Mazishi ya Ann Waithera, Kenya
Mwili wa aliyekuwa mwandishi wa BBC Ann Waithera umechomwa katika eneo la makaburi ya umma ya Lang'ata mjini Nairobi Kenya
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili29 Jan
Ann Waithera: BBC itakavyomuenzi
''Nakumbuka kufanya naye kazi kabla ya yeye kwenda Addis Ababa, na kufanya mipango ya kila alichotarajiwa kufanya. Matumaini mengi ila yamekatizwa mapema mno.''
11 years ago
BBCSwahili28 Jan
Mwandishi wa BBC Ann Waithera afariki
Mwandishi wa BBC nchini Kenya Ann Waithera ameaga dunia akiwa na umri wa miaka 39 baada ya kuugua Saratani kwa muda mrefu.
11 years ago
GPL
PICHA YA KWANZA: MAZISHI YA TYSON NCHINI KENYA LEO
Mwili wa aliyekuwa mwongoza filamu za Kibongo, marehemu George Otieno Okumu ‘Tyson’ ukizikwa leo kijijini kwao Kisumu Kenya. Mwili wa aliyekuwa mwongoza filamu za Kibongo, marehemu George Otieno Okumu ‘Tyson’ (41) aliyefariki dunia Mei 30, mwaka huu kwa ajali mbaya ya gari nchini Tanzania na kusafirishwa kwao,Kenya umezikwa siku ya leo kijijini kwao Kisumu nchini Kenya. ...
11 years ago
GPL
MWANDISHI ANNE WAITHERA WA BBC AFARIKI DUNIA
Mwandishi Anne Waithera enzi za uhai wake. MWANDISHI wa BBC kutoka nchini Kenya, Anne Waithera amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu akisumbuliwa na maradhi ya saratani. Mwenyezi Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi!
10 years ago
Michuzi
DK. MAGUFULI AHUDHURIA MAZISHI YA MTOTO WA RAILA ODINGA,NCHINI KENYA
Waziri wa Ujenzi,Dkt. John Pombe Magufuli yupo nchini Kenya akiiwakilisha Tanzania kwenye mazishi ya mtoto wa Waziri Mkuu wa zamani wa Kenya,Mh. Raila Odinga aitwaye Fidel Odinga aliefariki mwishoni mwa wiki iliyopita,yanayofanyika huko Bondo, Kisumu, Kenya.
Waziri wa Ujenzi,Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na mfiwa, Waziri Mkuu wa zamani wa Kenya,Mh. Raila Odinga wakiongozana kuelekea sehemu maalum ya kuaga mwili wa Marehemu Fidel Odinga kabwa ya kuzikwa kwake.
Waziri wa Ujenzi,Dkt. John Pombe...

.jpg)
10 years ago
GPL
DK. MAGUFULI AHUDHURIA MAZISHI YA MTOTO WA RAILA ODINGA, NCHINI KENYA
Waziri wa Ujenzi,Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na mfiwa, Waziri Mkuu wa zamani wa Kenya,Mh. Raila Odinga wakiongozana kuelekea sehemu maalum ya kuaga mwili wa Marehemu Fidel Odinga kabwa ya kuzikwa kwake.…
11 years ago
BBCSwahili18 Sep
Kumbukumbu ya Ann Soy kuhusu Westgate
Shambulio la Westgate lilipotokea, Anne Soy wa idhaa ya BBC alikuwa miongoni mwa wanahabari wa kwanza kuripoti tukio hilo
11 years ago
BBCSwahili04 Nov
Ann Cotton atuzwa kwa kusaidia wasichana
Mwanaharakati wa maswala ya elimu ya Msichana apatiwa tuzo kubwa ya kimataifa
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
11-May-2025 in Tanzania