Mbio za kumrithi Kikwete zanoga
WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais Profesa Mark Mwandosya (65) na Mbunge wa Afrika Mashariki, Charles Makongoro Nyerere na Balozi mstaafu Ali Karume, jana waliungana na makada wengine wa CCM, kutangaza nia ya kuwania urais wa Tanzania, kwa lengo la kuiongoza Serikali ya Awamu ya Tano.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/x5nfMUvOqsg/default.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-cYFIGIRcnow/U1uupYOlF0I/AAAAAAAFdJE/LKpyOmhRpLk/s1600/0L7C0297.jpg)
SHEREHE ZA MIAKA 50 YA MUUNGANO ZANOGA UWANJA WA TAIFA
;Rais Jakaya Mrisho Kikwete, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dr Mohamed Ali Shein na Mkuu wa Majeshi Jenerali Davis Mwamunyange wakiwa na viongozi wa nchi mbalimbali za Afrika kwnyesherehe za Miaka 50 ya Muungano katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam leo. Wengine toka kushoto ni Waziri Mkuu Mhe Mizengo Pinda, Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya, Rais Pierre Nkurunzinza wa Burundi, Mfalme Mswati wa III
Rais Jakaya Mrisho Kikwete, Makamu wa Rais Dkt Mohamed Ghalib...
![](http://4.bp.blogspot.com/-8acHL9UdCJk/U1uupq2TiqI/AAAAAAAFdJI/R0NkoWaX2aQ/s1600/0L7C0298.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-aYHsJ24DzWY/VReNU0J4bpI/AAAAAAAAq7U/hb0sTQdOMcg/s72-c/Jk-vs-Lowassa-3-620x309.jpg)
Siri Imefichuka:Rais Kikwete “Abariki” Mbio za Urais wa Lowassa
![](http://3.bp.blogspot.com/-aYHsJ24DzWY/VReNU0J4bpI/AAAAAAAAq7U/hb0sTQdOMcg/s1600/Jk-vs-Lowassa-3-620x309.jpg)
SIRI imefichuka. Mbio za Edward Lowassa, kusaka urais kwa udi na uvumba, zimebarikiwa kwa asilimia 100 na Rais Jakaya Kikwete.Lowassa amekutana na Kikwete mara kadhaa na kufunga makubaliano ya siri yanayolenga kumsaidia yeye kuwa mgombea urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM).
“Yote yanayofanywa na Edward (Lowassa), yamebarikiwa na Kikwete. Bila hivyo, Lowassa asingekuwa na ubavu wa kufanya anachokitenda,” ameeleza kiongozi mmoja mwandamizi ndani ya serikali.Kikwete ndiye Mwenyekiti wa Taifa...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-LIMXGsxxJVU/VD0f7r6uF6I/AAAAAAAGqfQ/m4qdWW-5TkI/s72-c/11.jpg)
Rais Kikwete atoa hotuba Kilele cha Mbio za Mwenge Mkoani Tabora
![](http://4.bp.blogspot.com/-LIMXGsxxJVU/VD0f7r6uF6I/AAAAAAAGqfQ/m4qdWW-5TkI/s1600/11.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-CK0GJWZ6Nnk/VD0f9ehnqfI/AAAAAAAGqfY/O7IGJsXvA9c/s1600/22.jpg)
10 years ago
Vijimambo15 Oct
HOTUBA YA JAKAYA KIKWETE KWENYE SHEREHE YA KILELE CHA MBIO ZA MWENGE WA UHURU
KUMBUKUMBU YA BABA WA TAIFA NA WIKI YA VIJANA KITAIFA, TAREHE 14/10/2014 – MKOANI TABORA
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akitoa hotuba yake wakati wa kilele cha mbio za mwenge 2014 ziilizofanyika katika uwanja wa michezo wa Ali Hassan Mwinyi mjini Tabora siku ya jana.
Mheshimiwa Dkt. Fenella Mukangara (MB), Waziri wa Habari,Vijana, Michezo, Utamaduni na Michezo;Mheshimiwa Zainabu Omar Mohamedi, Waziri wa Uwezeshaji,Ustawi wa Jamii, Vijana Wanawake na Watoto – Zanzibar;Mheshimiwa Fatuma A....
![](http://api.ning.com/files/j5WbzQSo3h84oK4AzOqvMKdJeRrRjKy8j6W2h2Ab2mU6k6Tp*NzVuS92DvscOAoFhl005PGAqSMQtPGq-yy5qXogJA-J2hyE/22.jpg?width=650)
Mheshimiwa Dkt. Fenella Mukangara (MB), Waziri wa Habari,Vijana, Michezo, Utamaduni na Michezo;Mheshimiwa Zainabu Omar Mohamedi, Waziri wa Uwezeshaji,Ustawi wa Jamii, Vijana Wanawake na Watoto – Zanzibar;Mheshimiwa Fatuma A....
10 years ago
GPL![](http://2.bp.blogspot.com/-EYA9suYHq7M/VD0-Uh2OZ-I/AAAAAAAGqf0/YyB3vQ_TE5E/s1600/2.jpg)
RAIS KIKWETE AONGOZA MAADHIMISHO YA KILELE CHA MBIO ZA MWENGE MKOANI TABORA
Kiongozi wa mbio za mwenge 2014 Rachel Kassandra akikabidhi mwenge wa Uhuru kwa Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete wakati wa maadhimisho ya kilele cha mbio za mwenge ulius na kumbukumbu ya Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere zilizofanyika katika uwanja wa michezo wa Ali Hassan Mwinyi mkoani Tabora siku ya jana . Kulia ni Waziri wa Habari,Vijana,Utamaduni na michezo Dkt.Fenela Mkangara. … ...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/--3DnVGHrgrE/Xs-oWLEh3RI/AAAAAAALr10/4-QYmyxKXKk5xCap-2oQNUz20PvY1-0AgCLcBGAsYHQ/s72-c/index.jpg)
TAASISI YA MOYO JAKAYA KIKWETE (JKCI) KUTOHUSIKA NA MASHINDANO YA MBIO ZA HEART MARATHON 2020
![](https://1.bp.blogspot.com/--3DnVGHrgrE/Xs-oWLEh3RI/AAAAAAALr10/4-QYmyxKXKk5xCap-2oQNUz20PvY1-0AgCLcBGAsYHQ/s320/index.jpg)
Mbio hizo za Heart Marathon ambazo zimepangwa kufanyika siku za mbeleni zimeandaliwa na Asasi ya kiraia ya Tanzania Health Summit na siyo Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete...
9 years ago
VijimamboHOTUBA YA MHESHIMIWA DKT. JAKAYA MRISHO KIKWETE, RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, KWENYE SHEREHE YA KILELE CHA MBIO ZA MWENGE WA UHURU
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania