Master J ana moyo wa kipekee, Mungu amzidishie — Izzo Bizness
Izzo Bizness amedai kuwa Master J ni mtu mwenye moyo wa kipekee. Akiongea kwenye kipindi cha Chill na Sky, Izzo alisema kuwa mtayarishaji huyo mkongwe aliyemsainisha kwenye label yake ana mengi aliyomsaidia na hawezi kusahau ukarimu wake. “Yule jamaa ana moyo ambao unaweza ukawa unamuomba Mungu kila siku amzidishie kwasababu Jay anakufanya unakuwa huru halafu […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo521 Sep
Izzo Bizness awashirikisha Mwana FA na G-Nako
10 years ago
GPLIZZO BIZNESS ATEMBELEA GLOBAL TV ONLINE LEO
9 years ago
Bongo519 Oct
Video: Mambo 3 usiyoyajua kuhusu Izzo Bizness
11 years ago
CloudsFM09 Jul
Audio & lyrics: Izzo Bizness - Walala Hoi
![](http://1.bp.blogspot.com/-77VNeibHINc/U70T0HD_ORI/AAAAAAAAFOI/q4IB0m3bLwE/s1600/IMG-20140709-WA0003.jpg)
9 years ago
Bongo506 Nov
Siwezi kuoa kwa kuwaridhisha watu — Izzo Bizness
![Izzo](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Izzo-300x194.jpg)
Rapper anayeiwakilisha Mbeya city, Izzo Bizness amesema kuwa hana mpango wa kuoa kwa sasa licha ya kuwa yuko kwenye mahusiano na tayari ni baba wa mtoto mmoja.
Tumeshawasikia mastaa wengi ambao wameweka bayana sababu za kwanini hawataki kuoa au kuolewa kwa sasa, lakini kwa upande wa Izzo hii ndio sababu aliyoitoa.
“Umri unaenda lakini ndoa ni mipango, siwezi kuoa kwa kuwaridhisha watu kwa kuwa mimi ni kioo cha jamii, si kitu rahisi kama watu wanavyofikiria ingawa niko kwenye mahusiano”,...
10 years ago
GPL28 Feb