MASTAA NA UCHAGUZI 2015
![](http://api.ning.com:80/files/h04tScqf3LYtTIYcdvvYUeZVePuZdnptcvT8mW2mDWAIqtDIC5OoIfUNMMlOgNwwpm*v3t0uG-DP5sdJ7IiI49HVdU3Xh3pE/dude2.gif?width=650)
Na Shani Ramadhani: Kulwa Kikumba ‘Dude’ Kampeni zinaendelea vizuri katika kila upande na hata yale maneno yanayoongelewa ni utani kama ule uliop kwenye timu za mpira wa Yanga na Simba, changamoto kubwa iliyopo ni kwa wapiga kura kwa sababu wanatakiwa kuangalia sera muhimu kama afya na elimu kutoka kwa wagombea wao. Fatuma Ayubu ‘Bozi’ Kwangu naona muelekeo wa kampeni ni mzuri lakini tunaomba hali ya...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/02/amanda.jpg?width=650)
MASTAA WAZUNGUMZIA UCHAGUZI
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-RNHlHMsJ1j4/VlC59msV4WI/AAAAAAAIHsE/Gy-uxMbRzpg/s72-c/unnamed.jpg)
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-cWDZTI8xshk/VhIKgzKPVqI/AAAAAAAACUI/Trpx0u-uBtA/s72-c/1.png)
TUME YA TAIFA TA UCHAGUZI YATOA RATIBA YA MABADILIKO YA MIKUTANO YA KAMPENI ZA UCHAGUZI WA RAIS, 2015
![](http://2.bp.blogspot.com/-cWDZTI8xshk/VhIKgzKPVqI/AAAAAAAACUI/Trpx0u-uBtA/s640/1.png)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Vx3uvlGbi6I/VhIKg543f9I/AAAAAAAACUQ/Dc9fln4PkgA/s640/3%2Boktoba%2B2015.png)
![](http://2.bp.blogspot.com/-RFwFoYuRzww/VhIKhIzrxII/AAAAAAAACUM/OZ2T-GSuAa0/s640/4%2Boktoba%2B2015.png)
![](http://4.bp.blogspot.com/-FdQuBh595Mo/VhIKhy5CmDI/AAAAAAAACUY/rawgMs319Sk/s640/5%2Boktoba2015.png)
![](http://2.bp.blogspot.com/-P6ZB3jXFF6A/VhIKiqjQrDI/AAAAAAAACUs/Nuj8u6qC76c/s640/6%2Boktoba%2B2015.png)
![](http://4.bp.blogspot.com/-X0S7fWtlbP8/VhIKika2BNI/AAAAAAAACUo/UZ6w4KvIWW8/s640/7%2Boktoba%2B2015.png)
Chanzo: Tume ya Taifa ya Uchaguzi Blog
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jk1qJfh5Fa4KNOWDs6cELqED2h5fA6svOn4M4kM6Z84LbshMKBqCUM2kn2kyzJ1ymADIGXquuHsr6zlObyu3pusBG3U9yzI6/mastaa.jpg)
URAIS 2015: MASTAA WAWATAJA MARAIS
9 years ago
Global Publishers24 Dec
Mastaa waliotikisa kwa skendo za mapenzi 2015
Mladness Mallya
MWAKA unaelekea ukingoni, kuna mengi yametokea ndani ya mwaka huu wa 2015 katika jamii yakiwemo mazuri na mabaya.
Kama ilivyo kawaida katika ulimwengu wa mastaa hakukosekani vituko vya hapa na pale, leo katika makala haya tunakuletea mastaa mbalimbali waliotikisa kwa skendo za mapenzi, yaani waliokuwa na misuguano na wengine kutajwa kubadili wapenzi kila kukicha.
DIAMOND NA ZARI
Staa huyu wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’ na mzazi mwenziye Zarinah Hassan ‘Zari,’...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/eGJdezr2p4U8DCztxyyZQGuzunSQ2O1Wet6DYWxC4k2PAWwarjN4smNZvviOLZR-6N9fvC0DdwiDbRoYpzjh4FcQktyUVMjY/image164.gif?width=650)
BAADHI YA MASTAA WA NIGERIA WALIOFUNGA NDOA 2015
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-HCYk55Scd-M/VhIXEKnAaAI/AAAAAAADAQA/7_8mtx1ghHc/s72-c/1.png)
9 years ago
Global Publishers31 Dec
Mastaa waliofanya siri kuficha mimba, watoto 2015
Jenifer Kyaka.
Mayasa mariwata
MIONGONI mwa vioja vilivyotikisa mwaka 2015 ni kitendo cha baadhi ya mastaa wa filamu Bongo kuyapiga chenga madai ya kubeba mimba na kuzaa huku wengine wakificha watoto wao, kwa kutotaka waonekane sura pasipo kuwa na sababu za msingi.
Katika makala haya, yanachambua baadhi ya mastaa waliofanya hivyo;
AUNT EZEKIEL
Staa huyu asiyechuja, gumzo kubwa lilianza baada ya kupewa ujauzito na dansa...