Mawaziri kambi ya upinzani hawa hapa
KAMBI rasmi ya upinzani bungeni imeunda upya baraza lake kivuli la mawaziri kwa kuingiza wabunge wa vyama vya CUF na NCCR-Mageuzi isipokuwa TLP na DP. Kiongozi wa kambi hiyo bungeni, Freeman Mbowe alitaja orodha ya mawaziri vivuli jana mjini Dodoma kwenye mkutano na waandishi wa habari.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo15 May
Hotuba ya Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni

1. UTANGULIZI:
Mheshimiwa Spika,
Kwanza kabisa napenda kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuendelea kunilinda na kunitunza ili niweze kutumikia taifa langu. Napenda kuishukuru familia yangu kwa msaada mkubwa na uvumilivu hasa katika harakati na shughuli zangu za kisiasa.
Mheshimiwa Spika,Napenda kuchukua nafasi hii pia, kuwashukuru watanzania wote kwa ujumla kwa kupokea na kulea harakati za mabadiliko nchini. Shukrani hizi za pekee ziwafikie wenyeviti...
11 years ago
Mwananchi17 May
Kambi ya upinzani yamshukia Spika Anne Makinda
9 years ago
Habarileo10 Dec
Meya wa kwanza kambi ya upinzani Arusha leo
MADIWANI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) wamemchagua Diwani wa Kata ya Sokoni 1, Kalisti Lazaro kuwa mgombea wa nafasi ya Meya wa Jiji la Arusha huku akijihakikishia nafasi hiyo kwani vyama vingine vya upinzani vina diwani mmoja tu.
9 years ago
Raia Mwema16 Dec
11 years ago
Dewji Blog14 May
Hotuba ya msemaji mkuu wa kambi rasmi ya upinzani Bungeni Mhe. Mch. Peter Simon Msigwa
Hotuba Ya Msemaji Mkuu Wa Upinzani-maliasili Na Utalii Final Version 2014 by moblog
11 years ago
Tanzania Daima01 May
Waliotemwa Azam FC hawa hapa
HATIMAYE uongozi wa Azam FC umetaja majina ya wachezaji iliowatema huku ikidaiwa kuwa mbioni kumnasa kipa wa Yanga, Ally Mustapha ‘Barthez’, ambaye pia anawaniwa na Simba. Azam FC, awali ilitangaza...
10 years ago
MichuziOfisi ya Kambi ya Upinzani Bungeni yaandaa futari wakati wa kikao cha ukawa jijini Dar es salaam
11 years ago
Tanzania Daima08 Feb
Wajumbe Bunge la Katiba hawa hapa
SERIKALI imetangaza majina 201 ya wajumbe kutoka makundi mbalimbali nchini walioomba kuteuliwa ili kuingia kwenye Bunge Maalumu la Katiba. Kabla ya kutangaza majina hayo kwa niaba ya Rais Jakaya Kikwete,...