MASSACHUSETTS KUPATA THELUJI FUTI 2 WIKIENDI HII
Magari ya kukwangua theluji barabarani yakifanyakazi yao barabara mjini Boston ambapo siku ya Jumamosi Februari 7, 2015 ilianzakuanguka theluji ambayo imetabiriwa itaanguka mpaka siku ya Jumannne Februari 10, 2015 na kukadiriwa kufikia futi 2.
Magari yakiendela kuweka sawa barabara kurahisisha wenyekutumia vyombo vya moto kupita kwa urahisi.
Lauren Montana akiondoa theluji kwenye gari yake iliyofunikwa kwenye tufani ya theluji iliyoanguka mji huo wa Boston Februari 8, 2013.
Lauren Montana...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-euWJXqfv1yg/VMfbRtgNgRI/AAAAAAADWh0/DfLuerCIyDs/s72-c/251EA97D00000578-2927832-image-a-63_1422379280269.png)
AZA YA THELUJI YASABABISHA WASAFARI WA NJIA YA ANGA KUKWAMA, MAOFISI NA SHULE KUFUNGWA NEW YORK, NA MASSACHUSETTS
![](http://2.bp.blogspot.com/-euWJXqfv1yg/VMfbRtgNgRI/AAAAAAADWh0/DfLuerCIyDs/s1600/251EA97D00000578-2927832-image-a-63_1422379280269.png)
![](http://4.bp.blogspot.com/-Rikw1QL-oAI/VMfbS5o85mI/AAAAAAADWh8/dynxY7pXUsg/s1600/251DCEFB00000578-2927832-image-m-33_1422378420956.png)
![](http://4.bp.blogspot.com/-QvVi1G7_GRo/VMfbX3YeynI/AAAAAAADWiE/z9qB_hLgZWk/s1600/251D91F200000578-0-image-a-6_1422365729984.png)
![](http://4.bp.blogspot.com/-KFPGS3KSi3Y/VMfbYhwcxYI/AAAAAAADWiQ/7ipbBli2n20/s1600/251D91FA00000578-0-Abandoned_Passengers_sleep_inside_John_F_Kennedy_International_A-m-5_1422365711695.png)
![](http://1.bp.blogspot.com/-G2_HpDVPMTE/VMfbYdbkwqI/AAAAAAADWiI/pxGVwTvHnlQ/s1600/251D957700000578-0-image-m-3_1422365590314.png)
10 years ago
BBCSwahili15 May
EPL kuendelea wikiendi hii
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-HDT3AfUOGmU/U_drPiKz9XI/AAAAAAAGBfA/C5jaToocw0A/s72-c/unnamed.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-tx0bohXGeNk/Vd29naV_qpI/AAAAAAAH0N0/uf6GcJUNZdg/s72-c/unnamed.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-HiJisCo494s/VSeQ70saQBI/AAAAAAAHP_k/qpL7RL2bwLw/s72-c/tff_LOGO1.jpg)
LIGI KUU YA VODACOM KUENDELEA WIKIENDI HII
![](http://2.bp.blogspot.com/-HiJisCo494s/VSeQ70saQBI/AAAAAAAHP_k/qpL7RL2bwLw/s1600/tff_LOGO1.jpg)
Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania inatarajiwa kuendelea wikiendi hii katika viwanja sita tofauti nchini, viwanja vinne vikitimua vumbi kesho jumamosi, na michezo miwili kuchezwa siku ya jumapili.
Jumamosi JKT Ruvu watakua wenyeji wa Coastal Union katika Uwanja wa Azam Complex uliopo Chamazi jijini Dar es salaam, huku wakata miwa wa Kagera Sugar wakiwakaribisha maafande wa Ruvu Shooting katika uwanja wa Kambarage mjini Shinyanga.
Timu ya Mtibwa Sugar watawakaribisha Azam FC kwenye uwanja wa...
9 years ago
Michuzi01 Jan
STARTIMES LEAGUE KUENDELEA WIKIENDI HII LIVE
![](http://tff.or.tz/images/facup.png)
10 years ago
BBCSwahili06 Feb
Ligi kuu England kuendelea wikiendi hii
9 years ago
Habarileo16 Oct
Ligi Daraja la Kwanza kunguruma wikiendi hii
LIGI Daraja la Kwanza chini (FDL) inatarajiwa kuendelea wikiendi hii kwa michezo 12 kuchezwa katika viwanja mbalimbali kutoka katika makundi yote matatu ya A, B, na C.
9 years ago
Bongo517 Dec
Zari na Diamond kuiteka Uganda wikiendi hii
![12301398_1675226496024383_418418585_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/12301398_1675226496024383_418418585_n-300x194.jpg)
Diamond na mchumba wake Zari The Bosslady wataiteka Kampala, Uganda wikiendi hii.
Wote watakuwa na show tofauti.
Zari atakuwa na All White Party Alhamis hii kwenye kiota cha Guvnor huku Diamond Ijumaa hii akitumbuiza kwenye uwanja wa cricket wa Lugogo akiwa na msanii wa Nigeria, Patoranking kwenye show ya Born 2 Win.
Tayari Zari ameshawasili nchini humo huku Diamond akitarajiwa kuwasili leo au kesho.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram...