Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Waliotemwa Azam FC hawa hapa

HATIMAYE uongozi wa Azam FC umetaja majina ya wachezaji iliowatema huku ikidaiwa kuwa mbioni kumnasa kipa wa Yanga, Ally Mustapha ‘Barthez’, ambaye pia anawaniwa na Simba. Azam FC, awali ilitangaza...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Mawaziri kambi ya upinzani hawa hapa

KAMBI rasmi ya upinzani bungeni imeunda upya baraza lake kivuli la mawaziri kwa kuingiza wabunge wa vyama vya CUF na NCCR-Mageuzi isipokuwa TLP na DP. Kiongozi wa kambi hiyo bungeni, Freeman Mbowe alitaja orodha ya mawaziri vivuli jana mjini Dodoma kwenye mkutano na waandishi wa habari.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wajumbe Bunge la Katiba hawa hapa

SERIKALI imetangaza majina 201 ya wajumbe kutoka makundi mbalimbali nchini walioomba kuteuliwa ili kuingia kwenye Bunge Maalumu la Katiba. Kabla ya kutangaza majina hayo kwa niaba ya Rais Jakaya Kikwete,...

 

11 years ago

Habarileo

Vigogo watakaomuaga Mandela leo hawa hapa

DUNIA leo inaelekeza macho na masikio Afrika Kusini, wakati viongozi 90 wakuu wa nchi na Serikali, viongozi wa mashirika ya kimataifa na watu mashuhuri, watakaposhiriki katika siku ya kitaifa ya kutoa heshima za mwisho kwa mwili wa aliyekuwa Rais wa Kwanza mweusi wa Afrika Kusini, Nelson Mandela.

 

11 years ago

GPL

WASHIRIKI WA MISS TEMEKE 2014 HAWA HAPA

Mshiriki Nambari 1 (Subira Ally). Mshiriki Nambari 2 (Hellen Eugen). Mshiriki Nambari 3 (Rehema Jabiry).…

 

10 years ago

Dewji Blog

Washindi wa tuzo za Watu 2015, hawa hapa!!

TIIPichani wakati wa tuzo za watu ilivyokuwa baada ya washindi kukabidhiwa  tuzo zao..

Na Andrew Chale, Modewji blog

Hatimaye usiku wa Mei 22 Tanzania iliandika historia nyingine kwa kushuhudia utoaji wa tuzo maalum zijulikanazo kama TUZO ZA WATU 2015, zilizofanyika jijini Dar es Salaam.

Washindi hao  ni katika vipengele 13 vya mwaka huu. Majina hayo ya washindi yaliingia baada ya kuvuka michujo miwili migumu. Ni kura za mashabiki peke yake ndio ziliwaingiza kwenye fainali hiyo na mshindi...

 

10 years ago

Bongo Movies

Best Screenplay Hawa Hapa Mpigie Kura Anayetisha

KATIKA Tuzo za Tafa kila kipengele kimejaa upinzani kwani naamini wote walioingia humu wanatisha bali kuna mmoja wao atakuwa zaidi yao basi mpigie kura aweze kuibuka mshindi katika kinyang’anyiro hiki muhimu katika utayarishaji wa filamu.

Unakutana na Takura Maulay ‘TK’ kupitia filamu ya Sunshine, hapa kuna Timoth Conrad ‘Tico’akiwakilisha filamu ya Dogo Masai, Ahmed Khalfan ‘Kelvin’We are Four, ,Irene Sanga filamu ya Mikono Salama, Novatus Mgulusi ‘Ras N’ anawakilisha filamu ya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wacheza dili wa ndege ‘mpya’ ATCL hawa hapa

VIGOGO wa Shirika la Ndege Tanzania (ATCL), waliofanya dili la kukodisha ndege chakavu aina ya CRJ 200 na kutangaza kwamba wameinunua, wamebainika. Vigogo hao wamebainika katika mwendelezo wa uchunguzi uliofanywa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani