Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Matokeo ya Mechi za ligi ya Europa

Mshambuliaji wa Everton, Romelu Lukaku jana aliisaidia timu yake ya Everton kupata ushindi dhidi ya Dyanamo Kiev ya Ukraine wa magoli 2 kwa moja.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Matokeo ya mechi za Europa Ligi November 5

3519

Matokeo ya mechi mbali mbali za UEFA EUROPA zilizochezwa usiku wa Alhamisi yako hapa.

3519

MATOKEO MECHI ZA UEFA EUROPA LEAGUE…
Rosenborg 0-2 Lazio
Athletic Club 5-1 Partizan Belgrade
Belenenses 0-2 FC Basel
Sparta Prague 1-1 FC Schalke 04
Tottenham Hotspur 2-1 RSC Anderlecht
St Etienne 3-0 Dnipro Dnipropetrovsk
Skenderbeu Korce 3-0 Sporting Lisbon
Lech Poznan 0-2 Fiorentina
Asteras Tripolis 2-0 APOEL Nicosia
Dinamo Minsk 1-2 Villarreal
Borussia Dortmund 4-0 FK Qabala
FK Krasnodar 2-1 PAOK...

 

9 years ago

Dewji Blog

Matokeo ya ligi ya Europa (UEFA Europa League)

Uefa Europa League

Ligi ya vilabu barani Ulaya (Uefa Europa League) iliendelea hapo kwa michezo 24 iliyochezwa katika viwanja 12 tofauti. Yafuatayo ni matokeo ya michezo hiyo;

GROUP A;

Ajax 0 – 0 Fenerbahçe

Celtic 1 – 2 Molde

GROUP B;

FC Sion 1 – 1 Bordeaux

Rubin Kazan 0 – 1 Liverpool

GROUP C;

Borussia Dortmund 4 – 0 FK Qabala

FK Krasnodar 2 -1 PAOK Salonika

GROUP D;

Club Brugge 1 – 0 Legia Warsaw

Napoli 5 – 0 FC Midtjylland

GROUP E;

Dinamo Minsk 1 – 2 Villarreal

Viktoria Plzen 1 – 2 Rapid Vienna

GROUP F;

FC...

 

9 years ago

Bongo5

Tazama matokeo ya mechi zote za Europa League

Usiku wa Alhamis palikuwa na mechi za EUROPA League (UEFA ndogo) na haya ni matokeo ya timu zote zilizocheza. Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

9 years ago

Bongo5

Matokeo ya Michuano ya Europa ligi

2754

Michuano ya Europa ligi imeendelea usiku wa Dec 10 jana kwa mechi kadhaa,Miongoni mwa mechi hizo ni mchezo kati ya FC Sion ya Uswiss dhidi ya Liverpool ya Uingereza ambazo zimetoshana nguvu ya bila kufungana Tottenham imeiadhibu Monaco kwa ushindi wa bao 4 – 1,

2754

MATOKEO MECHI ZA UEFA EUROPA LEAGUE JANA
Lech Poznan 0 – 1 FC Basel
Athletic Club 2 – 2 AZ
St Etienne 1 – 1 Lazio
Sporting Lisbon 3 – 1 Besiktas
RSC Anderlecht 2 – 1 FK Qarabag
Fiorentina 1 – 0 Belenenses
Partizan Belgrade 1 – 3 FC...

 

9 years ago

Bongo5

Haya ni matokeo ya mechi za ligi ya mabingwa Ulaya

Mechi zingine za ligi ya mabingwa Ulaya kwa michezo ya Kundi E, F, G na H zimechezwa na haya ni matokeo ya mechi zote za September 16. Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

9 years ago

Bongo5

Haya ni matokeo ya mechi za ligi ya mabingwa Ulaya, October 20

Michuano ya ligi ya mabingwa wa Ulaya imeendelea October 20 kwa michezo kadhaa kupigwa katika viwanja mbalimbali barani Ulaya. Mchezo uliokuwa ukisubiriwa kwa hamu na mashabiki wengi wa soka ni kati ya Arsenal dhidi ya FC Bayern Munich ya Ujerumani. Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari […]

 

9 years ago

Bongo5

Matokeo ya Mechi za Ligi ya Mabingwa Ulaya iliyo chezwa October 21

October 21 michezo ya Ligi ya Mabingwa Ulaya iliendelea kwa michezo nane kupigwa katika viwanja mbalimbali barani Ulaya. Mechi ambayo ilikuwa akitazamwa na wengi ni timu za Real Madrid na Paris Saint Germain. Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube […]

 

9 years ago

MillardAyo

Yanga waendeleza ubabe wao dhidi ya Mbeya City, cheki pichaz na matokeo ya mechi za Ligi Kuu TZ Dec 26

Ligi Kuu soka Tanzania imeendelea uwanja wa Taifa Dar Es Salaam kwa Mabingwa watetezi wa Ligi hiyo Dar Es Salaam Young Africans kuwakaribisha wagonga nyundo wa jiji la Mbeya klabu ya Mbeya City. Huu ni mchezo wa 13 kwa klabu ya Yanga ambao ndio wapo kileleni mwa msimamo wa Ligi. Yanga ambao ndio wanatajwa kuwa […]

The post Yanga waendeleza ubabe wao dhidi ya Mbeya City, cheki pichaz na matokeo ya mechi za Ligi Kuu TZ Dec 26 appeared first on TZA_MillardAyo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani