Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mwandishi wa BBC amkumbuka Mandela

Nelson Mandela alipostaafu mwaka 2004,Mwandishi wa BBC Richard Hamilton alikuwa ripota mjini Cape Town na hivi ndivyo anamkumbuka Mandela

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Jaji Joseph Warioba amkumbuka Mandela

Nchini Tanzania Waziri Mkuu Mstaafu Jaji Joseph Sinde Warioba ni miongoni mwa watu waliomfahamu Nelson Mandela kwa karibu

 

10 years ago

BBCSwahili

Rais Mutharika amlilia mwandishi wa BBC

Rais Peter Mutharika wa Malawi ametuma salam za rambirambi kutokana na kifo cha mwandishi wa BBC Raphael Tenthani

 

11 years ago

BBCSwahili

Mwandishi wa BBC Ann Waithera afariki

Mwandishi wa BBC nchini Kenya Ann Waithera ameaga dunia akiwa na umri wa miaka 39 baada ya kuugua Saratani kwa muda mrefu.

 

11 years ago

GPL

MWANDISHI ANNE WAITHERA WA BBC AFARIKI DUNIA

Mwandishi Anne Waithera enzi za uhai wake. MWANDISHI wa BBC kutoka nchini Kenya, Anne Waithera amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu akisumbuliwa na maradhi ya saratani. Mwenyezi Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi!

 

11 years ago

BBCSwahili

Mwandishi wa BBC Komla Dumor aaga dunia

Mwandishi wa BBC Komla Dumor amefariki ghafla nyumbani kwake kutokana na mshtuko wa moyo.

 

5 years ago

BBCSwahili

Ajali ya ndege ya Ethiopia: Mwandishi wa BBC Emmanuel Igunza asimulia alichoshuhudia

Ripoti ya awali iliyotolewa na mamlaka nchini Ethiopia imelaumu waundaji wa ndege ya Boeing 737 Max

 

9 years ago

GPL

MIRANDA AMKUMBUKA BIEBER

New York, Marekani ALIYEWAHI kuwa mpenzi wa staa wa Pop, Justin Bieber, Miranda Kerr juzi kati katika kusherehekea kuwakumbuka wafu/mizimu (Halloween) ameibuka na kuachia video ya kumkumbuka Bieber. Aliyewahi kuwa mpenzi wa staa wa Pop, Justin Bieber, Miranda Kerr. Katika video hiyo aliyoiachia katika mitandao ya kijamii, ilimuonesha Kerr (32) akicheza Wimbo wa Where Are U Now ulioimbwa na Bieber (21).Video hiyo imeanza kuibua...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wastara amkumbuka Sajuki

MSANII nyota wa filamu nchini, Wastara Juma, amesema anakutana na changamoto nyingi katika kuandaa filamu zake tangu alipofiwa na mume wake mpendwa, Sajuki Juma aliyekuwa msaada mkubwa kwake. Sajuki alifariki...

 

11 years ago

BBCSwahili

Makaziwe amkumbuka Komla

Makaziwe Mandela alikuwa mmoja wa watu wa mwisho ambao mwandishi wa BBC Komla Dumor aliwahoji kabla ya kifo chake. Anamkumbuka vipi Komla?

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani