WAFANYABISHARA WASHAURI MACHINJIO YA VINGUNGUTI KUBORESHWA
Shughuli zinavyoendelea katika machinjio hayo. Baadhi ya wahusika katika machinjio ya Vingunguti jijini Dar es Salaam wamesema eneo hilo ni dogo kiasi cha kutokuwa na uwezo wa watu kuchinja mifugo mingi hivyo wameomba maboresho yafanyike haraka. ’’Machinjio haya ni maalumu kwa mbuzi na ng’ombe 30 kwa siku lakini kwa sasa tunalazimika kuchinja mbuzi na ng’ombe 250 kwa siku,… ...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi03 Jan
Mawaziri watatu waibuka machinjio ya Vingunguti
11 years ago
Mwananchi03 Aug
BIASHARA: Saa mbili ndani ya Machinjio ya Vingunguti
9 years ago
MillardAyo02 Jan
Maamuzi ya Mawaziri watatu kwenye meza moja walivyofika machinjio ya Vingunguti Dar..
January 02 2016 ni siku nyingine Jumamosi inayobeba kichwa cha habari cha ziara za ghafla za Mawaziri wa Rais Magufuli, hii ya leo wameongozana mguu kwa mguu Mawaziri watatu kwenda eneo la Vingunguti ambapo ni machinjio ya wanyama Dar es Salaam. Mawaziri hao George Simbachawene, Dk. Hamisi Kigwangalla na Mwigulu Nchemba wamefanya ziara hiyo na […]
The post Maamuzi ya Mawaziri watatu kwenye meza moja walivyofika machinjio ya Vingunguti Dar.. appeared first on TZA_MillardAyo.
9 years ago
MillardAyo02 Jan
Maneno 18 ya Waziri Mwigulu Nchemba baada ya kugundua upotevu wa kodi machinjio ya Vingunguti..
Picha zimeenea mitandaoni zikimuonesha Waziri wa Kilimo, Mifugo na Uvuvi, Mwigulu Lameck Nchemba akiwa kwenye ziara katika machinjio maarufu ya ng’ombe pamoja na mbuzi iliyopo eneo la Vingunguti Dar es Salaam. Baada ya ziara hiyo Waziri Nchemba ameandika haya kwenye ukurasa wake wa Twitter >>> ‘Machinjio- Vingunguti usiku huu,hatua za awali nakutana na upotevu wa kodi […]
The post Maneno 18 ya Waziri Mwigulu Nchemba baada ya kugundua upotevu wa kodi machinjio ya Vingunguti.. appeared first...
9 years ago
Michuzi02 Jan
NEWS ALERT: WAZIRI MWIGULU NCHEMBA ATUA MACHINJIO YA VINGUNGUTI USIKU, AKUTANA NA MADUDU YA KUTAFUNA KODI
![](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/SZmMgbGGCdnbdXUb7_A68fMgirLeyFKS7ydzO-ofiDI6V7LMmZ1n9Orfrb9i8vCO1S4Esi1ANyRuGN7FPXaJecRqEwcKL-6cniTfMVNt9ZHK7ivdQ800HbEH05Lfv1-Cyi9_lvn07uMVnO4Q6MrNek4V7Kc-88eqvaH3JxOrSSXcJWyW8EhQVIxZnp821igxHAa8XOuoj_cqYS-LAegQ-1ew8tRM_meUsh3-KHmP8ZqgUE-YzQaeXoUQSP3eutTi7xP0Vl0Gsm5bH1_Vf0xXMYTmbb245TX5z3KGM7Fg8LJupdZXNdRMmnM_R5U=s0-d-e1-ft#https://fbcdn-sphotos-b-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xaf1/v/t1.0-9/1558428_929149373805554_7019256894256114543_n.jpg?oh=3ec65d2ef8e8cfde61aad22857c00002&oe=571FDD88&__gda__=1460251126_603450f489eecfccd253da3f09b556be)
![](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/Nd1BUCRW6L5AZkPYpK5sGYX7PCFZcfIt32NV1o-_ryDPszuhgxUWeGwE3QpQE0xi_1EzdxKA6LjArA4Wom24CmqXhy0-qb0kn3KwTHj_N1oNb5GsAGyf4L_MLxKEcWw2wredu39OW7bnAeJD_sZ7JtH5e3GEJK_Ra_Zl7cp8ANZCq2CZTsafD8raZu75iP9d-gfcIZc1SlcwjS23b8ADCKxzhuTIfcyMn-bVlNRz_XQ=s0-d-e1-ft#https://scontent-lhr3-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xpa1/v/t1.0-9/1682_929149433805548_7776065019326928329_n.jpg?oh=f43ed48fab9e610d47862439d48086a6&oe=5710CC17)
![](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/zkmX-uRzvzr3gr_zLgxWAPUK3MR4lrWL7gdG3hHJHuHkRxXI6F2RRJFY71wN87KqaiJU6cAYt0KtOVr5aO9Sq4-pi3sNn9l4oEZWV7vGtHft88zZb6xpttk1QWPXIorMqHga-dWk8IzIj00VNalQxE7rbI6b2mNWGxVHCM_NJCjJeDOoJFxikDvDkAgNHE1UKbZ-vPSMw3O7VcGaagBYmCS62MFfN9F3RWRrDTHhmdj76plPFQcn1KTSlkMJsRWFY0Tox-QyVIfWElvjHqLn9sWEoafMZGDAlWrsunlj9ShzTnEAxTwaVh47f8BA=s0-d-e1-ft#https://fbcdn-sphotos-a-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xfa1/v/t1.0-9/10336793_929149423805549_5813147724928826829_n.jpg?oh=436295092f07e56de6219cf700c6c712&oe=570E515F&__gda__=1459366249_c32f748b7086d65489017bfe9e7ee2b9)
![](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/CuFOg7SVdcYaztuy01sCijaKiNejXF7Q5qKTCIxHbosO0ZbEh5jfAVsdjJq7dzNgjbigu9XHF8xoO_RLvMohEXvf_gl13zOB8y_li4gtZ2ZisqKKQZYlSoH0a9zGPZjO7GxGgYMwdLZvKW8UaHmMe5EVV9ySylCIua2J5ZDlrBLkH--UWOJsjCQBmq9cZVbhSlFqoKoP8m6LcxWM4nKgIac9l_-tovi_pHERRaVXR0Xsf11HpFA0160-29phgi5XkCdOmRp4Xa6TSKWWuEEAhnRgOuefngFhJ39hGj7aiBCMzTZOUdOh3hLBCXd0=s0-d-e1-ft#https://fbcdn-sphotos-b-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xfp1/v/t1.0-9/10348287_929149357138889_3144989189231161392_n.jpg?oh=62ff62f9290ff9d8eba6f9d9891018e6&oe=5714C133&__gda__=1461687738_f782e3d112f0195934799d079d727202)
![](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/9NuKazt21dX61NrunYjuUN76JnOSL1iOBaRNWafnLQQTyXGBZa1uQeqBhlYOrqngpgJy2FiYmc1CLPvTUI89DotmjCHMa3cHwXHZ16M2jITYdplXsgd0V0Z6wcRB7iUebGe1VnBLnuO6xGnupnyZf_NyfcVgWCkmRYQG0pe3mUztQjyd2P59VNE7Dp4bqFsl6xze0hSzJLygEGLUSYW2rbQYUWlIQGMCZA-jJtdRsq9MbVFB53SVxdU8Atgc_UeuQ46s_5jz57eAInp9Ex7_L6QK4IX4IY43IVFX3pXmRl1eQd63o5IeFdCIwPw=s0-d-e1-ft#https://fbcdn-sphotos-e-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xaf1/v/t1.0-9/1654063_929149367138888_8865657160090386502_n.jpg?oh=364ef29707cbbcc722f6dd1831f7f32b&oe=5700A58A&__gda__=1459716084_2d4c78a091bc2d39a301ebe5a475a849)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-AR_smzLKgT4/Xt-VXHh1HmI/AAAAAAALtL0/rn2ukRANnWo7k2nVNHMSvEElzJCYLIGagCLcBGAsYHQ/s72-c/PIC%2B2.jpg)
WAZIRI ZUNGU AFANYA ZIARA YA UKAGUZI WA MAZINGIRA MRADI WA MACHINJIO YA VINGUNGUTI NA ENEO LA KINYEREZI LINALOPITA BOMBA LA GESI.
![](https://1.bp.blogspot.com/-AR_smzLKgT4/Xt-VXHh1HmI/AAAAAAALtL0/rn2ukRANnWo7k2nVNHMSvEElzJCYLIGagCLcBGAsYHQ/s640/PIC%2B2.jpg)
Waziriwa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais- Muungano na Mazingira Mh. Mussa Zungu akiwaonyesha wanahabari (Hawapo pichani) bomba la Gesi ya Songas liloangukiwa na mawe kutokana na athari za uchimbaji mchanga katika eneo hilo. Picha Charles Kombe.
![](https://1.bp.blogspot.com/-aHO0xEyrwP0/Xt-VV8re63I/AAAAAAALtLw/wnJaJyXiuvE-w-B7l3C_uiSbxjG5SdKqQCLcBGAsYHQ/s640/PIC%2B1.jpg)
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais- Muungano na Mazingira Mh. Mussa Zungu (Kulia) akiambatana na Meya wa Manispaa ya Ilala Omari Kumbilamoto (wa pili kushoto) askari wa Ulinzi na viongozi wa ngazi mbalimbali za kiserikali alipofanya ziara...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-i0bRhpa3W7g/VTn1N5oOjhI/AAAAAAAHS10/qZOzjrCSM2g/s72-c/kuku%2Bmchuuzi.jpg)
Baadhi ya machinjio jijini Dar es Salaam hayakidhi vigezo vya mazingira ya machinjio - Waziri Mahenge
![](http://1.bp.blogspot.com/-i0bRhpa3W7g/VTn1N5oOjhI/AAAAAAAHS10/qZOzjrCSM2g/s1600/kuku%2Bmchuuzi.jpg)
Baadhi ya machinjio jijini Dar es Salaam hayakidhi vigezo vya mazingira ya machinjio, hali ambayo huatarisha afya za wakazi wanaozunguka maeneo hayo ikiwemo pamoja na wafanyakazi machinjioni humo.
Hayo yalibainika wakati Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu ya Rais - Mazingira, Mh. Binilith Mahenge alipofanya ziara ya ukaguzi mazingira katika baadhi ya machinjio hayo jijini humo leo.
Katika ziara hiyo, Mh. Mahenge alitembelea machinjio ya Ukonga na...
9 years ago
StarTV09 Nov
Wafanyabishara Arusha wanyoshewa kidole
Wafanyabiashara wanaotoa huduma katika masoko wametakiwa kudumisha utaratibu wa kufanya usafi katika maeneo yao ya biashara pasipo kushurutishwa ili kulinda afya za watumiaji wa bidhaa wanazouza, ikiwa ni jitihada za kupambana na ugonjwa wa kipindupindu.
Pia imeelezwa kuwa maeneo mengi ya masoko usafi wake hauridhishi kutokana na tabia ya baadhi ya wafanyabiashara kutokushiriki kikamilifu katika kufanya usafi.
wafanyabiashara wa soko kuu lililopo katikati ya jiji la Arusha pamoja na...
10 years ago
Mtanzania03 Sep
Wafanyabishara Mwanza watafakari kugoma
![Jiji la Mwanza](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/08/jiji-la-mwanza.jpg)
Jiji la Mwanza
NA BENJAMIN MASESE
JUMUIYA ya Wafanyabiashara Tanzania (JWT) mkoani Mwanza imewatangazia wafanyabiashara kutofunga maduka badala yake kungoja maelekezo ya vikao.
Akizungumza na gazeti jana, Mwenyekiti wa JWT mkoa wa Mwanza, Christopher Wambura, alisema wafanyabiashara hawatafunga maduka yao kwa kuwa vikao vinaendelea sasa.
Tamko la JWT limetolewa ikiwa ni siku moja baada ya TRA na polisi kutoa tangazo la kusisitiza matumizi ya mashine EFD’s.
TRA pia imewaonya wale...