URAIS 2015: MASTAA WAWATAJA MARAIS
Na Shakoor Jongo TANZANIA mwakani itaingia kwenye Uchaguzi Mkuu 2015, rais atakayeingia madarakani kuiongoza nchi atajulikana hapo huku tayari baadhi ya wanasiasa wametangaza nia ya kugombea, wengine wanatajwatajwa kufanya hivyo. Baadhi ya viongozi wanaotabiriwa na Mastaa wa Bongo Movie kuwa marais kwenye Uchaguzi Mkuu 2015 Sasa kuelekea uchaguzi huo ambao pia utajumuisha ubunge na udiwani, baadhi ya mastaa Bongo...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPLMASTAA WAMWANIKA MSHINDI WA URAIS
10 years ago
GPLWAGOMBEA URAIS WAIBUA MPASUKO KWA MASTAA
9 years ago
Bongo510 Nov
Hizi ni nchi 6 Afrika ambazo marais wake wa sasa ni watoto wa marais waliopita
Suala la mtoto wa rais kuja kugombea urais lilionekena kama tatizo na linaendelea kuonekana kama tatizo barani Afrika lakini mambo si kama hivyo wanavyodhani waafrika wengi.
Mwezi uliopita, waziri mkuu wa Canada ambaye ni mtoto wa Justin Trudeau aliyekuwa waziri mkuu wa 15, alichaguliwa kuongoza serikali ya nchi hiyo.
Ingawa hali hiyo si ya kawaida kwenye nchi nyingi duniani, hali hiyo hiyo iliweza kushuhudiwa nchini Marekani pale ambapo Rais wa awamu ya sita John Quincy Adams alichaguliwa...
10 years ago
VijimamboUtabiri: Mgombea Urais kufa akitafuta urais 2015
Mrithi wa Mnajimu na Mtabiri wa Afrika Mashariki, Kati na Kusini, Marehemu Sheikh Yahya Hussein, Alhaj Maalim Hassan Yahya Hussein, ametabiri kwamba kiongozi mmoja mzee aliye kwenye kinyang'anyiro cha kuwania urais, atadondoka ghafla kwenye jukwaa na kufa mwakani.Amesema kiongozi huyo, ambaye hakumtaja jina, atafariki dunia baada ya tukio hilo wakati akikimbizwa hospitali.Alitangaza utabiri huo, alipozungumza na waandishi wa habari, jijini Dar es Salaam jana, kuhusu kutumia kwa utabiri...
9 years ago
GPLMASTAA NA UCHAGUZI 2015
9 years ago
Global Publishers24 Dec
Mastaa waliotikisa kwa skendo za mapenzi 2015
Mladness Mallya
MWAKA unaelekea ukingoni, kuna mengi yametokea ndani ya mwaka huu wa 2015 katika jamii yakiwemo mazuri na mabaya.
Kama ilivyo kawaida katika ulimwengu wa mastaa hakukosekani vituko vya hapa na pale, leo katika makala haya tunakuletea mastaa mbalimbali waliotikisa kwa skendo za mapenzi, yaani waliokuwa na misuguano na wengine kutajwa kubadili wapenzi kila kukicha.
DIAMOND NA ZARI
Staa huyu wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’ na mzazi mwenziye Zarinah Hassan ‘Zari,’...
10 years ago
GPLBAADHI YA MASTAA WA NIGERIA WALIOFUNGA NDOA 2015
9 years ago
Bongo517 Nov
AFRIMA 2015: Picha za mastaa mbalimbali wa Afrika waliohudhuria
Tuzo za AFRIMA 2015 zilizofanyika Jumapili ya Novemba 15 jijini Lagos, Nigeria zilihudhuriwa na mastaa mbalimbali wa Afrika wakiwemo wasanii waliokuwa wakiwania vipengele mbalimbali.
Kutoka Afrika Kusini ma-rapper wenye ushindani mkubwa Cassper Nyovest na AKA walikuwepo, Kutoka Afrika Mashariki Victoria Kimani, Sauti Sol, Diamond, Vanessa Mdee na Linah pia ni miongoni mwa waliohudhuria.
Hizi ni baadhi ya picha za mastaa waliohudhuria.
Photo Credit: Instagram & Twitter –...