Mwandishi wa BBC Ann Waithera afariki
Mwandishi wa BBC nchini Kenya Ann Waithera ameaga dunia akiwa na umri wa miaka 39 baada ya kuugua Saratani kwa muda mrefu.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3vKQkh-Flok1D8F63cRDmkjGdDU0rP7OXY9RxCTgfNdMy7ToOesHle07WA4TttdqFRmaqPacJspWs7EAVw9Q3ObdJEEA9Vl0/beakingnews.gif)
MWANDISHI ANNE WAITHERA WA BBC AFARIKI DUNIA
Mwandishi Anne Waithera enzi za uhai wake. MWANDISHI wa BBC kutoka nchini Kenya, Anne Waithera amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu akisumbuliwa na maradhi ya saratani. Mwenyezi Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi!
11 years ago
BBCSwahili29 Jan
Ann Waithera: BBC itakavyomuenzi
''Nakumbuka kufanya naye kazi kabla ya yeye kwenda Addis Ababa, na kufanya mipango ya kila alichotarajiwa kufanya. Matumaini mengi ila yamekatizwa mapema mno.''
11 years ago
BBCSwahili30 Jan
Mazishi ya Ann Waithera, Kenya
Mwili wa aliyekuwa mwandishi wa BBC Ann Waithera umechomwa katika eneo la makaburi ya umma ya Lang'ata mjini Nairobi Kenya
11 years ago
BBCSwahili06 Dec
Mwandishi wa BBC amkumbuka Mandela
Nelson Mandela alipostaafu mwaka 2004,Mwandishi wa BBC Richard Hamilton alikuwa ripota mjini Cape Town na hivi ndivyo anamkumbuka Mandela
10 years ago
BBCSwahili18 May
Rais Mutharika amlilia mwandishi wa BBC
Rais Peter Mutharika wa Malawi ametuma salam za rambirambi kutokana na kifo cha mwandishi wa BBC Raphael Tenthani
11 years ago
BBCSwahili19 Jan
Mwandishi wa BBC Komla Dumor aaga dunia
Mwandishi wa BBC Komla Dumor amefariki ghafla nyumbani kwake kutokana na mshtuko wa moyo.
10 years ago
Mwananchi26 Jun
Mwandishi wa habari afariki
Dar es Salaam. Mwandishi wa Habari Mtandao wa Mwanahalisi Online, Edson Kamukara amefariki dunia jana jioni baada ya kuungua moto, nyumbani kwake Mabibo, Dar es Salaam.
11 years ago
Tanzania Daima21 Apr
Mwandishi afariki dunia Dar
MWANDISHI wa habari mkongwe, Maurus Sichalwe, amefariki dunia jana nyumbani kwake Mwananyamala Kanisani, Dar es Salaam akiwa na umri wa miaka 83. Taarifa kwa vyombo vya habari iliyotolewa jana na...
5 years ago
BBCSwahili10 Mar
Ajali ya ndege ya Ethiopia: Mwandishi wa BBC Emmanuel Igunza asimulia alichoshuhudia
Ripoti ya awali iliyotolewa na mamlaka nchini Ethiopia imelaumu waundaji wa ndege ya Boeing 737 Max
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania