Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kifo cha Kristina chamfikisha Nick Gordon mahakamani

nick-gordon2--zGEORGIA, Marekani

ALIYEKUWA mpenzi wa marehemu Kristina Brown, Nick Gordon, amekana kuhusika na kifo cha aliyekuwa mpenzi wake mtoto wa Bobby Brown na marehemu Whitney Houston, Kristina Brown.

Kristina alifariki Julai 26 baada ya kuanguka akiwa bafuni Januari 31 mwaka huu na Gordon kuhusishwa na kifo hicho kutokana na kuwa na marehemu mara ya mwisho kabla ya kupatwa na ugonjwa huo.

Vipimo vilivyopimwa vya mwanadada huyo vimeonyesha aliwekewa sumu kwenye kinywaji chake na Gordon ndiye...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mtanzania

Nick Gordon amkumbuka Kristina

Gordon na KristinaGOEGIA, Marekani

IKIWA ni wiki ya pili tangu kuzikwa kwa Kristina Brown, aliyekuwa mpenzi wake, Nick Gordon, ameibuka na kutangaza kuendelea kumpenda mpenzi wake huyo.

Gordon alizuiwa kumzika mpenzi wake huyo na familia ya Kristina kutokana na kumtuhumu kuhusika na kifo cha Kristina.

“Najua siwezi kukuona tena duniani, lakini acha niseme kuwa nitaendelea kukupenda maishani mwangu, siwezi kusahau umoja wetu wakati upo hai, lakini najua utakuwa umetangulia mbele za haki.

“Kuna wakati nacheka...

 

9 years ago

Mtanzania

Nick Gordon atamani Kristina arudi

nick-gordon-bobbi-kristina-zoomGEOGIA, Marekani

ALIYEKUWA mpenzi wa marehemu Kristina Brown, Nick Gordon, amesema hawezi kuishi bila mpenzi wake huyo.

Gordon aliandika katika ukurasa wake katika mtandao wa Twitter kwamba ataendelea kumkumbuka mpenzi wake na mama mkwe wake, Whitney Houston, aliyefariki mwaka 2012.

“Nitaendelea kumkumbuka Kristina na mama yake kwa kuwa nilikuwa nawapenda sana, nilikuwa siwezi kufanya lolote bila Kristina.

“Kila siku wakati wa kulala mawazo yangu mengi ni juu ya Kristina, nitapotea katika...

 

9 years ago

Mtanzania

Kifo cha Kristina Brown, chanzo chajulikana

KristinaATLANTA, MAREKANI

BAADA ya kifo cha mtoto wa aliyekuwa nyota wa muziki nchini Marekani, Whitney Houston, Kristina Brown, kutokea mapema Julai mwaka huu, shirika la uchunguzi wa kifo hicho, The Fulton County Medical Examiner limesema limepata majibu ya kifo hicho.

Hata hivyo, shirika hilo limesema kuwa haliwezi kuweka wazi chanzo cha kifo hicho kwa ajili ya usalama.

Awali kulikuwa na taarifa kwamba chanzo cha kifo hicho kilitokana na kuwekewa sumu kwenye kinywaji chake huku akishutumiwa...

 

10 years ago

Mtanzania

Bibi: Tuko tayari kwa kifo cha Kristina

NA MWANDISHI WETU
KADRI hali ya mtoto wa aliyekuwa nguli wa muziki nchini Marekani, Whitney Houston, Kristina Brown, inavyozidi kuwa mbaya, ndugu zake wametangaza kuwa tayari kupokea taarifa za kifo chake.
Jana bibi wa binti huyo, Cissy Houston, aliweka wazi kwamba familia ya binti huyo na ndugu kwa ujumla imeshajiandaa na mazishi ya binti huyo, hivyo ipo tayari kupokea taarifa yoyote kuhusu binti wao.
“Familia imejiandaa kwa mazishi ya mjukuu wangu kwa kuwa hadi leo hawajui hatima yake...

 

5 years ago

BBCSwahili

Kifo cha George Floyd : Maandamano yatanda huku afisa akikamatwa kwa kifo cha raia mweusi wa Marekani

Afisa akamatwa kwa mauaji ya Mmarekani mweusi aliyekuwa amekamatwa na polisi

 

10 years ago

Bongo5

Nick Cannon akanusha kuwa chanzo cha Amber Rose kuomba talaka kwa mumewe

Baada ya taarifa za Amber Rose kudai talaka kwa mumewe Wiz Khalifa, mume wa Mariah Carey, Nick Cannon ambao nao ndoa yao imevunjika, amekanusha uvumi kuwa yeye ndio chanzo cha Amber kuomba talaka. Nick Cannon ambaye kwasasa ndie meneja mpya wa kazi za Amber Rose, amedai kuwa hakuna kitu chochote zaidi ya kazi kinachoendelea kati […]

 

5 years ago

Michuzi

TAKUKURU MANYARA YAMPANDISHA MAHAKAMANI MMILIKI WA KITUO CHA MAFUTA CHA SIMON LEMEYA KWA TUHUMA ZA UHUJUMU UCHUMI

Charles James, Michuzi TV.
TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) wilayani Simanjiro, Manyara kwa kushirikiana na Ofisi ya Taifa ya Mashtaka itamfikisha katika Mahakama ya Wilaya mmiliki wa Kituo cha mafuta cha Simon Lemeya kwa makosa ya uhujumu uchumi.
Lemeya atafikishwa Mahakama ya Wilaya ya Simanjiro leo Juni 22 kwa makosa ya kughushi, matumizi ya nyaraka, kudanganya na kuisababishia serikali hasara ya Sh Milioni 5,609,000 kinyume cha sheria ya uhujumi uchumi Cap 200 marejeo ya...

 

10 years ago

GPL

FAMILIA YAWEKA WAZI CHANZO CHA KIFO CHA SECKY

Marehemu Lusekelo Samson Mwandenga 'Secky' enzi za uhai wake. Familia ya Marehemu Lusekelo Samson Mwandenga 'Secky' imeweka wazi chanzo cha kifo cha marehemu baada ya kuzagaa habari mitandaoni kuhusu chanzo cha kifo chake. Familia hiyo imeeleza kuwa marehemu aliumizwa na kiti cha kioo akiwa kambeba mtoto wake nyumbani kwake kisha akapelekwa hospitali na baadaye kufariki dunia akiwa hospitali. Enzi za uhai wake, marehemu alikuwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani