Bibi: Tuko tayari kwa kifo cha Kristina
NA MWANDISHI WETU
KADRI hali ya mtoto wa aliyekuwa nguli wa muziki nchini Marekani, Whitney Houston, Kristina Brown, inavyozidi kuwa mbaya, ndugu zake wametangaza kuwa tayari kupokea taarifa za kifo chake.
Jana bibi wa binti huyo, Cissy Houston, aliweka wazi kwamba familia ya binti huyo na ndugu kwa ujumla imeshajiandaa na mazishi ya binti huyo, hivyo ipo tayari kupokea taarifa yoyote kuhusu binti wao.
“Familia imejiandaa kwa mazishi ya mjukuu wangu kwa kuwa hadi leo hawajui hatima yake...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania01 Oct
Kifo cha Kristina Brown, chanzo chajulikana
ATLANTA, MAREKANI
BAADA ya kifo cha mtoto wa aliyekuwa nyota wa muziki nchini Marekani, Whitney Houston, Kristina Brown, kutokea mapema Julai mwaka huu, shirika la uchunguzi wa kifo hicho, The Fulton County Medical Examiner limesema limepata majibu ya kifo hicho.
Hata hivyo, shirika hilo limesema kuwa haliwezi kuweka wazi chanzo cha kifo hicho kwa ajili ya usalama.
Awali kulikuwa na taarifa kwamba chanzo cha kifo hicho kilitokana na kuwekewa sumu kwenye kinywaji chake huku akishutumiwa...
9 years ago
Mtanzania10 Sep
Kifo cha Kristina chamfikisha Nick Gordon mahakamani
GEORGIA, Marekani
ALIYEKUWA mpenzi wa marehemu Kristina Brown, Nick Gordon, amekana kuhusika na kifo cha aliyekuwa mpenzi wake mtoto wa Bobby Brown na marehemu Whitney Houston, Kristina Brown.
Kristina alifariki Julai 26 baada ya kuanguka akiwa bafuni Januari 31 mwaka huu na Gordon kuhusishwa na kifo hicho kutokana na kuwa na marehemu mara ya mwisho kabla ya kupatwa na ugonjwa huo.
Vipimo vilivyopimwa vya mwanadada huyo vimeonyesha aliwekewa sumu kwenye kinywaji chake na Gordon ndiye...
11 years ago
Tanzania Daima03 Jun
‘Tuko tayari kwenda mahabusu’
NAIBU Meya wa Jiji la Arusha, Prosper Msofe na Diwani wa Levelos, Ephata Nanyaro, wote wa CHADEMA, wamesema wamejiandaa kukaa mahabusu gerezani Kisongo ikiwa ni ishara ya kupinga unyanyasaji na...
9 years ago
BBCSwahili21 Nov
Gareth Bale:Tuko tayari kuibwaga Barca
11 years ago
Tanzania Daima27 Feb
Balozi Ufaransa: Tuko tayari kuwekeza na wazawa
SERIKALI ya Ufaranza imesema kuwa iko tayari kuwekeza kwa ubia na wafanyabiashara wa ndani ili Watanzania waweze kunufaika na rasilimali zao. Kauli hiyo ilitolewa jana na Balozi wa Ufaranza nchini,...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/o1QX7UF1Vt5Ug2JdCXpvqEi5f25ydo9u*YXsiHvYnc-9E*fK8k2vBg0D-naHV1RrIDj-MDhpDGeGMJu2hBgFsgVHfGYIy6Uc/BkICoINCIAE4WNz.jpglarge.jpg?width=650)
WAJE AFUTA ZIARA YA AFRIKA MASHARIKI BAADA YA KIFO CHA BIBI YAKE
5 years ago
BBCSwahili30 May
Kifo cha George Floyd : Maandamano yatanda huku afisa akikamatwa kwa kifo cha raia mweusi wa Marekani
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/rYXJV*jyRSmc9CECn-Cy6pq7IVi8QgygGOSLIHNwAM6heBeQMvOUYdGOaHDG4KvMCtwEuciFMFFFjzogAm7zUE3N9933Nrdl/Diamond.gif?width=650)
DIAMOND: NIPO TAYARI KWA KIFO!
10 years ago
Vijimambo13 Aug
DIAMOND SASA NIPO TAYARI KWA KIFO
![diamond mtoto](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/08/diamond-mtoto.png)
SIKU chache baada ya staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’ kupata binti na kumwita Latifah ‘Princess Tiffah’ na kuanza maisha mapya ya familia na mzazi mwenzake, Zarina Hassan ‘Zari’, nyota huyo anadaiwa kutoa ya moyoni kwa kusema kuwa sasa yupo tayari kwa kifo kwa vile ndoto yake kubwa ya kupata mtoto imekamilika na ana chata duniani.
KWANZA ANAMSHUKURU MUNGU
Kwa mujibu wa chanzo chetu makini,...