Nick Gordon atamani Kristina arudi
GEOGIA, Marekani
ALIYEKUWA mpenzi wa marehemu Kristina Brown, Nick Gordon, amesema hawezi kuishi bila mpenzi wake huyo.
Gordon aliandika katika ukurasa wake katika mtandao wa Twitter kwamba ataendelea kumkumbuka mpenzi wake na mama mkwe wake, Whitney Houston, aliyefariki mwaka 2012.
“Nitaendelea kumkumbuka Kristina na mama yake kwa kuwa nilikuwa nawapenda sana, nilikuwa siwezi kufanya lolote bila Kristina.
“Kila siku wakati wa kulala mawazo yangu mengi ni juu ya Kristina, nitapotea katika...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania19 Aug
Nick Gordon amkumbuka Kristina
GOEGIA, Marekani
IKIWA ni wiki ya pili tangu kuzikwa kwa Kristina Brown, aliyekuwa mpenzi wake, Nick Gordon, ameibuka na kutangaza kuendelea kumpenda mpenzi wake huyo.
Gordon alizuiwa kumzika mpenzi wake huyo na familia ya Kristina kutokana na kumtuhumu kuhusika na kifo cha Kristina.
“Najua siwezi kukuona tena duniani, lakini acha niseme kuwa nitaendelea kukupenda maishani mwangu, siwezi kusahau umoja wetu wakati upo hai, lakini najua utakuwa umetangulia mbele za haki.
“Kuna wakati nacheka...
10 years ago
Mtanzania10 Sep
Kifo cha Kristina chamfikisha Nick Gordon mahakamani
GEORGIA, Marekani
ALIYEKUWA mpenzi wa marehemu Kristina Brown, Nick Gordon, amekana kuhusika na kifo cha aliyekuwa mpenzi wake mtoto wa Bobby Brown na marehemu Whitney Houston, Kristina Brown.
Kristina alifariki Julai 26 baada ya kuanguka akiwa bafuni Januari 31 mwaka huu na Gordon kuhusishwa na kifo hicho kutokana na kuwa na marehemu mara ya mwisho kabla ya kupatwa na ugonjwa huo.
Vipimo vilivyopimwa vya mwanadada huyo vimeonyesha aliwekewa sumu kwenye kinywaji chake na Gordon ndiye...
10 years ago
CloudsFM09 Jul
Meek Mill Atamani Nick Minaj Angekuwa Na Mimba
“Anaconda” rapper, na msindi wa BET 2015 kama “Best Female Hip Hop Artist” na Philly rep rapper Meek Mill walionekana kimahaba na kufurahia penzi lao, kushikana mikono, kubusiana na wawili hao wapenzi wanaongolewa kwa sana baada ya Kanye na Kim K, Jay Z na Beyonce.
Sasa hivi mambo ni wazi sana kati ya wawili hawa, Jumatatu 6 wakati Meek Mill akifanya mahojiano kupitia Shade 45 na Dj Superstar Jay, Gray Rizzy na Kimmi Cupcakes.
“Nick Minaj hana mimba, lakini yeah, natamani, nilitweet...
5 years ago
The Verge28 Mar
Half-Life: Alyx gives us a big hint about Gordon Freeman’s future
11 years ago
Dewji Blog07 May
President Kikwete meets Former British PM Gordon Brown in Abuja, Nigeria, Today




11 years ago
GPL
PRESIDENT KIKWETE MEETS FORMER BRITISH PM GORDON BROWN AND MARK SUZMAN OF THE GATES FOUNDATION IN ABUJA, NIGERIA
11 years ago
Michuzi
PRESIDENT KIKWETE MEETS FORMER BRITISH PM GORDON BROWN AND MARK SUZMAN OF THE GATES FOUNDATION IN ABUJA, NIGERIA, TODAY


President Dr. Jakaya Mrisho Kikwete in a bilateral meeting with Rt. Hon. Gordon Brown (MP), UN Special Envoy for Global Education and Former British Prime Minister in the sidelines of the World Economic Forum on Africa in Abuja, Nigeria, May 7, 2014.
.jpg)
10 years ago
Dewji Blog27 Jul
Bobbi Kristina Brown Dies at 22
Bobbi Kristina Brown, the daughter of late music legend Whitney Houston and R&B singer Bobby Brown, died on July 26, surrounded by her family, at Peachtree Christian Hospice in Duluth, Georgia. She was 22.
“She is finally at peace in the arms of God,” the Houston family said in statement to ET. “We want to again thank everyone for their tremendous amount of love and support during these last few months.”
On Jan. 31, Bobbi Kristina was found unresponsive in her bathtub, and was then taken...
10 years ago
Mwananchi05 Feb
Bobby Kristina, Whitney yaleyale
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10