Mawaziri watatu waibuka machinjio ya Vingunguti
Kasi ya Mawaziri wa Serikali ya Awamu ya Tano jana ilichukua sura ya aina yake wakati mawaziri watatu walipoibuka kwenye machinjio ya Vingunguti, na kutoa maamuzi magumu kutokana na kukithiri kwa uchafu, ubadhilifu wa makusanyo ya fedha za ushuru.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
MillardAyo02 Jan
Maamuzi ya Mawaziri watatu kwenye meza moja walivyofika machinjio ya Vingunguti Dar..
January 02 2016 ni siku nyingine Jumamosi inayobeba kichwa cha habari cha ziara za ghafla za Mawaziri wa Rais Magufuli, hii ya leo wameongozana mguu kwa mguu Mawaziri watatu kwenda eneo la Vingunguti ambapo ni machinjio ya wanyama Dar es Salaam. Mawaziri hao George Simbachawene, Dk. Hamisi Kigwangalla na Mwigulu Nchemba wamefanya ziara hiyo na […]
The post Maamuzi ya Mawaziri watatu kwenye meza moja walivyofika machinjio ya Vingunguti Dar.. appeared first on TZA_MillardAyo.
10 years ago
GPLWAFANYABISHARA WASHAURI MACHINJIO YA VINGUNGUTI KUBORESHWA
11 years ago
Mwananchi03 Aug
BIASHARA: Saa mbili ndani ya Machinjio ya Vingunguti
9 years ago
MillardAyo02 Jan
Maneno 18 ya Waziri Mwigulu Nchemba baada ya kugundua upotevu wa kodi machinjio ya Vingunguti..
Picha zimeenea mitandaoni zikimuonesha Waziri wa Kilimo, Mifugo na Uvuvi, Mwigulu Lameck Nchemba akiwa kwenye ziara katika machinjio maarufu ya ng’ombe pamoja na mbuzi iliyopo eneo la Vingunguti Dar es Salaam. Baada ya ziara hiyo Waziri Nchemba ameandika haya kwenye ukurasa wake wa Twitter >>> ‘Machinjio- Vingunguti usiku huu,hatua za awali nakutana na upotevu wa kodi […]
The post Maneno 18 ya Waziri Mwigulu Nchemba baada ya kugundua upotevu wa kodi machinjio ya Vingunguti.. appeared first...
9 years ago
Michuzi02 Jan
NEWS ALERT: WAZIRI MWIGULU NCHEMBA ATUA MACHINJIO YA VINGUNGUTI USIKU, AKUTANA NA MADUDU YA KUTAFUNA KODI
![](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/SZmMgbGGCdnbdXUb7_A68fMgirLeyFKS7ydzO-ofiDI6V7LMmZ1n9Orfrb9i8vCO1S4Esi1ANyRuGN7FPXaJecRqEwcKL-6cniTfMVNt9ZHK7ivdQ800HbEH05Lfv1-Cyi9_lvn07uMVnO4Q6MrNek4V7Kc-88eqvaH3JxOrSSXcJWyW8EhQVIxZnp821igxHAa8XOuoj_cqYS-LAegQ-1ew8tRM_meUsh3-KHmP8ZqgUE-YzQaeXoUQSP3eutTi7xP0Vl0Gsm5bH1_Vf0xXMYTmbb245TX5z3KGM7Fg8LJupdZXNdRMmnM_R5U=s0-d-e1-ft#https://fbcdn-sphotos-b-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xaf1/v/t1.0-9/1558428_929149373805554_7019256894256114543_n.jpg?oh=3ec65d2ef8e8cfde61aad22857c00002&oe=571FDD88&__gda__=1460251126_603450f489eecfccd253da3f09b556be)
![](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/Nd1BUCRW6L5AZkPYpK5sGYX7PCFZcfIt32NV1o-_ryDPszuhgxUWeGwE3QpQE0xi_1EzdxKA6LjArA4Wom24CmqXhy0-qb0kn3KwTHj_N1oNb5GsAGyf4L_MLxKEcWw2wredu39OW7bnAeJD_sZ7JtH5e3GEJK_Ra_Zl7cp8ANZCq2CZTsafD8raZu75iP9d-gfcIZc1SlcwjS23b8ADCKxzhuTIfcyMn-bVlNRz_XQ=s0-d-e1-ft#https://scontent-lhr3-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xpa1/v/t1.0-9/1682_929149433805548_7776065019326928329_n.jpg?oh=f43ed48fab9e610d47862439d48086a6&oe=5710CC17)
![](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/zkmX-uRzvzr3gr_zLgxWAPUK3MR4lrWL7gdG3hHJHuHkRxXI6F2RRJFY71wN87KqaiJU6cAYt0KtOVr5aO9Sq4-pi3sNn9l4oEZWV7vGtHft88zZb6xpttk1QWPXIorMqHga-dWk8IzIj00VNalQxE7rbI6b2mNWGxVHCM_NJCjJeDOoJFxikDvDkAgNHE1UKbZ-vPSMw3O7VcGaagBYmCS62MFfN9F3RWRrDTHhmdj76plPFQcn1KTSlkMJsRWFY0Tox-QyVIfWElvjHqLn9sWEoafMZGDAlWrsunlj9ShzTnEAxTwaVh47f8BA=s0-d-e1-ft#https://fbcdn-sphotos-a-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xfa1/v/t1.0-9/10336793_929149423805549_5813147724928826829_n.jpg?oh=436295092f07e56de6219cf700c6c712&oe=570E515F&__gda__=1459366249_c32f748b7086d65489017bfe9e7ee2b9)
![](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/CuFOg7SVdcYaztuy01sCijaKiNejXF7Q5qKTCIxHbosO0ZbEh5jfAVsdjJq7dzNgjbigu9XHF8xoO_RLvMohEXvf_gl13zOB8y_li4gtZ2ZisqKKQZYlSoH0a9zGPZjO7GxGgYMwdLZvKW8UaHmMe5EVV9ySylCIua2J5ZDlrBLkH--UWOJsjCQBmq9cZVbhSlFqoKoP8m6LcxWM4nKgIac9l_-tovi_pHERRaVXR0Xsf11HpFA0160-29phgi5XkCdOmRp4Xa6TSKWWuEEAhnRgOuefngFhJ39hGj7aiBCMzTZOUdOh3hLBCXd0=s0-d-e1-ft#https://fbcdn-sphotos-b-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xfp1/v/t1.0-9/10348287_929149357138889_3144989189231161392_n.jpg?oh=62ff62f9290ff9d8eba6f9d9891018e6&oe=5714C133&__gda__=1461687738_f782e3d112f0195934799d079d727202)
![](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/9NuKazt21dX61NrunYjuUN76JnOSL1iOBaRNWafnLQQTyXGBZa1uQeqBhlYOrqngpgJy2FiYmc1CLPvTUI89DotmjCHMa3cHwXHZ16M2jITYdplXsgd0V0Z6wcRB7iUebGe1VnBLnuO6xGnupnyZf_NyfcVgWCkmRYQG0pe3mUztQjyd2P59VNE7Dp4bqFsl6xze0hSzJLygEGLUSYW2rbQYUWlIQGMCZA-jJtdRsq9MbVFB53SVxdU8Atgc_UeuQ46s_5jz57eAInp9Ex7_L6QK4IX4IY43IVFX3pXmRl1eQd63o5IeFdCIwPw=s0-d-e1-ft#https://fbcdn-sphotos-e-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xaf1/v/t1.0-9/1654063_929149367138888_8865657160090386502_n.jpg?oh=364ef29707cbbcc722f6dd1831f7f32b&oe=5700A58A&__gda__=1459716084_2d4c78a091bc2d39a301ebe5a475a849)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-AR_smzLKgT4/Xt-VXHh1HmI/AAAAAAALtL0/rn2ukRANnWo7k2nVNHMSvEElzJCYLIGagCLcBGAsYHQ/s72-c/PIC%2B2.jpg)
WAZIRI ZUNGU AFANYA ZIARA YA UKAGUZI WA MAZINGIRA MRADI WA MACHINJIO YA VINGUNGUTI NA ENEO LA KINYEREZI LINALOPITA BOMBA LA GESI.
![](https://1.bp.blogspot.com/-AR_smzLKgT4/Xt-VXHh1HmI/AAAAAAALtL0/rn2ukRANnWo7k2nVNHMSvEElzJCYLIGagCLcBGAsYHQ/s640/PIC%2B2.jpg)
Waziriwa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais- Muungano na Mazingira Mh. Mussa Zungu akiwaonyesha wanahabari (Hawapo pichani) bomba la Gesi ya Songas liloangukiwa na mawe kutokana na athari za uchimbaji mchanga katika eneo hilo. Picha Charles Kombe.
![](https://1.bp.blogspot.com/-aHO0xEyrwP0/Xt-VV8re63I/AAAAAAALtLw/wnJaJyXiuvE-w-B7l3C_uiSbxjG5SdKqQCLcBGAsYHQ/s640/PIC%2B1.jpg)
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais- Muungano na Mazingira Mh. Mussa Zungu (Kulia) akiambatana na Meya wa Manispaa ya Ilala Omari Kumbilamoto (wa pili kushoto) askari wa Ulinzi na viongozi wa ngazi mbalimbali za kiserikali alipofanya ziara...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-V4JjZu6PdrA/VdGsQzVLEgI/AAAAAAAAAeg/U0KkI9L1Kwk/s72-c/New%2BPicture.png)
WATATU WAIBUKA WASHINDI SHINDANO LA MUZIKI MNENE-KISARAWE
![](http://2.bp.blogspot.com/-V4JjZu6PdrA/VdGsQzVLEgI/AAAAAAAAAeg/U0KkI9L1Kwk/s640/New%2BPicture.png)
Jimmy Jiam akiwa na washindi wa Muzuki Mnene Bango eneo la Kisarawe,Washindi hao walitokana na kuwenga bango la EFM katika sehemu zao mbalimbali na kama wanavyoonekana tayari wamekabidhiwa zawadi zao.
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-i0bRhpa3W7g/VTn1N5oOjhI/AAAAAAAHS10/qZOzjrCSM2g/s72-c/kuku%2Bmchuuzi.jpg)
Baadhi ya machinjio jijini Dar es Salaam hayakidhi vigezo vya mazingira ya machinjio - Waziri Mahenge
![](http://1.bp.blogspot.com/-i0bRhpa3W7g/VTn1N5oOjhI/AAAAAAAHS10/qZOzjrCSM2g/s1600/kuku%2Bmchuuzi.jpg)
Baadhi ya machinjio jijini Dar es Salaam hayakidhi vigezo vya mazingira ya machinjio, hali ambayo huatarisha afya za wakazi wanaozunguka maeneo hayo ikiwemo pamoja na wafanyakazi machinjioni humo.
Hayo yalibainika wakati Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu ya Rais - Mazingira, Mh. Binilith Mahenge alipofanya ziara ya ukaguzi mazingira katika baadhi ya machinjio hayo jijini humo leo.
Katika ziara hiyo, Mh. Mahenge alitembelea machinjio ya Ukonga na...
9 years ago
Michuzi02 Jan
TIMUATIMUA YATUA MNADA WA PUGU, MWIGULU ASHIRIKIANA NA MAWAZIRI WAWILI KUTATUA KERO MACHINJIO YA PUGU