Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mateka 50 wauawa Syria

Wapiganaji wanaoshukiwa kuhusishwa na kundi la Al-Qaeda wanadaiwa kuwauwa karibu mateka 50 waliokuwa wamewazuilia mjini Alepo

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Mateka wa Sweden waachiliwa huru Syria

Sweden wanasema kuwa raia wake wawili ambao walikuwa wakishikiliwa mateka nchini Syria wameachiliwa huru kupitia usaidizi wa Palestina na Jordan

 

9 years ago

BBCSwahili

Waasi Syria watumia mateka kuwa ngao

Taarifa kutoka nchini Syria zinaeleza kwamba ,waasi nchini humo wanatumia askari mateka wanajeshi na wengine wenye uhusiano na serikali kama ngao

 

9 years ago

Bongo5

27 wauawa baada ya watu 170 kushikiliwa mateka kwenye hoteli nchini Mali

2EA5E94000000578-3326708-image-a-1_1448047482182

Takriban watu 27 wameuawa Jumamosi hii baada ya watu 170 kushikiliwa mateka kwenye hoteli ya Radisson Blu ya nchini Mali.

2EA5E94000000578-3326708-image-a-1_1448047482182

Shambulio hilo limefanywa na watu watatu kwenye mji mkuu Bamako, ambapo watu hao wakiwa na silaha waliivamia hoteli hiyo. Wawili kati yao wameuawa kwenye tukio hilo.

Mbunge wa Ubelgiji, Geoffrey Dieudonné, ni miongoni mwa waliouawa.

Dieudonné alikuwa akitoa mafunzo kwa maafisa wa bunge la Mali. Rais Ibrahim Boubacar Keita ametangaza siku tatu za maombolezo.

Kundi la...

 

10 years ago

BBCSwahili

230 wauawa na IS Syria

Miili ya Watu zaidi ya 230 wanaelezwa kuawa na Wanamgambo wa Islamic State Syria.

 

10 years ago

BBCSwahili

Raia 20 wauawa Syria

Ripoti kutoka nchini Syria zinasema kuwa takriban watu 20 wameuawa kufuatia mashambulizi ya angani yaliyoendeshwa na serikali

 

9 years ago

BBCSwahili

13 wauawa kwenye shambulizi Syria

Mshambuliaji wa kujitoa mhanga ameshambulia vikosi vya jeshi la wakurdi kaskazini mashariki mwa Syria na kuwaua takriban watu 13

 

10 years ago

BBCSwahili

Zaidi ya watu 60 wauawa Syria

Zaidi ya watu 60 wameuwawa, katika mashambulio kadhaa ya angani yaliyofanywa na majeshi ya serikali ya Syria.

 

10 years ago

BBCSwahili

Askari na Waasi wauawa kwa Bomu Syria

Waasi nchini Syria na askari wa usalama wameripotiwa kuuawa katika mapigano katika mji ulio kaskazini mwa Nchi hiyo, Aleppo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Watu 76 elfu wauawa nchini Syria 2014

Watu 76 elfu wameuawa katika mgogoro wa Syria katika mwaka 2014 pekee.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani