Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nick Gordon amkumbuka Kristina

Gordon na KristinaGOEGIA, Marekani

IKIWA ni wiki ya pili tangu kuzikwa kwa Kristina Brown, aliyekuwa mpenzi wake, Nick Gordon, ameibuka na kutangaza kuendelea kumpenda mpenzi wake huyo.

Gordon alizuiwa kumzika mpenzi wake huyo na familia ya Kristina kutokana na kumtuhumu kuhusika na kifo cha Kristina.

“Najua siwezi kukuona tena duniani, lakini acha niseme kuwa nitaendelea kukupenda maishani mwangu, siwezi kusahau umoja wetu wakati upo hai, lakini najua utakuwa umetangulia mbele za haki.

“Kuna wakati nacheka...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mtanzania

Nick Gordon atamani Kristina arudi

nick-gordon-bobbi-kristina-zoomGEOGIA, Marekani

ALIYEKUWA mpenzi wa marehemu Kristina Brown, Nick Gordon, amesema hawezi kuishi bila mpenzi wake huyo.

Gordon aliandika katika ukurasa wake katika mtandao wa Twitter kwamba ataendelea kumkumbuka mpenzi wake na mama mkwe wake, Whitney Houston, aliyefariki mwaka 2012.

“Nitaendelea kumkumbuka Kristina na mama yake kwa kuwa nilikuwa nawapenda sana, nilikuwa siwezi kufanya lolote bila Kristina.

“Kila siku wakati wa kulala mawazo yangu mengi ni juu ya Kristina, nitapotea katika...

 

9 years ago

Mtanzania

Kifo cha Kristina chamfikisha Nick Gordon mahakamani

nick-gordon2--zGEORGIA, Marekani

ALIYEKUWA mpenzi wa marehemu Kristina Brown, Nick Gordon, amekana kuhusika na kifo cha aliyekuwa mpenzi wake mtoto wa Bobby Brown na marehemu Whitney Houston, Kristina Brown.

Kristina alifariki Julai 26 baada ya kuanguka akiwa bafuni Januari 31 mwaka huu na Gordon kuhusishwa na kifo hicho kutokana na kuwa na marehemu mara ya mwisho kabla ya kupatwa na ugonjwa huo.

Vipimo vilivyopimwa vya mwanadada huyo vimeonyesha aliwekewa sumu kwenye kinywaji chake na Gordon ndiye...

 

9 years ago

GPL

MIRANDA AMKUMBUKA BIEBER

New York, Marekani ALIYEWAHI kuwa mpenzi wa staa wa Pop, Justin Bieber, Miranda Kerr juzi kati katika kusherehekea kuwakumbuka wafu/mizimu (Halloween) ameibuka na kuachia video ya kumkumbuka Bieber. Aliyewahi kuwa mpenzi wa staa wa Pop, Justin Bieber, Miranda Kerr. Katika video hiyo aliyoiachia katika mitandao ya kijamii, ilimuonesha Kerr (32) akicheza Wimbo wa Where Are U Now ulioimbwa na Bieber (21).Video hiyo imeanza kuibua...

 

11 years ago

BBCSwahili

Makaziwe amkumbuka Komla

Makaziwe Mandela alikuwa mmoja wa watu wa mwisho ambao mwandishi wa BBC Komla Dumor aliwahoji kabla ya kifo chake. Anamkumbuka vipi Komla?

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wastara amkumbuka Sajuki

MSANII nyota wa filamu nchini, Wastara Juma, amesema anakutana na changamoto nyingi katika kuandaa filamu zake tangu alipofiwa na mume wake mpendwa, Sajuki Juma aliyekuwa msaada mkubwa kwake. Sajuki alifariki...

 

11 years ago

BBCSwahili

Mwandishi wa BBC amkumbuka Mandela

Nelson Mandela alipostaafu mwaka 2004,Mwandishi wa BBC Richard Hamilton alikuwa ripota mjini Cape Town na hivi ndivyo anamkumbuka Mandela

 

10 years ago

Mtanzania

Daz Baba amkumbuka Mwangwea

mangweaNA THERESIA GASPER, DAR ES SALAAM
MSANII wa muziki wa kizazi kipya, David Jacob ‘Daz Baba’, amesema video yake mpya itakayofahamika kama ‘Mzigo Viwanjani’ ni kumbukumbu tosha ya marehemu Albert Mangwea.
Akizungumza na MTANZANIA jana, Daz baba alisema aliweza kumshirikisha Mangwea katika single ya wimbo huo.
“Tulifanya mambo mengi sana na Mangwea, hivyo video hii imekuwa kumbukumbu kwangu,” alisema Daz Baba.
Alisema video hiyo inafanywa chini ya mtayarishaji Lamar, inatarajiwa kukamilika muda...

 

5 years ago

The Verge

Half-Life: Alyx gives us a big hint about Gordon Freeman’s future

Half-Life: Alyx gives us a big hint about Gordon Freeman’s future  The VergeWant to play Half-Life: Alyx? Here's the best VR gear for your experience  CNETWe Test Half-Life Alyx On Every Major VR Headset  GameSpotValve: ‘It Hurt to Hear We Weren’t Doing Games Anymore, But We Understood Where It Was Coming From’  WccftechThe most satisfying physics in PC games  Rock Paper ShotgunView Full coverage on Google News

 

10 years ago

Raia Tanzania

Dk. Slaa amkumbuka Jaji Joseph Warioba

KATIBU Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Wilbrod Slaa, juzi aliikumbuka Rasimu ya Katiba Iliyopendekezwa na Tume ya Mabadiliko ya Katiba chini ya Jaji Joseph Warioba, akisema kinachoendelea bungeni ni vita kati ya uadilifu na ufisadi.

Akizungumza katika kongamano la Wazee wa Dar es Salaam jana, Dk. Slaa alisema: “Wenzetu walikataa Rasimu ya Katiba ya Warioba iliyopendekeza misingi ya uadilifu nchini kwa kuweka uovu katika mikataba. Ilitupasa tutambue kuwa ili...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani