JK amlilia Mwandishi Maximilian
RAIS Jakaya Mrisho Kikwete amemtumia salamu za rambirambi Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Dk Fenella Mukangara kufuatia kifo cha Mpigapicha wa Kituo cha Televisheni cha Mlimani, Maximilian John kilichotokea alfajiri ya Mei 24, mwaka huu.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog27 May
Dkt.Mukangara amlilia Maximilian
Waziri wa Habari Mheshimiwa Dkt. Fenella Mukangara (pichani) amewatumia salamu za rambirambi waandishi wa habari kufuatia kifo cha Mpiga picha wa kituo cha television cha Mlimani, Ndugu Maximilian John kilichotokea alfajiri ya kuamkia Jumamosi wiki iliyopita.
Dkt. Mukangara amesema amepokea kwa masikitiko makubwa taarifa za kifo cha Bwana Maximilian kilichotokana na maradhi ya Moyo, Sukari na Shinikizo la damu na ameongeza kuwa kifo hicho ni pigo na pengo kubwa kwa tasnia ya habari hapa...
11 years ago
Dewji Blog26 May
Rais Kikwete aomboleza kifo cha Mwandishi wa TV Mlimani Maximilian John
Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na marehemu Papaa Max wa Mlimani TV enzi za uhai wake.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amemtumia salamu za rambirambi Waziri wa Habari Mheshimiwa Dkt.Fenella Mukangara kufuatia kifo cha Mpiga picha wa kituo cha television cha Mlimani, Ndugu Maximilian John kilichotokea alfajiri ya kuamkia leo tarehe 24 Mei,2014..
“Nimepokea kwa masikitiko makubwa taarifa za kifo cha Bwana Maximilian kilichotokana na maradhi ya...
10 years ago
BBCSwahili18 May
Rais Mutharika amlilia mwandishi wa BBC
11 years ago
Mwananchi26 May
Kikwete amlilia Mwandishi wa habari Mlimani
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-4LR6RmM8ovE/U3-TZYuIlBI/AAAAAAAFkok/zZp6Jgj92wo/s72-c/10354626_10203014554837177_7665346459191974104_n.jpg)
MPIGANAJI MAXIMILIAN NGUBE AFARIKI DUNIA
![](http://3.bp.blogspot.com/-4LR6RmM8ovE/U3-TZYuIlBI/AAAAAAAFkok/zZp6Jgj92wo/s1600/10354626_10203014554837177_7665346459191974104_n.jpg)
MAREHEMU MAXIMILIAN AMBAYE ALIFAHAMIKA SANA KWA JINA LA PAPAA MAX,ALIKUWA NI MPIGA PICHA HODARI WA KITUO CHA TELEVISHENI CHA MLIMANI TV.
GLOBU YA JAMII IMEPOKEA TAARIFA ZA MSIBA HUU KWA MASIKITIKO MAKUBWA SANA NA TUNAMUOMBEA KWA MWENYEZIMUNGU AIWEKE ROHO YA MAREHEMU MAXIMILIAN NGUBE MAHALI PEMA PEPONI.
-AMIN.
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-DtbhSFwbHmQ/U4Gg0xp8dxI/AAAAAAAFk2U/yUHuyVGE32o/s72-c/maxi.jpg)
Rais Kikwete atuma salam za rambirambi kufuatia kifo cha Mwanahabari Maximilian Ngube
![](http://3.bp.blogspot.com/-DtbhSFwbHmQ/U4Gg0xp8dxI/AAAAAAAFk2U/yUHuyVGE32o/s1600/maxi.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Pq-uo-MRxgs/U4Gf-UV3bgI/AAAAAAAFk2E/k-rA56zI8VI/s1600/New+Picture+(5).bmp)
“Nimepokea kwa masikitiko makubwa taarifa za kifo cha Bwana Maximilian kilichotokana na maradhi ya Moyo, Sukari na Shinikizo la...
10 years ago
Tanzania Daima02 Nov
JK amlilia Jenerali Mfuse
RAIS Jakaya Kikwete amemtumia salamu za rambirambi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama, Jenerali Davis Mwamunyange, kufuatia kifo cha Meja Jenerali mstaafu wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/TL-la4qMC-0UoGF3SiMTPj5*M3GyIQSNDMz*H08PA2OpXqN0TCkzfUfOX37uhcu9uJsSajUMRcYXBJI1IAvnaLn9ykXrRdlP/1DAR.jpg)
Tambwe amlilia Ngassa
9 years ago
Mwananchi01 Oct
Mwambusi amlilia Nyoso