MATUKIO KATIKA PICHA AJALI YA CHOPA HUKO KIPUNGUNI DAR
![](http://1.bp.blogspot.com/-JS8QdqhESnE/VHmngCEtcMI/AAAAAAACTnQ/FdDpKE6-sgA/s72-c/IMG-20141129-WA0012.jpg)
Helkopta aina ya Chopa iliyoanguka maeneo ya Kipunguni B Ukonga jijini Dar es Salaam, leo asubuhi na kuua watu wanne waliokuwemo akiwa ni rubani pamoja na askari watatu.
Miili ya watu waliokuwemo kwenye helkopta hiyo ikiwa imekandamizwa na mabaki ya chopa hiyo.
Sehemu ya mashuhuda wa maeneo hayo wakishuhudia ajali hiyo.
Helkopta inayosemekana inamilikiwa na TANAPA imeanguka na kuteketea kwa moto katika eneo la Kipunguni B Ukonga jijini Dar es Salaam leo asubuhi. Kwa mujibu wa mashuhuda,...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-MMT3MMBZ82E/VNXYpGOVZdI/AAAAAAAHCUU/iii8bqV99lA/s72-c/unnamed%2B(1).jpg)
ajali ya moto yasababisha maafa ukonga Kipunguni usiku wa kuamkia leo jijini Dar es salaam
![](http://1.bp.blogspot.com/-MMT3MMBZ82E/VNXYpGOVZdI/AAAAAAAHCUU/iii8bqV99lA/s1600/unnamed%2B(1).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-cCQgH_mJjGA/VNXb92b1czI/AAAAAAAHCUk/PRtTsLh5rgE/s1600/unnamed%2B(2).jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-oL9z5v5x1bY/ViDk68ifZEI/AAAAAAAIAYc/-NjTz1zrYS8/s72-c/chopa-2.jpg)
STOP PRESS: MBUNGE WA LUDEWA MHE DEO FILIKUNJOMBE AFARIKI KATIKA AJALI YA CHOPA
![](http://3.bp.blogspot.com/-oL9z5v5x1bY/ViDk68ifZEI/AAAAAAAIAYc/-NjTz1zrYS8/s320/chopa-2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-LqfJnyU--Zc/ViDk6rqWqjI/AAAAAAAIAYo/M4MKIn4JBv8/s1600/2461.jpg)
Mbunge wa Ludewa Mhe Deogratias Haule Filikunjombe (chini) amefariki dunia katia ajali ya Chopa katika hifadhi ya wanyama ya Selous, pamoja na rubani Kepteni William Silaa (juu kulia), mfanyakazi wa halmashauri ya wilaya ya Ludewa na ndugu yake Marehemu Filikunjombe ambao majina hayajapatikana mara moja.
Mhe. Deo Filikunjombe, rubani na na abiria wengine walipata matatizo ya engine ya chopa namba 5Y-DKK jana jioni wakitokea Dar kuelekea Ludewa.
![](http://1.bp.blogspot.com/-LRkymnZeQmg/ViDk62H1T2I/AAAAAAAIAYg/Sko6AMTonqU/s320/f2-1.jpg)
9 years ago
MichuziMATUKIO MBALIMBALI KATIKA WA MKESHA WA MWAKA 2016 KATIKA PICHA
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-KSo0_PiaVoM/VREwm99uVhI/AAAAAAAADB0/QklnVjd0yMc/s72-c/1.jpg)
PICHA ZINATISHA,AJALI ILIYOTOKEA USIKU WAKUAMKIA LEO HUKO NZEGA WATU 6 WAPOTEZA MAISHA
![](http://2.bp.blogspot.com/-KSo0_PiaVoM/VREwm99uVhI/AAAAAAAADB0/QklnVjd0yMc/s640/1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Z4XIevg0DAQ/VREwqWn0PZI/AAAAAAAADCU/vHgdGOF6Lms/s640/8.jpg)
5 years ago
BBCSwahili25 Mar
Coronavirus: Matukio katika picha
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-3ay15_IFH7c/XtpQfGeIQzI/AAAAAAALsus/tDDFs5_4dp4qluoERo_FnPvCfQLNwq1JACLcBGAsYHQ/s72-c/bcaf50fc-b4fc-4792-9468-78392ab24c92.jpg)
MATUKIO KATIKA PICHA BUNGENI DODOMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-3ay15_IFH7c/XtpQfGeIQzI/AAAAAAALsus/tDDFs5_4dp4qluoERo_FnPvCfQLNwq1JACLcBGAsYHQ/s640/bcaf50fc-b4fc-4792-9468-78392ab24c92.jpg)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Mbunge wa Kilolo, Venance Mwamoto, Bungeni jijini Dodoma, Juni 5, 2020. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/cd8a9c87-5762-4ce3-98dc-4abe9138014b.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/d60cbdc7-6694-4787-b9a5-4e2c636fa7bf.jpg)
9 years ago
Mzalendo Zanzibar27 Aug
Matukio katika Picha CCM v UKAWA
Kisonge wameuliza Swali Lowasa wa ZNZ anasubiri nini? Magari yakisubiri kuhamisha watu wakajaze mkutano.
The post Matukio katika Picha CCM v UKAWA appeared first on Mzalendo.net.