Massangwa apendekezwa kumrithi Askofu Dk. Leizer
NA LILIAN JOEL, ARUSHA
WAJUMBE wa Halmshauri Kuu ya Kanisa la Kiinjili la Kilutheli Tanzania (KKKT), Dayosisi ya Kaskazini Kati, wamependekeza jina moja la mchungaji Solomon Massangwa kuwa Askofu wa kanisa hilo.
Uamuzi huo ulifikiwa juzi usiku katika kikao kilichofanyika katika ukumbi wa shule ya sekondari ya Peace House iliyoko kata ya Matevesi wilayani Arumeru mkoani Arusha.
Habari kutoka ndani ya kikao hicho zilisema kuwa, jina la Mchungaji Massangwa, ambaye alikuwa Kaimu Mkuu wa Dayosisi...
Uhuru Newspaper
Habari Zinazoendana
11 years ago
Uhuru Newspaper23 Jul
‘Tuna imani na Askofu Massangwa’
NA LILIAN JOEL, ARUSHA
WAUMINI wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dayosisi ya Kaskazini Kati, wamesema Askofu Mteule Solomon Massangwa ni chaguo la Mungu na hawana shaka naye.
Massangwa alichaguliwa juzi, kuwa Askofu wa Dayosisi hiyo baada ya kupata kura 261 kati ya kura 263, sawa na asilimia 99.98 na msaidizi wake, Mchungaji Gidion Kivuyo alipata kura 242 kati ya kura 263.
Uchaguzi huo ulifanyika juzi, katika Shule ya Sekondari Peace House iliyoko Kata ya Mtevesi wilayani,...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-7rP9Ao4w0WI/VLJZ-YNAtqI/AAAAAAAG8vA/UjOp_-qf1Ss/s72-c/unnamed%2B(38).jpg)
Nyalandu ahudhuria ibada ya kumweka wakfu Askofu Massangwa jijini Arusha
![](http://4.bp.blogspot.com/-7rP9Ao4w0WI/VLJZ-YNAtqI/AAAAAAAG8vA/UjOp_-qf1Ss/s1600/unnamed%2B(38).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-aRDACl0JxSo/VLJZ-SsERWI/AAAAAAAG8vM/JxCsH5lw5vs/s1600/unnamed%2B(39).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-EAi5vDG80GQ/VLJZ-jLgHhI/AAAAAAAG8vE/dV5357TX_QY/s1600/unnamed%2B(40).jpg)
10 years ago
Mwananchi26 Jan
Dk Shein apendekezwa kupeperusha bendera ya CCM Urais visiwani
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-b35-XWzzg_8/XrwhQUTWGxI/AAAAAAALqIA/F1ZFvW5wQQ4oi_7RnYnjKd-4o72wIjVXACLcBGAsYHQ/s72-c/21e84bf2-92a7-45f9-b914-f5ac3cb2fc71.jpg)
ASKOFU MSAIDIZI EUSEBIUS NZIGILWA ATEULIWA KUWA ASKOFU MPYA JIMBO KATOLIKI LA MPANDA
![](https://1.bp.blogspot.com/-b35-XWzzg_8/XrwhQUTWGxI/AAAAAAALqIA/F1ZFvW5wQQ4oi_7RnYnjKd-4o72wIjVXACLcBGAsYHQ/s640/21e84bf2-92a7-45f9-b914-f5ac3cb2fc71.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-ZQYF7RiPQ84/XrwhQahfQzI/AAAAAAALqH8/4vCHwN9pMXANFp7Ro_-PNNdHQKn6aGkPACLcBGAsYHQ/s1600/862d3a58-f452-4b4f-b121-9e9aba445835.jpg)
11 years ago
MichuziHafla ya kumuaga Askofu wa jimbo la katoliki Dodoma,Mhashamu Baba Askofu Gervas John Nyaisonga yafana sana
Mgeni rasmi katika sherehe hiyo ambayo alikuwepo Mke wa Waziri Mkuu,Mama Tunu Pina,alikuwa Kiongozi wa Kanisa Katoliki hapa nchini,Mwadhama Polcarp Kardinal Pengo. Pia sherere hiyo ilihudhuriwa na Askofu...
11 years ago
GPLHAFLA YA KUMUAGA ASKOFU WA JIMBO LA KATOLIKI DODOMA,MHASHAMU BABA ASKOFU GERVAS JOHN NYAISONGA YAFANA SANA
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-7-M2NaBuVhw/Vczp8xh1OiI/AAAAAAAHwZU/pV5TDhj3C-w/s72-c/unnamed%2B%25281%2529.jpg)
Askofu Dk. Charles Gadi atawazwa Askofu Mkuu wa Kanisa la Habari Njema kwa Wote Tanzania, atunukiwa shahada mbili za udaktari Bagamoyo
![](http://1.bp.blogspot.com/-7-M2NaBuVhw/Vczp8xh1OiI/AAAAAAAHwZU/pV5TDhj3C-w/s640/unnamed%2B%25281%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-zH0W867zq4Y/Vczp823ZtNI/AAAAAAAHwZQ/AmX_dWEMDyg/s640/unnamed%2B%25282%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-7t3xx-fl3FA/Vczp-_pNcPI/AAAAAAAHwZ8/JqfhHJF_lOo/s640/unnamed.jpg)
Askofu Gadi akisimikwa na Maaskofu mbalimbali kutoka nje na nchini Jumapili
![](http://2.bp.blogspot.com/-RCv2jQP8O9M/Vczp98oxdAI/AAAAAAAHwZs/x22-LVv3RNQ/s640/unnamed%2B%25285%2529.jpg)
10 years ago
Tanzania Daima20 Aug
Dk. Nchimbi kumrithi Mwigulu
MWELEKEO mpya wa mchakato wa Katiba mpya, adhabu kwa wagombea walioanza mbio za kusaka urais unatarajia unatarajia kujulikana leo baada ya kumalizika kwa kikao cha Kamati Kuu (CC), ya Chama...
10 years ago
Habarileo02 Jun
Mbio za kumrithi Kikwete zanoga
WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais Profesa Mark Mwandosya (65) na Mbunge wa Afrika Mashariki, Charles Makongoro Nyerere na Balozi mstaafu Ali Karume, jana waliungana na makada wengine wa CCM, kutangaza nia ya kuwania urais wa Tanzania, kwa lengo la kuiongoza Serikali ya Awamu ya Tano.
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10