Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nick Gordon atamani Kristina arudi

nick-gordon-bobbi-kristina-zoomGEOGIA, Marekani

ALIYEKUWA mpenzi wa marehemu Kristina Brown, Nick Gordon, amesema hawezi kuishi bila mpenzi wake huyo.

Gordon aliandika katika ukurasa wake katika mtandao wa Twitter kwamba ataendelea kumkumbuka mpenzi wake na mama mkwe wake, Whitney Houston, aliyefariki mwaka 2012.

“Nitaendelea kumkumbuka Kristina na mama yake kwa kuwa nilikuwa nawapenda sana, nilikuwa siwezi kufanya lolote bila Kristina.

“Kila siku wakati wa kulala mawazo yangu mengi ni juu ya Kristina, nitapotea katika...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mtanzania

Nick Gordon amkumbuka Kristina

Gordon na KristinaGOEGIA, Marekani

IKIWA ni wiki ya pili tangu kuzikwa kwa Kristina Brown, aliyekuwa mpenzi wake, Nick Gordon, ameibuka na kutangaza kuendelea kumpenda mpenzi wake huyo.

Gordon alizuiwa kumzika mpenzi wake huyo na familia ya Kristina kutokana na kumtuhumu kuhusika na kifo cha Kristina.

“Najua siwezi kukuona tena duniani, lakini acha niseme kuwa nitaendelea kukupenda maishani mwangu, siwezi kusahau umoja wetu wakati upo hai, lakini najua utakuwa umetangulia mbele za haki.

“Kuna wakati nacheka...

 

10 years ago

Mtanzania

Kifo cha Kristina chamfikisha Nick Gordon mahakamani

nick-gordon2--zGEORGIA, Marekani

ALIYEKUWA mpenzi wa marehemu Kristina Brown, Nick Gordon, amekana kuhusika na kifo cha aliyekuwa mpenzi wake mtoto wa Bobby Brown na marehemu Whitney Houston, Kristina Brown.

Kristina alifariki Julai 26 baada ya kuanguka akiwa bafuni Januari 31 mwaka huu na Gordon kuhusishwa na kifo hicho kutokana na kuwa na marehemu mara ya mwisho kabla ya kupatwa na ugonjwa huo.

Vipimo vilivyopimwa vya mwanadada huyo vimeonyesha aliwekewa sumu kwenye kinywaji chake na Gordon ndiye...

 

10 years ago

CloudsFM

Meek Mill Atamani Nick Minaj Angekuwa Na Mimba

meek

“Anaconda” rapper, na msindi wa BET 2015 kama “Best Female Hip Hop Artist” na Philly rep rapper Meek Mill walionekana kimahaba na kufurahia penzi lao, kushikana mikono, kubusiana na wawili hao wapenzi wanaongolewa kwa sana baada ya Kanye na Kim K, Jay Z na Beyonce.

 
Sasa hivi mambo ni wazi sana kati ya wawili hawa, Jumatatu 6 wakati Meek Mill akifanya mahojiano kupitia Shade 45 na Dj Superstar Jay, Gray Rizzy na Kimmi Cupcakes.
“Nick Minaj hana mimba, lakini yeah, natamani, nilitweet...

 

5 years ago

The Verge

Half-Life: Alyx gives us a big hint about Gordon Freeman’s future

Half-Life: Alyx gives us a big hint about Gordon Freeman’s future  The VergeWant to play Half-Life: Alyx? Here's the best VR gear for your experience  CNETWe Test Half-Life Alyx On Every Major VR Headset  GameSpotValve: ‘It Hurt to Hear We Weren’t Doing Games Anymore, But We Understood Where It Was Coming From’  WccftechThe most satisfying physics in PC games  Rock Paper ShotgunView Full coverage on Google News

 

11 years ago

Dewji Blog

President Kikwete meets Former British PM Gordon Brown in Abuja, Nigeria, Today

c2

President Dr. Jakaya Mrisho Kikwete in a bilateral meeting with Rt. Hon. Gordon Brown (MP), UN Special Envoy for Global Education and Former British Prime Minister in the sidelines of the World Economic Forum on Africa in Abuja, Nigeria, May 7, 2014. (State House Photos). c3 c4 c5 d3

 

 

11 years ago

GPL

PRESIDENT KIKWETE MEETS FORMER BRITISH PM GORDON BROWN AND MARK SUZMAN OF THE GATES FOUNDATION IN ABUJA, NIGERIA

President Dr. Jakaya Mrisho Kikwete shakes hands with Rt. Hon. Gordon Brown (MP), UN Special Envoy for Global Education and Former British Prime Minister in the sidelines of the World Economic Forum on Africa in Abuja, Nigeria, May 7, 2014.
President Dr. Jakaya Mrisho Kikwete in a bilateral meeting with Rt. Hon. Gordon Brown (MP), UN Special Envoy for Global Education and Former British Prime Minister in the sidelines of...

 

11 years ago

Michuzi

PRESIDENT KIKWETE MEETS FORMER BRITISH PM GORDON BROWN AND MARK SUZMAN OF THE GATES FOUNDATION IN ABUJA, NIGERIA, TODAY

President Dr. Jakaya Mrisho Kikwete shakes hands with Rt. Hon. Gordon Brown (MP), UN Special Envoy for Global Education and Former British Prime Minister in the sidelines of the World Economic Forum on Africa in Abuja, Nigeria, May 7, 2014.

President Dr. Jakaya Mrisho Kikwete in a bilateral meeting with Rt. Hon. Gordon Brown (MP), UN Special Envoy for Global Education and Former British Prime Minister in the sidelines of the World Economic Forum on Africa in Abuja, Nigeria, May 7, 2014.

 

10 years ago

Dewji Blog

Bobbi Kristina Brown Dies at 22

GTY_bobbi_kristina_brown_4_jt_150131_4x3_992

Bobbi Kristina Brown, the daughter of late music legend Whitney Houston and R&B singer Bobby Brown, died on July 26, surrounded by her family, at Peachtree Christian Hospice in Duluth, Georgia. She was 22.

“She is finally at peace in the arms of God,” the Houston family said in statement to ET. “We want to again thank everyone for their tremendous amount of love and support during these last few months.”

On Jan. 31, Bobbi Kristina was found unresponsive in her bathtub, and was then taken...

 

10 years ago

Mwananchi

Bobby Kristina, Whitney yaleyale

“Maji hufuata mkondo,” walisema Waswahili. Ndivyo unavyoweza kumwelezea Bobby Kristina, mtoto wa aliyekuwa nguli wa miondoko ya muziki wa Pop Whitney Huston aliyepoteza maisha kutokana na matumizi ya dawa za kulevya.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani