Maskini Tanzanite
p>TIMU ya taifa ya wanawake chini ya miaka 20 ya Tanzania, ‘The Tanzanite’ jana ilishindwa kutamba kwenye dimba la nyumbani baada ya kukubali kichapo cha mabao 4-1 kutoka kwa Afrika...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
Vijimambo28 Sep
Tanzanite: The hidden treasure of Tanzania We arrive at Tanzanite One on a cool September morning.
The global tanzanite market is only worth $50m
The drive from the nearest town, Arusha, was not too long, but the last stretch on a gravel road littered with ditches made the hairs on the back of my neck stand up.
Once we got to the mine, we were given an induction and a quick briefing on the safety rules. After that we were off to the actual shaft, where we were allocated overalls, helmets and yellow plastic boots.
When I saw the contraption that would carry us 460 metres (yards) below ground,...
11 years ago
GPLMASKINI JOHARI!
Stori: Hamida Hassan na Gladness Mallya
MASKINI! Ndiyo neno linaloweza kumtoka mtu yeyote mwenye mapenzi mema na staa wa filamu za Kibongo, Blandina Chagula ‘Johari’ ambaye kwa sasa afya yake si ya kuridhisha, Ijumaa lina kila kitu.
Johari ni mgonjwa kwa zaidi ya siku tano sasa akiwa mtu wa kwenda hospitali mara kwa mara kwa ajili ya kuendelea na matibabu. Blandina Chagula ‘Johari’. TAARIFA ZA...
11 years ago
GPLMASKINI MBASHA!
Stori: Mwandishi Wetu HAKUNA neno jingine zaidi ya kusema maskini Mbasha! Jina zima ni Emmanuel Mbasha (32) ambaye ni mume wa mwimba Injili Bongo, Flora Mbasha juzi amepandishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Ilala jijini Dar es Salaam ishu ni yale madai ya kumbaka mara mbili shemeji yake (jina lipo). Basi lililombeba Emmanuel Mbasha likiwa chini ya ulinzi mkali wa askari magereza likisindikizwa kuelekea mahakamani. Akisomewa...
10 years ago
GPLMASKINI MTOTO HUYU
Boniphace Ngumije na Chande Abdallah
MASKINI mtoto huyu! Unapojaliwa kupata mtoto akiwa mzima asilimia 100 unatakiwa kumshukuru Mungu. Mwajuma Juma (25) mkazi wa Mbagala, Sabasaba Dar es Salaam, ameingia kwenye mtihani mzito tangu ajifungue mwanaye Yathib Rajab mwaka mmoja uliopita, akiwa hana sehemu ya kujisaidia haja kubwa.......Soma zaidi hapa===>http://bit.ly/1eJ1BGw ...
11 years ago
GPLMASKINI AFANDE SELE
Stori:Â Erick Evarist na Joseph Shaluwa
SIKU chache baada ya kuzagaa kwa taarifa za kuachana na mkewe mama Tunda, mfalme wa Rhymes, Seleman Msindi ‘Afande Sele’ ameibuka na kusimulia mambo ya kusikitisha waliyopita katika safari ya maisha yao. Mfalme wa Rhymes, Seleman Msindi ‘Afande Sele’. Akizungumza na wanahabari wetu ndani ya Ukumbi wa Meeda, Sinza-Mori, Dar, juzi Afande alisema hadi kufikia...
11 years ago
Tanzania Daima19 Mar
Maskini Sheikh Ponda
JITIHADA za Sheikh Ponda Issa Ponda, kutaka Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam ifanyie marejeo uamuzi uliotolewa na Mahakama ya Hakimu Mkazi Morogoro Oktoba mosi mwaka jana, zimegonga mwamba...
11 years ago
GPLMASKINI MAN UTD
Fabio Borini akishangilia baada ya kuifungia Sunderland bao la pili kwa njia ya penalti kipindi cha pili dakika ya 64.
Nemanja Vidic wa Manchester United akifunga bao la kusawazisha kwa timu yake na kufanya matokeo kuwa 1-1 katika dakika ya 52.…
11 years ago
GPLMASKINI JACK HALI MBAYA
Stori: Shakoor Jongo
MODO mwenye mvuto Bongo Jacqueline Patrick ‘Jack’, ambaye yuko mahabusu ya Gereza la Qincheng nchini China kwa madai ya kunaswa na madawa ya kulevya nchini humo, anazidi kuteseka, safari hii akidaiwa kukabiliwa na tatizo kubwa la kiafya. Jacqueline Patrick ‘Jack’. Kwa mujibu wa chanzo chetu, Jack anasumbuliwa na ugonjwa wa kukosa hamu ya kula, hali iliyomfanya apoteze uzito wa...
11 years ago
BBCSwahili18 Mar
Radi yaandama nchi maskini?
Radi inasemekana kuwaua na kuwajeruhi watu wengi ambao idadi yao inaongezeka kila uchao katika nchi zinazostawi.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania