Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mawaziti saba watoswa

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimeamua kuwatosa mawaziri saba wanaotajwa kuwa ni mizigo kwa serikali inayoongozwa na chama hicho. Hatua hiyo ya kuwatosa mawaziri hao waliohojiwa na Kamati Kuu (CC), iliyokutana...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Mawaziri watoswa

KAMATI ya uongozi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), imependekeza viongozi waliotajwa kuhusika katika kashfa  ya kuchota fedha zaidi ya sh bilioni 321 kwenye Akaunti ya Tegeta Escrow, wajiuzulu. Tanzania Daima Jumapili,...

 

11 years ago

Mwananchi

Wanamichezo wanne watoswa Madola

Wakati msafara wa Tanzania ukiondoka jana kwenda kwenye mMichezo ya Jumuiya ya Madola, wanamichezoi wanne wameachwa kutokana na majina yao kutoonekana Scotland.

 

9 years ago

Mwananchi

47 watoswa viti maalumu CCM, Ukawa

Mchakato wa uteuzi wa wabunge wake wa viti maalumu wa Bunge la kumi na moja, umeacha simanzi kubwa baada ya orodha iliyotolewa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kuonyesha kuwa wabunge 47 wametoswa katika vyama vya CCM, Chadema na CUF huku 33 wakipitishwa tena kuingia ‘mjengoni’.

 

11 years ago

Mwananchi

KAMATI MPYA: Bin Kleb, Nyanda watoswa Yanga

Mwenyekiti wa klabu ya Yanga, Yusuf Manji na makamu wake, Clement Sanga wamevunja Kamati ya Utendaji ya klabu hiyo na kuunda mpya huku ikimweka pembeni kinara wa usajili, Abdallah bin Kleb na mchezaji wa zamani wa klabu hiyo, Aaron Nyanda.

 

11 years ago

Michuzi

SHIRIKA LA POSTA TANZANIA LATOA HUDUMA MBALIMBALI MAONESHO YA SABA SABA

Wafanyakazi wa shirika la Posta wakiwa katika picha ya pamoja katika banda lao ndani ya  maonesho ya 38 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar-es-salaam yanayoendelea katika viwanja vya Mwalimu J.K. Nyerere, barabara ya Kilwa, jijini Dar es Salaam. Mmoja wa Wafanyakazi wa Shirika la Posta Tanzania,akimuelezea mmoja wa wateja wao aliefika kwenye banda lao kwa ajili ya kufahamu huduma mbalimbali zitolewazo na shirika hilo,kwenye maonesho ya 38 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar-es-salaam yanayoendelea...

 

11 years ago

Michuzi

WIZARA YA NISHATI NA MADINI YANG’ARA KWENYE MAONESHO YA SABA SABA

Mjiolojia Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini Bw. Mwara Shoo akitoa maelezo kwa mmoja wa wananchi waliotembelea banda la Wizara ya Nishati na Madini kwenye maonesho ya kimataifa ya Saba Saba yanayoendelea katika viwanja vya Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam.Afisa Utaalam Elekezi kutoka Wakala wa Nishati Vijijini (REA) Mhandisi Advera Mwijage akitoa elimu kwa wananchi waliotembelea banda hilo.Wataalam kutoka Shirika la Madini la Taifa (STAMICO) wakiwa katika picha ya pamoja na Mkurugenzi...

 

11 years ago

GPL

‘MR UWAZI’ AGAWA ZAWADI SABA SABA KWA WASOMAJI

Mr. Uwazi akimkabidhi zawadi msomaji wa gazeti la Uwazi. Msomaji akinunua gazeti na kupiga picha na Mr. Uwazi…

 

10 years ago

Michuzi

BENKI YA DCB YAWAPA KIPAUMBELE WA WAJASIRIMALI KATIKA MAONESHO YA SABA SABA

Baadhi ya wateja wakiwa katika banda la wajasiriamali walionufaika na huduma za kibenki na  DCB katika meonesho ya 39 ya Biashara ya Kimataifa katika viwanja vya Mwalimu Nyerere. Afisa Mauzo wa Benki ya DCB,Tatu Shija( katikati) akiwa na wajasiriamali walionufaika na huduma za kibenki na  DCB wakinyesha bidhaa zao  katika meonesho ya 39 ya Biashara ya Kimataifa katika viwanja vya Mwalimu Nyerere. Afisa Mauzo wa Benki ya DCB, Rashid Ngwali (amenyosha mkono) akitoa maelezo kwa wananchi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani