Mawaziri wanne wang’oka
>Ripoti ya Kamati ya Maliasili, Ardhi na Mazingira iliyowasilishwa jana asubuhi bungeni mjini Dodoma, imewang’oa madarakani mawaziri wanne ambao wizara zao zilishindwa kusimamia vizuri utekelezaji wa Operesheni Tokomeza Ujangili.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili14 Aug
Mkono wa rubani wang'oka hewani
5 years ago
CCM BlogCHAMA CHA ACT-WAZALENDO CHAPATA MAAFA KIGOMA, MADIWANI WAKE WATANO WANG'OKA NA KUHAMIA CCM, LEO
11 years ago
Tanzania Daima22 Dec
Madiwani wafurahia mawaziri kung’oka
MADIWANI wa Wilaya ya Tarime, Mara, wamefurahishwa na taarifa ya Kamati ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Mazingira iliyowasilishwa na Mwenyekiti wake James Lembeli bungeni na kusababisha mawaziri wanne kuachia nyadhifa...
11 years ago
Tanzania Daima25 Dec
Kung’oka kwa mawaziri tusherehekehe au tulie?
MAWAZIRI wanne katika Serikali ya Awamu ya Nne ya Rais Jakaya Kikwete ikiwa ukingoni wameng’oka baada ya shinikizo kali kutoka kwa wabunge kufuatia kashfa ya ukiukwaji mkubwa wa haki za...
11 years ago
Tanzania Daima21 Dec
Mawaziri wanne OUT
MASHAMBULIZI ya wabunge dhidi ya mawaziri wanne kushindwa kusimamia wizara zao, yamemfanya Rais Jakaya Kikwete kutengua uteuzi wao kuanzia jana. Mawaziri hao ni Waziri wa Maliasili na Utalii, Balozi Khamis...
9 years ago
Habarileo25 Dec
Uteuzi wa mawaziri wanne wapongezwa
UTEUZI wa mawaziri na naibu, uliofanywa na Rais John Magufuli kukamilisha Baraza lake la Mawaziri, umepongezwa na watu wa kada tofauti. Watu hao wamesema wanawakubali walioteuliwa huku wakisisitiza wapewe nafasi na muda, waoneshe utendaji wao.
11 years ago
BBCSwahili20 Dec
Kikwete afukuza mawaziri wanne TZ
11 years ago
Habarileo21 Dec
JK atengua uteuzi Mawaziri wanne
RAIS Jakaya Kikwete, ametengua uteuzi wa Mawaziri wanne, akikubaliana na kilio cha Wabunge cha kuwawajibisha mawaziri hao kutokana na makovu mabaya yaliyotokana na Operesheni Tokomeza.
9 years ago
Habarileo24 Dec
Mawaziri wapya wanne wateuliwa
RAIS John Magufuli amemalizia kujaza nafasi za uteuzi wa Mawaziri na Naibu Waziri alizobakiza wakati akitangaza Baraza la Mawaziri la Kwanza katika awamu ya tano ya utawala wake.