Makaziwe amkumbuka Komla
Makaziwe Mandela alikuwa mmoja wa watu wa mwisho ambao mwandishi wa BBC Komla Dumor aliwahoji kabla ya kifo chake. Anamkumbuka vipi Komla?
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima17 Jul
Wastara amkumbuka Sajuki
MSANII nyota wa filamu nchini, Wastara Juma, amesema anakutana na changamoto nyingi katika kuandaa filamu zake tangu alipofiwa na mume wake mpendwa, Sajuki Juma aliyekuwa msaada mkubwa kwake. Sajuki alifariki...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/cDEmeB8bWGSlZ5*OTGCKkuSCXJHCwQF8vsD48mtSzCzlgmn3V65qZKssIaIQupfdIEXD4STWkCuGP5cKAyGXJ6Dz4xtPvk3l/mirandakerrlipstick1w540.png?width=650)
MIRANDA AMKUMBUKA BIEBER
11 years ago
BBCSwahili06 Dec
Mwandishi wa BBC amkumbuka Mandela
10 years ago
Mtanzania12 Jun
Daz Baba amkumbuka Mwangwea
NA THERESIA GASPER, DAR ES SALAAM
MSANII wa muziki wa kizazi kipya, David Jacob ‘Daz Baba’, amesema video yake mpya itakayofahamika kama ‘Mzigo Viwanjani’ ni kumbukumbu tosha ya marehemu Albert Mangwea.
Akizungumza na MTANZANIA jana, Daz baba alisema aliweza kumshirikisha Mangwea katika single ya wimbo huo.
“Tulifanya mambo mengi sana na Mangwea, hivyo video hii imekuwa kumbukumbu kwangu,” alisema Daz Baba.
Alisema video hiyo inafanywa chini ya mtayarishaji Lamar, inatarajiwa kukamilika muda...
9 years ago
Mtanzania19 Aug
Nick Gordon amkumbuka Kristina
GOEGIA, Marekani
IKIWA ni wiki ya pili tangu kuzikwa kwa Kristina Brown, aliyekuwa mpenzi wake, Nick Gordon, ameibuka na kutangaza kuendelea kumpenda mpenzi wake huyo.
Gordon alizuiwa kumzika mpenzi wake huyo na familia ya Kristina kutokana na kumtuhumu kuhusika na kifo cha Kristina.
“Najua siwezi kukuona tena duniani, lakini acha niseme kuwa nitaendelea kukupenda maishani mwangu, siwezi kusahau umoja wetu wakati upo hai, lakini najua utakuwa umetangulia mbele za haki.
“Kuna wakati nacheka...
10 years ago
Raia Tanzania06 Jul
Dk. Slaa amkumbuka Jaji Joseph Warioba
KATIBU Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Wilbrod Slaa, juzi aliikumbuka Rasimu ya Katiba Iliyopendekezwa na Tume ya Mabadiliko ya Katiba chini ya Jaji Joseph Warioba, akisema kinachoendelea bungeni ni vita kati ya uadilifu na ufisadi.
Akizungumza katika kongamano la Wazee wa Dar es Salaam jana, Dk. Slaa alisema: “Wenzetu walikataa Rasimu ya Katiba ya Warioba iliyopendekeza misingi ya uadilifu nchini kwa kuweka uovu katika mikataba. Ilitupasa tutambue kuwa ili...
11 years ago
BBCSwahili08 Dec
Jaji Joseph Warioba amkumbuka Mandela
10 years ago
Bongo Movies06 Feb
VIJIMAMBO: Van Vicker Amkumbuka Lulu!!
Jana ilikuwa ni siku ya “Kurusha Nyuma” yani ThrowBackThrusday (TBT) ambako kwenye mtandao wa INSTAGRAM watu huweka picha za matukio yao ya zamani.
Sasa muongozaji na muigizaji maarufu wa filamu wa nchini Ghana, Van Vicker ambae Alisha kuja hapa nchini na kufanya kazi na baaadhi ya waigizaji wa hapa Bongo, alitupia picha hii akiwa na mwigizaji Elizabeth Michael ‘Lulu’ na kuandika kuwa hiyo ndio TBT post yake ya kwanza maishani na kuwa tag baadhi ya jamaa zake wa hapa bongo , wakiwemo...