‘Tuko tayari kwenda mahabusu’
NAIBU Meya wa Jiji la Arusha, Prosper Msofe na Diwani wa Levelos, Ephata Nanyaro, wote wa CHADEMA, wamesema wamejiandaa kukaa mahabusu gerezani Kisongo ikiwa ni ishara ya kupinga unyanyasaji na...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili21 Nov
Gareth Bale:Tuko tayari kuibwaga Barca
11 years ago
Tanzania Daima27 Feb
Balozi Ufaransa: Tuko tayari kuwekeza na wazawa
SERIKALI ya Ufaranza imesema kuwa iko tayari kuwekeza kwa ubia na wafanyabiashara wa ndani ili Watanzania waweze kunufaika na rasilimali zao. Kauli hiyo ilitolewa jana na Balozi wa Ufaranza nchini,...
10 years ago
Mtanzania27 Mar
Bibi: Tuko tayari kwa kifo cha Kristina
NA MWANDISHI WETU
KADRI hali ya mtoto wa aliyekuwa nguli wa muziki nchini Marekani, Whitney Houston, Kristina Brown, inavyozidi kuwa mbaya, ndugu zake wametangaza kuwa tayari kupokea taarifa za kifo chake.
Jana bibi wa binti huyo, Cissy Houston, aliweka wazi kwamba familia ya binti huyo na ndugu kwa ujumla imeshajiandaa na mazishi ya binti huyo, hivyo ipo tayari kupokea taarifa yoyote kuhusu binti wao.
“Familia imejiandaa kwa mazishi ya mjukuu wangu kwa kuwa hadi leo hawajui hatima yake...
10 years ago
BBCSwahili06 Oct
Rais Kenyatta tayari kwenda ICC
5 years ago
StarTV19 Feb
Waziri Mkuu Majaliwa atua Iringa tayari kwenda Njombe.
10 years ago
Vijimambo07 Oct
RAIS KENYATTA AKABIDHI MADARAKA KWA ROTO TAYARI KWENDA ICC
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/590/amz/worldservice/live/assets/images/2014/10/07/141007081244_kenyatta_1.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-M4fbdxsgeow/XnMgs0ZXNiI/AAAAAAALkZI/51Z7-xaeHlgsfq7QU3Iu8AAEDa1Y6g3AQCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-19%2Bat%2B10.22.02%2BAM.jpeg)
JESHI LA MAGEREZA LASITISHA KUTEMBELEWA KWA WAFUNGWA NA MAHABUSU GEREZANI, MAHABUSU WAPYA KUPOKELEWA KWA KUHAKIKI AFYA ZAO
Akizungumza na MICHUZI BLOG, Msemaji wa jeshi la magereza SSP. Amina Kavirondo amesema kuwa baada ya kupimwa mahabusu wapya na kujiridhisha kuwa wako salama kwa maana hata polisi nao watakuwa wamechukuwa hatua kwa mahabusu hao.
"Na sisi watakapofika kwenye himaya ya kwetu tutachukua hatua ya kuhakikisha...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-3vWo5lODJVo/VT-QF75WAFI/AAAAAAAHT1Y/52NOelB_6nM/s72-c/IMG_3879.jpg)
TWAWEZA: JE, TUKO SALAMA?
WANANCHI watatu kati ya kumi wameshakumbana na wizi ndani ya kipindi cha mwaka jana,na asilimia 84 ya wananchi wanaamini kuwa kuna uwezekano wa kuathiriwa na makundi ya vijana waharifu kama panya road.
Hayo yameelezwa kwenye Utafiti umefanywa na Twaweza kwenye utafiti wenye jina la Je, tuko salama? maoni ya wananchi juu ya usalama na haki waliofanya mkutano katika ukumbi wa mikutano wa Makumbusho ya Taifa jijini Dar es Salaam leo.
Mtafiti wa twaweza...