Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MASSACHUSETTS KUPATA THELUJI FUTI 2 WIKIENDI HII

A snow plow sits on the street while snow falls near Boston Common on February 9, 2013 in Boston, Massachusetts. Massachusetts and other states from New York to Maine are preparing for a major blizzard with possible record amounts of snowfall in some areas.Magari ya kukwangua theluji barabarani yakifanyakazi yao barabara mjini Boston ambapo siku ya Jumamosi Februari 7, 2015 ilianzakuanguka theluji ambayo imetabiriwa itaanguka mpaka siku ya Jumannne Februari 10, 2015 na kukadiriwa kufikia futi 2.A snowplow works along Winthop Shore Drive February 8, 2013 in Winthrop, Massachusetts. Massachusetts has declared a state of emergency, with Governor Deval Patrick ordering all cars off the road starting at 4 pm, and local public transportation, including air traffic, has been halted for the remainder of the night. High tides are expected around ten this evening, with a coastal flood warning issued.Magari yakiendela kuweka sawa barabara kurahisisha wenyekutumia vyombo vya moto kupita kwa urahisi.Lauren Montana Lauren Montana scrapes the snow off of her car on February 9, 2013 in the Brighton neighborhood of Boston, Massachusetts. The powerful storm has knocked out power to 650,000 and dumped more than two feet of snow in parts of New England.Lauren Montana akiondoa theluji kwenye gari yake iliyofunikwa kwenye tufani ya theluji iliyoanguka mji huo wa Boston Februari 8, 2013.Lauren Montana Lauren Montana scrapes the snow off of her car on February 9, 2013 in the Brighton neighborhood of Boston, Massachusetts. The powerful storm has knocked out power to 650,000 and dumped more than two feet of snow in parts of New England.Lauren Montana...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

AZA YA THELUJI YASABABISHA WASAFARI WA NJIA YA ANGA KUKWAMA, MAOFISI NA SHULE KUFUNGWA NEW YORK, NA MASSACHUSETTS

 Hii ndiyo hali ilivyo pande za New York  na Massachusetts theluji ilivyoanguka na kusababisha shughuli nyingi kusimama theluji imefikia inch 12 kwa New York na Massachusetts ni inch 24. Barabara zilikuwa zimejaa theluji na kusababisha usumbufu mkubwa kwa wakazi wamiji hii.
 Abiria walilala uwanjani baada ya ndege kusindwa kuruka na kutua kutokana na theluji iliyoambatana na upepo mkali. Hatma ya abiria hawa itajulikana leo kama watasafiri au waendelee kusubiri hatma ya safari zao. Ndege...

 

10 years ago

BBCSwahili

EPL kuendelea wikiendi hii

Ligi ya England itaendelea tena wikiendi hii kwa nyasi za viwanja saba kuwaka moto siku ya jumamosi

 

10 years ago

Michuzi

9 years ago

Michuzi

10 years ago

Michuzi

LIGI KUU YA VODACOM KUENDELEA WIKIENDI HII


Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania inatarajiwa kuendelea wikiendi hii katika viwanja sita tofauti nchini, viwanja vinne vikitimua vumbi kesho jumamosi, na michezo miwili kuchezwa siku ya jumapili.
Jumamosi JKT Ruvu watakua wenyeji wa Coastal Union katika Uwanja wa Azam Complex uliopo Chamazi jijini Dar es salaam, huku wakata miwa wa Kagera Sugar wakiwakaribisha maafande wa Ruvu Shooting katika uwanja wa Kambarage mjini Shinyanga.
Timu ya Mtibwa Sugar watawakaribisha Azam FC kwenye uwanja wa...

 

9 years ago

Michuzi

STARTIMES LEAGUE KUENDELEA WIKIENDI HII LIVE

Ligi Daraja la Daraja la Kwanza (StarTimes League) inatarajiwa kuendelea wikiendi hii kwa michezo kumi na mbili kuchezwa katika viwanja mbalimbali nchini, huku kituo cha StarTv kikitarajiwa kuonyesha moja kwa moja michezo miwili ya ligi hiyo.Kundi A Ijumaa, Januari Mosi 2016 Polisi Dar watawakaribisha Mji Mkuu katika uwanja wa Karume jijini Dar es salaam, huku kesho Jumamosi michezo tisa ikichezwa katika viwanja mbalimbali nchini.Jumamosi StarTv watakua uwanja wa Karume jijini Dar es salaam...

 

10 years ago

BBCSwahili

Ligi kuu England kuendelea wikiendi hii

Ligi Kuu England itaendelea tena wikiendi hii ambapo michezo saba ya mzungo wa raundi ya 24 itapigwa katika viwanja tofauti.

 

9 years ago

Habarileo

Ligi Daraja la Kwanza kunguruma wikiendi hii

LIGI Daraja la Kwanza chini (FDL) inatarajiwa kuendelea wikiendi hii kwa michezo 12 kuchezwa katika viwanja mbalimbali kutoka katika makundi yote matatu ya A, B, na C.

 

9 years ago

Bongo5

Zari na Diamond kuiteka Uganda wikiendi hii

12301398_1675226496024383_418418585_n

Diamond na mchumba wake Zari The Bosslady wataiteka Kampala, Uganda wikiendi hii.

12301398_1675226496024383_418418585_n

Wote watakuwa na show tofauti.

Zari atakuwa na All White Party Alhamis hii kwenye kiota cha Guvnor huku Diamond Ijumaa hii akitumbuiza kwenye uwanja wa cricket wa Lugogo akiwa na msanii wa Nigeria, Patoranking kwenye show ya Born 2 Win.

Tayari Zari ameshawasili nchini humo huku Diamond akitarajiwa kuwasili leo au kesho.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani