Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


AZA YA THELUJI YASABABISHA WASAFARI WA NJIA YA ANGA KUKWAMA, MAOFISI NA SHULE KUFUNGWA NEW YORK, NA MASSACHUSETTS

 Hii ndiyo hali ilivyo pande za New York  na Massachusetts theluji ilivyoanguka na kusababisha shughuli nyingi kusimama theluji imefikia inch 12 kwa New York na Massachusetts ni inch 24. Barabara zilikuwa zimejaa theluji na kusababisha usumbufu mkubwa kwa wakazi wamiji hii.
 Abiria walilala uwanjani baada ya ndege kusindwa kuruka na kutua kutokana na theluji iliyoambatana na upepo mkali. Hatma ya abiria hawa itajulikana leo kama watasafiri au waendelee kusubiri hatma ya safari zao. Ndege...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

MASSACHUSETTS KUPATA THELUJI FUTI 2 WIKIENDI HII

A snow plow sits on the street while snow falls near Boston Common on February 9, 2013 in Boston, Massachusetts. Massachusetts and other states from New York to Maine are preparing for a major blizzard with possible record amounts of snowfall in some areas.Magari ya kukwangua theluji barabarani yakifanyakazi yao barabara mjini Boston ambapo siku ya Jumamosi Februari 7, 2015 ilianzakuanguka theluji ambayo imetabiriwa itaanguka mpaka siku ya Jumannne Februari 10, 2015 na kukadiriwa kufikia futi 2.A snowplow works along Winthop Shore Drive February 8, 2013 in Winthrop, Massachusetts. Massachusetts has declared a state of emergency, with Governor Deval Patrick ordering all cars off the road starting at 4 pm, and local public transportation, including air traffic, has been halted for the remainder of the night. High tides are expected around ten this evening, with a coastal flood warning issued.Magari yakiendela kuweka sawa barabara kurahisisha wenyekutumia vyombo vya moto kupita kwa urahisi.Lauren Montana Lauren Montana scrapes the snow off of her car on February 9, 2013 in the Brighton neighborhood of Boston, Massachusetts. The powerful storm has knocked out power to 650,000 and dumped more than two feet of snow in parts of New England.Lauren Montana akiondoa theluji kwenye gari yake iliyofunikwa kwenye tufani ya theluji iliyoanguka mji huo wa Boston Februari 8, 2013.Lauren Montana Lauren Montana scrapes the snow off of her car on February 9, 2013 in the Brighton neighborhood of Boston, Massachusetts. The powerful storm has knocked out power to 650,000 and dumped more than two feet of snow in parts of New England.Lauren Montana...

 

10 years ago

CloudsFM

Magugu maji yasababisha kukwama kwa safari za majini ziwa victoria

Mimea ya magugu maji aina ya matende imetanda katika eneo la Kigongo wilayani Misungwi mkoani Mwanza kiasi cha kutatiza shughuli za usafiri na usafirishaji katika kivuko hicho ambacho ni kiungo muhimu cha usafiri kati ya mikoa ya Kanda ya Ziwa pamoja na nchi jirani.

Kutanda kwa mimea hiyo katika eneo lenye ukubwa wa takribani hekari 4 kulisababisha vivuko vya Mv Misungwi na Mv Sengerema kushindwa kutoa huduma ya usafiri na usafirishaji kwa takriban siku tatu mfululizo baada ya kukosa eneo...

 

10 years ago

CloudsFM

HOFU YA UGAIDI KENYA YASABABISHA TUNDA MAN KUFUNGWA PINGU

Kutokana na mfululizo wa matukio ya kigaidi nchini Kenya, ulinzi umeongezeka maradufu kuhofia mashambulizi ya ghafla yanayofanywa na magaidi wanaotumia silaha za kivita, sasa weekend iliyopita mjini Mombasa,Kenya Captain Tunda Man kutoka kundi la TipTop Connection anawekwa chini ya ulinziwa polisi huku akiwa amefungwa pingu kwa dakika 45. Zaidi huyu hapa captain wa bongo flava, Tunda Man anafunguka na clouds fm.

 

10 years ago

Vijimambo

SHEREHE ZA MIAKA 38 YA KUSHEREHEKEA KUZALIWA KWA CCM ZA NOGA KAMA MCHARO NEW YORK LICHA YA THELUJI KUNYESHA SIKU MZIMA

 MH. Ridhiwani Kikwete akiongea kwenye sherehe ya kuzaliwa kwa chama cha mapinduzi CCM sherehe zilizofanyika New York na kudhuliwa na wageni mbalimbali kutoka kila sehemu yenye tawi la CCM hapa Marekani. MH. Ridhiwani kikwete akiongea mbele ya wa Tanzania waliojitokeza kwenye sherehe hizo za kusherehekea miaka 38 ya kuzaliwa CCM na kuwapongeza kwa kujitokeza ingawa kulikuwa na theluji siku mzima. Mwenyekiti wa tawi la CCM New York akiongea kwenye sherehe hizo Bwana Isaac Kibodya akiongea kwa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Ziara ya Obama:Anga ya Kenya kufungwa

Shirika linalosimamia safari za ndege nchini Kenya, KCAA, limetangaza kuwa anga ya Kenya itafungwa kwa muda wa dakika hamsini siku ya Ijumaa wiki hii ili kuruhusu ndege ya rais wa Marekani Barrack Obama kutua katika uwanja wa kimataifa wa ndege wa Jomo Ke

 

10 years ago

GPL

BAADA YA SHULE YA SEKONDARI YA IFUNDA KUFUNGWA KWA VURUGU UONGOZI WA SHULE HIYO WAWAITA WANAFUNZI 28

 Mkuu wa shule ya sekondari ya Ifunda akizungumza na wanafunzi hao hivi karibuni. Wanafunzi wa shule ya sekondari ya Ufundi Ifunda. Uongozi wa shule ya sekondari ya Ufundi Ifunda  mkoani  Iringa  imewaita wanafunzi 28 kufika shuleni hapo octoba 2 ikiwa ni baada ya  shule  hiyo …

 

10 years ago

Vijimambo

VIKWANGUA ANGA MJI WA ALBANY, NEW YORK

Vikwangua anga ndani ya mji wa Albany ambao ndio makao makuu ya serikali ya jimbo la New York.Mtaa wa Pearl uliopo downtown Albany, New York.

 

9 years ago

StarTV

Shule ya Msingi Bafanka mkoani Geita hatarini kufungwa kwa Kujaa Kwa Vyoo Vya Shule

Ukosefu wa Vyoo kwa baadhi ya Shule limekuwa tatizo sugu lililosababisha shule ya msingi Isumabuna kufunga wakati shule ya msingi Bafanka wilayani Bukombe mkoani Geita ikiwa hatarini kufungwa wakati wowote kutokana na vyoo kujaa na kutoa wadudu hali inayowalazimu wanafunzi kujisaidia vichakani.

Kufungwa kwa shule ya Msingi Isumabuma tangu Novemba 12 mwaka huu kulikolenga kunusuru afya za watoto na kuwaepusha ma magonjwa ya mlipuko kumeathiri ratiba ya masomo kwa kiasi kikubwa kwa wanafunzi...

 

10 years ago

Vijimambo

RAIS OBAMA KUWASILI KENYA SIKU YA IJUMAA JIONI, BAADHI YA MITAA NA ANGA KUFUNGWA KWA MUDA

US President Barack Obama boards Air Force One at Andrews Air Force Base in Maryland. PHOTO | AFPUlinzi ni mkali kweli kweli zaidi na polisi 10,000 wamemwagwa jiji la Nairobi kwa ajili yakulinda usalama kwa ujio wa Rais wa Marekani Mhe. Barack Obama anayetarajiwa kuwasili jijini Nairobi siku ya Ijumaa kati ya saa 1;45 na 2;35 jioni ya siku hiyo ya July 24, 2015.
Baadhi ya barabara za jiji la Nairobi zimefungwa kwa ajili ya kuimarisha usalama wa jiji hilo wakati wa ujio wa Rais huyo wa Marekani.
Anga la nchi hiyo litafungwa siku ya Ijumaa mida hiyo ya Rais Obama atakapo wasili ni siku ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani