Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Rais Mutharika amlilia mwandishi wa BBC

Rais Peter Mutharika wa Malawi ametuma salam za rambirambi kutokana na kifo cha mwandishi wa BBC Raphael Tenthani

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

JK amlilia Mwandishi Maximilian

Maximilian John enzi za uhai wakeRAIS Jakaya Mrisho Kikwete amemtumia salamu za rambirambi Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Dk Fenella Mukangara kufuatia kifo cha Mpigapicha wa Kituo cha Televisheni cha Mlimani, Maximilian John kilichotokea alfajiri ya Mei 24, mwaka huu.

 

11 years ago

Mwananchi

Kikwete amlilia Mwandishi wa habari Mlimani

Mpigapicha na Mwandishi wa Habari wa Kituo cha Televisheni cha Mlimani, Maximilian John amefariki dunia katika Hospitali ya St Monica iliyopo Sinza, Dar es Salaam.

 

11 years ago

BBCSwahili

Mwandishi wa BBC amkumbuka Mandela

Nelson Mandela alipostaafu mwaka 2004,Mwandishi wa BBC Richard Hamilton alikuwa ripota mjini Cape Town na hivi ndivyo anamkumbuka Mandela

 

11 years ago

Michuzi

RAIS KIKWETE AKUTANA NA RAIS WA MALAWI PROFESA PETER MUTHARIKA JIJINI WASHINGTON DC, MAREKANI

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Rais wa Malawi Profesa Peter Mutharika aliyemtembelea kumjulia hali kwenye hoteli ya Ritz Carlton katika kitongoji cha George Town jijini Washington DC, Marekani, ambapo wote walikuwa wamefikia. Rais Kikwete na Rais Mutrharika, ambao walikuwa miongoni mwa viongozi wa Afrika walioalikwa kuhudhuria Mkutano wa Kwanza wa Wakuu wa Nchi za Bara la Afrika chini ya uenyekiti wa Rais Barack Obama wa Marekani, walifanya maongezi mafupi yasiyo rasmi, ambapo...

 

11 years ago

BBCSwahili

Mwandishi wa BBC Ann Waithera afariki

Mwandishi wa BBC nchini Kenya Ann Waithera ameaga dunia akiwa na umri wa miaka 39 baada ya kuugua Saratani kwa muda mrefu.

 

11 years ago

GPL

MWANDISHI ANNE WAITHERA WA BBC AFARIKI DUNIA

Mwandishi Anne Waithera enzi za uhai wake. MWANDISHI wa BBC kutoka nchini Kenya, Anne Waithera amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu akisumbuliwa na maradhi ya saratani. Mwenyezi Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi!

 

11 years ago

BBCSwahili

Mwandishi wa BBC Komla Dumor aaga dunia

Mwandishi wa BBC Komla Dumor amefariki ghafla nyumbani kwake kutokana na mshtuko wa moyo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

JK ateta na Rais Mutharika

RAIS Jakaya Kikwete amekutana na kufanya mazungumzo na Rais mpya wa Malawi, Peter Mutharika, mazungumzo yaliyofanyika katika mazingira ya udugu na urafiki Jumatano wiki hii. Kwa mujibu wa Kurugenzi ya...

 

5 years ago

BBCSwahili

Ajali ya ndege ya Ethiopia: Mwandishi wa BBC Emmanuel Igunza asimulia alichoshuhudia

Ripoti ya awali iliyotolewa na mamlaka nchini Ethiopia imelaumu waundaji wa ndege ya Boeing 737 Max

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani