Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAULID MAKUBA KUFANYIKA WELLINGBOROUGH NCHINI UINGEREZA (UNITED KINGDOM)

Kwa heshima na taadhima mnakaribishwa kwenye hadhara ya kuadhimisha mazazi ya Mtume Muhammad Allah amuiye radhi.
Hadhara itafanyika siku ya Jumamosi sawa na tarehe 21/02/2015  kwenye anuani ifuatayo ‘4O GOLDSMITH ROAD NN8 3RU’ kuanzia saa nane mchana hadi saa moja usiku.
Masheikh kutoka sehemu mbalimbali wamealikwa kwa malengo ya kuilezea historia ya Mtume Muhammad (SAW) kwa kina. Sheikh Muhammadul Eid (Abu Eid) ataongoza shughuli hiyo kama mgeni rasmi.  Pamoja na mambo mengine hadhara ina...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

KATIBU MKUU OFISI YA RAISI ZANZIBAR, MHE. SALUM MAULID AFUNGA MKUTANO WA TANZANIA DIASPORA BUSINESS CONVENTION 2015 NCHINI UINGEREZA

Mheshimiwa Katibu Mkuu, Balozi Liberata Mulamula (kati), Mheshimiwa Balozi wa Tanzania, Uingereza, Peter Kallaghe (pili kushoto), Mheshimiwa Katibu Mkuu Ofisi ya Raisi Zanzibar, Bwana Salum Maulid (kushoto), Mwenyekiti wa Watanzania waishio Birmingham, Prince Katega (pili kulia), dada Gradys Katega (MC) wakiwa pamoja na Kamati ya Mkutano wa Tanzania Diaspora Business Convention 2015.Mheshimiwa Katibu Mkuu, Balozi Liberata Mulamula (kati), Mheshimiwa Salum Maulid ,Katibu Mkuu Ofisi ya...

 

9 years ago

Dewji Blog

Maombi maalum ya kumuombea Rais Magufuli kufanyika leo nchini Uingereza!!

5756a1ac-4bb3-4135-b626-84003aa2fca3

Naibu Balozi wa Tanzania nchini Uingereza, Balozi Msafiri Marwa anatarajiwa kuwa mgeni rsmi katika maombi maalum ya kumuombea Rais wa Tanzania, Dk. John Pombe Magufuli maombi yanayotarajiwa kufanyika leo nchini Uingereza. Maombi hayo yataendeshwa na Bishop Francis Sarpong, Pastor Mkuu wa Swahili Bob Baraka na wengineo.

 

10 years ago

TheCitizen

Why United Kingdom is keen to partner with Tanzania

It gives me great pleasure to have the opportunity to visit Tanzania this week as part of my programme of regional visits to East Africa. In my professional career I worked in Africa for many years and it is a region that is close to my heart.

 

5 years ago

Jakarta Post

United Kingdom has 19 confirmed cases of the new coronavirus - The Jakarta Post

United Kingdom has 19 confirmed cases of the new coronavirus - The Jakarta Post  Jakarta PostCoronavirus: First Welsh case among three new UK diagnoses  BBC NewsFirst coronavirus patient confirmed in Wales | ITV News  ITV NewsSchools could be shut for more than two months to stop coronavirus  Metro.co.ukCoronavirus: UK schools and offices could close for up to two months  The GuardianView Full coverage on Google News

 

5 years ago

GlobeNewswire

United Kingdom Building Construction Industry Forecasts to 2024

United Kingdom Building Construction Industry Forecasts to 2024  GlobeNewswire

 

10 years ago

GPL

SIKUKUU YA MAULID KITAIFA KUFANYIKA KOROGWE, TANGA-BAKWATA

Sikukuu ya Maulid kitaifa inaratajia kufanyika wilayani Korogwe mkoani Tanga Januari 4 Mwaka huu. Kwa taarifa iliyotolewa katika vyombo vya habari na kusainiwa na Katibu Mkuu wa Baraza Kuu la Waislaam Tanzania (Bakwata),Suleiman Said Lolila ilisema Maulid itaanza Januari 3 na kumalizika Januari 4. Mufti na Sheikh Mkuu wa Tanzania ,Issa  Bin Shaaban Simba anawatakia waislaam na wananchi kwa ujumla maulid njema. Hata hiyo Katibu...

 

10 years ago

Michuzi

SIKUKUU YA MAULID KITAIFA KUFANYIKA KOROGWE,TANGA-BAKWATA



Sikukuu ya Maulid kitaifa inaratajia kufanyika wilayani Korogwe mkoani Tanga Januari 4 Mwaka huu. 
Kwa taarifa iliyotolewa katika vyombo vya habari na kusainiwa na Katibu Mkuu wa Baraza Kuu la Waislaam Tanzania (Bakwata),Suleiman Said Lolila ilisema Maulid itaanza Januari 3 na kumalizika Januari 4.


Mufti na Sheikh Mkuu wa Tanzania ,Issa  Bin Shaaban Simba anawatakia waislaam na wananchi kwa ujumla maulid njema.


Hata hiyo Katibu Mkuu Lolila aliwataka waislam wote nchini kushirikia kikamilifu...

 

10 years ago

Dewji Blog

Tony Blair, Former Prime Minister of the United Kingdom, to Present a Keynote Address at the 2015 Mining Indaba

miningindaba

Mining Indaba, the world’s largest mining investment event will take place on 9 – 12 February 2015 in Cape Town, South Africa

The organisers of the annual Investing in African Mining Indaba (http://www.miningindaba.com) announced today that Tony Blair, Prime Minister of the United Kingdom (1997 – 2007) will participate in a keynote presentation at the  2015 annual conference.  Euromoney Institutional Investor Managing Director, Mr. Christopher Fordham, will host an “Interview with Tony...

 

10 years ago

Michuzi

The Lord Mayor of Coventry in West midlands in the United Kingdom Count Hazel Noonan pays a visit to Tanzanian community in coventry

The Lord Mayor of Coventry in West midlands in the United Kingdom  Count Hazel Noonan and her consort visited the Tanzania community living in the city of Coventry. The Mayor also visited  projects run by the Community.
At the evening hosted by madrasatul Aqsaa , a community supplementary school,she commended the good work done by this community and pledged the support of the Government.The head of the school Ustadh Ally Khamisi told ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani