziko mema na tuyaenzi yale yote mema aliyoyafanya Hayati Abeid Amani Karume likiwemo la kudumisha Muungano wetu.
11 years ago
Michuzi19 Jun
MASHINDANO YA NGALAWA YANOGESHA TAMASHA LA 17 LA ZIFF 2014 VISIWANI ZANZIBAR
![DSC_0217](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/06/DSC_02172.jpg)
11 years ago
Dewji Blog19 Jun
Mashindano ya resi za Ngalawa yanogesha tamasha la 17 la ZIFF 2014 visiwani Zanzibar
Baadhi ya washiriki wa mashindano ya resi za Ngalawa wakijiandaa tayari kwa kuanza mashindano hayo katika shamra shamra za tamasha la 17 la ZIFF 2014 linaloendelea visiwani Zanzibar.(Picha na Zainul Mzige wa MOblog).
Na Mwandishi wetu, Zanzibar
NGALAWA zote 11 zilizoingia majini kukamilisha mzunguko wa saa mbili wa resi za ngalawa mjini Zanzibar zilimarisha mashamshamu hayo bila najali na timu tatu zilipewa zawadi za ushindi.
Resi za Ngalawa kama zinavyojulikana ni utamaduni halisi wa...
11 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/06/DSC_02172.jpg)
MASHINDANO YA NGALAWA YANOGESHA TAMASHA LA 17 LA ZIFF 2014 VISIWANI ZANZIBAR
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-uFaMLR2rPes/VLPfcdW0O7I/AAAAAAAAPDg/VzvItL9UAz0/s72-c/IMG_8764.jpg)
Hotuba ya Rais, Dk Shein kuadhimisha miaka 51 ya Mapinduzi
![](http://1.bp.blogspot.com/-uFaMLR2rPes/VLPfcdW0O7I/AAAAAAAAPDg/VzvItL9UAz0/s640/IMG_8764.jpg)
Mheshimiwa Dk. Jakaya Mrisho Kikwete, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania;
Mheshimiwa Dk. Mohamed Gharib Bilal, Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania;
Mheshimiwa Mizengo Kayanza Peter Pinda, Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania;
Mheshimiwa Maalim Seif Sharif Hamad, Makamu wa Kwanza wa Rais, Zanzibar;
Mheshimiwa Balozi...
11 years ago
Michuzi28 Apr
SHEREHE YA KUADHIMISHA MIAKA 50 YA MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBAR YAFANA MJINI ROMA
11 years ago
Michuzi04 Apr
Rais wa Zanzibar Dk Ali Shein Atembelea Mnara wa Kumbukumbu ya miaka 50 ya Mapinduzi Zanzibar Michezani na Uwanja wa mabembea wa Kariakoo Mjini Unguja
![](https://3.bp.blogspot.com/-OL279nW9uvc/Uz1zvwQU1PI/AAAAAAACtyo/acaJtwiGJMU/s1600/IMG_9328.jpg)
![](https://4.bp.blogspot.com/--SlP6p7LWRM/Uz1zs2m6WfI/AAAAAAACtyU/9bKJDwWuU4g/s1600/IMG_9309.jpg)