Balozi Ufaransa: Tuko tayari kuwekeza na wazawa
SERIKALI ya Ufaranza imesema kuwa iko tayari kuwekeza kwa ubia na wafanyabiashara wa ndani ili Watanzania waweze kunufaika na rasilimali zao. Kauli hiyo ilitolewa jana na Balozi wa Ufaranza nchini,...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima03 Jun
‘Tuko tayari kwenda mahabusu’
NAIBU Meya wa Jiji la Arusha, Prosper Msofe na Diwani wa Levelos, Ephata Nanyaro, wote wa CHADEMA, wamesema wamejiandaa kukaa mahabusu gerezani Kisongo ikiwa ni ishara ya kupinga unyanyasaji na...
9 years ago
BBCSwahili21 Nov
Gareth Bale:Tuko tayari kuibwaga Barca
10 years ago
Mtanzania27 Mar
Bibi: Tuko tayari kwa kifo cha Kristina
NA MWANDISHI WETU
KADRI hali ya mtoto wa aliyekuwa nguli wa muziki nchini Marekani, Whitney Houston, Kristina Brown, inavyozidi kuwa mbaya, ndugu zake wametangaza kuwa tayari kupokea taarifa za kifo chake.
Jana bibi wa binti huyo, Cissy Houston, aliweka wazi kwamba familia ya binti huyo na ndugu kwa ujumla imeshajiandaa na mazishi ya binti huyo, hivyo ipo tayari kupokea taarifa yoyote kuhusu binti wao.
“Familia imejiandaa kwa mazishi ya mjukuu wangu kwa kuwa hadi leo hawajui hatima yake...
9 years ago
Mwananchi20 Dec
Muhongo aita wazawa kuwekeza kwenye umeme
10 years ago
VijimamboBalozi Mulamula azungumza na Balozi wa Ufaransa nchini
Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Liberata Mulamula akimsikiliza Balozi wa Ufaransa nchini Tanzania Mhe. Malika Berak, alipokuja kujitambulisha na kumpongeza Balozi Mulamula kwa kuteuliwa kuwa Katibu Mkuu. Pia walizungumzia masuala mbalimbali ya kimaendeleo na kukuza mahusiano ya kibiashara kati ya nchi hizi mbili
Katibu Mkuu Balozi Mulamula akimwonyesha Balozi Berak Kitabu kinachozungumzia maendeleo ya Mji wa Kilwa
.
Afisa Mambo ya Nje, Bi. Felisita...
10 years ago
Michuzijamii inapaswa kuwekeza katika sayansi na teknolojia - Balozi Sefue
Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue amesema kuwa ili jamii iweze kukua kwa kasi na kupata maendeleo haina budi kuwekeza katika sayansi na teknolojia.
Aliongea hayo jana jijini Dar es Salaam wakati wa ufunguzi wa warsha ya kupitia marejeo ya mfumo wa Taifa wa sayansi,teknolojia na ubunifu ulioandaliwa na Wizara ya Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia.
“ubunifu katika sayansi na teknolojia ni kitu muhimu katika kupata uvumbuzi wa vitu mbalimbali muhimu vinavyoleta maendelao...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-H8KxGPHd5FA/Uvz4pJI_8eI/AAAAAAAFM9g/3AzRaHPP1Js/s72-c/unnamed+(26).jpg)
Dkt shein akutana na balozi wa ufaransa nchini
![](http://2.bp.blogspot.com/-H8KxGPHd5FA/Uvz4pJI_8eI/AAAAAAAFM9g/3AzRaHPP1Js/s1600/unnamed+(26).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-L8J8go0WKFc/Uvz4pbS2DgI/AAAAAAAFM9k/24FjnPg3FkE/s1600/unnamed+(27).jpg)
10 years ago
Vijimambo03 Oct
Balozi mpya wa Ufaransa awasilisha nakala za Hati za Utambulisho
Picha na...
10 years ago
MichuziMaalim Seif akutana na balozi wa Ufaransa nchini Tanzania