MASTAA WAMWANIKA MSHINDI WA URAIS
![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/magufuli-akiongea-na-wakazi-wa-Karatu-mjini-mkoani-Arusha-001.jpg?width=650)
Mwandishi Wetu UTAFITI uliofanywa na gazeti hili umeonesha mastaa wa muziki na filamu Bongo wanampa asilimia nyingi zaidi za ushindi mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi, John Magufuli dhidi ya mgombea wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Edward Lowassa. Utafiti huo unaonesha, mastaa wengi wamejipambanua kuwa wanaiunga mkono CCM wakionesha kuguswa na sera za Magufuli huku wengine walikuwa wafuasi wa Chadema...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Vijimambo26 Oct
Mshindi urais kutangazwa Alhamisi
![Mshindi urais kutangazwa Alhamisi](http://www.habarileo.co.tz/images/resized/images/damian-Lubuva31_478_280.jpg)
Mkurugenzi wa Uchaguzi, Kailima Kombwey alisema hayo Dar es Salaam jana wakati akizungumza na waandishi wa habari juu ya masuala mbalimbali yaliyojiri katika uchaguzi mkuu uliofanyika jana. Kailima...
9 years ago
BBCSwahili29 Oct
Mshindi wa urais Tanzania kutangazwa
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jk1qJfh5Fa4KNOWDs6cELqED2h5fA6svOn4M4kM6Z84LbshMKBqCUM2kn2kyzJ1ymADIGXquuHsr6zlObyu3pusBG3U9yzI6/mastaa.jpg)
URAIS 2015: MASTAA WAWATAJA MARAIS
9 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/3fW7wWQXsGk/default.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/bK_3to-kb58/default.jpg)
HAFLA YA KUKABIDHI CHETI CHA MSHINDI WA URAIS 2015
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/rWr07F5d70tqLZsnQkbvSXEl6bX7Y3O3gCyB7xkcIJj6hy67aV3IPKVOW3*I80-DMiGbkk9wG2dLJiNv9XcZLhcfrDqMfawv/wagombea.gif)
WAGOMBEA URAIS WAIBUA MPASUKO KWA MASTAA
9 years ago
GPL24 Oct
9 years ago
Michuzi27 Oct
POLISI YAZIMA VURUGU ZANIBAR,NI BAADA YA MAALIM SHARIF HAMAD KUJITANGAZA MSHINDI WA URAIS
![Makamu wa Kwanza wa Rais Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad akiongea na wanahabari.](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/F1-7jNh4XurG2TQr89lsukB5BFqIrWvJAj0g7tOIrsekZI9Y4G4Inv9-00KPV4qoTRUTNaTVYT5jEvvg4vXU-vlRlnbpLobd4v7r2JyHldOpKzBmHBFm9ZF_q8wrhQ=s0-d-e1-ft#http://www.habarileo.co.tz/images/resized/images/maalim-seif_210_120.jpg)
WAKATI wakisubiri matokeo ya uchaguzi ya rais huku Tume ya Uchaguzi ikitangaza kura za wagombea wabunge na uwakilishi katika majimbo ya uchaguzi Zanzibar, Jeshi la Polisi limelazimika kuzima fujo na vurugu kutoka kwa wafuasi wa CUF waliotanda mitaa ya Mji Mkongwe na barabara kuu ya Darajani.
Vurugu zimezuka baada ya mgombea wa Chama cha Wananchi (CUF), Maalim Seif Sharif Hamad kufanya tathmini na kutangaza matokeo ya ushindi wa chama chake katika uchaguzi wa juzi kwa asilimia 52.87.
Maalim...
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-uN7-XJas8uk/VjIuasxCEOI/AAAAAAAA30M/ZU-zJ99rjq8/s72-c/tamko.jpg)
Tamko la Edward Lowassa Baada ya NEC Kumtangaza Dr Magufuli Kuwa Mshindi wa Kiti cha Urais
![](http://3.bp.blogspot.com/-uN7-XJas8uk/VjIuasxCEOI/AAAAAAAA30M/ZU-zJ99rjq8/s640/tamko.jpg)
Watanzania wenzangu!Leo tarehe 29 October 2015, kwa kupitia Mgombea Mwenza wangu, Mh. Juma Duni Haji nimewasilisha rasmi malalamiko yetu kuhusu mwenendo mzima wa uchaguzi mkuu wa 2015 kwa Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi.
Tumeainisha kwenye malalamiko yetu, kutokuridhishwa kwetu na mwenendo na matukio mbalimbali, hususani, utangazaji wa matokeo batili, yasiyo akisi matokeo halisi yaliyopatikana kwenye vituo vya kupiga kura, kama ifuatavyo.
• Upunguzwaji wa kura zangu• Kuongeza kura kwa...