Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tambwe amlilia Ngassa

Mshambuliaji wa Yanga, Amissi Tambwe. Na Wilbert Molandi,Dar es Salaam
MSHAMBULIAJI wa Yanga, Amissi Tambwe, amemwambia kocha wa timu hiyo, Hans van Der Pluijm kuwa, anataka kucheza na Mrisho Ngassa.Ngassa alianza na Tambwe kwenye mchezo wa Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya BDF na Mrundi huyo akafanikiwa kupachika mabao mawili. Mrundi huyo, akiwa anaichezea Simba, aliwahi kutamka kuwa anatamani siku moja kucheza na viungo...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

JK amlilia Mwandishi Maximilian

Maximilian John enzi za uhai wakeRAIS Jakaya Mrisho Kikwete amemtumia salamu za rambirambi Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Dk Fenella Mukangara kufuatia kifo cha Mpigapicha wa Kituo cha Televisheni cha Mlimani, Maximilian John kilichotokea alfajiri ya Mei 24, mwaka huu.

 

10 years ago

Mwananchi

Mwambusi amlilia Nyoso

Siku moja baada ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), kumlima rungu la miaka miwili nahodha wa Mbeya City, Juma Nyoso kutokana na kitendo cha utomvu wa nidhamu, kocha wa timu hiyo Juma Mwambusi amesema hana la kusema kufuatia adhabu aliyopewa mchezaji wake.

 

11 years ago

Tanzania Daima

JK amlilia Jenerali Mfuse

RAIS Jakaya Kikwete amemtumia salamu za rambirambi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama, Jenerali Davis Mwamunyange, kufuatia kifo cha Meja Jenerali mstaafu wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa...

 

11 years ago

GPL

MAINDA AMLILIA SHERRY MAGARI

Stori: Hamida Hassan Staa wa Filamu za Kibongo, Ruth Suka ‘Mainda’ amemlilia rafiki yake kipenzi Sherry Magari aliyefariki dunia hivi karibuni na kusema hana la kufanya zaidi ya kumuombea. Staa wa Filamu za Kibongo, Ruth Suka ‘Mainda’. Akizungumza na Ijumaa juzi, Mainda alisema alikuwa amejipanga kwenda kumuona jana ‘Alhamisi’ baada ya kusikia kwamba hali yake haikuwa nzuri lakini ikawa...

 

11 years ago

Habarileo

JK amlilia Shekhe wa Mkoa wa Iringa

RAIS Jakaya Kikwete, amemtumia Salamu za Rambirambi Mufti wa Tanzania, Sheikh Shaaban Bin Simba, kutokana na msiba wa Shekhe wa Mkoa wa Iringa, Alhaj Shekhe Ally Juma Tagalile (96). Shekhe Tagalile alifariki usiku wa kuamkia leo katika Hospitali ya Mkoa wa Iringa, alikokuwa amelazwa akisumbuliwa na ugonjwa wa shinikizo la damu.

 

10 years ago

StarTV

Rais Kikwete Amlilia Kombani

Rais Jakaya Kikwete amemtumia salamu za rambirambi Waziri Mkuu, Mizengo Pinda kufuatia Kifo cha aliyekuwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Celina Ompeshi Kombani aliyefariki Dunia Septemba 24, mwaka huu katika Hospitali ya Apollo Nchini India alikokuwa akipatiwa matibabu ya ugonjwa wa Kongosho.

Rais kikwete katika ujumbe wake amesema, Kombani alikuwa Mama mchapakazi, hodari na aliyependa ushirikiano na kuwapa pole Wananchi wa Ulanga pamoja na wafanyakazi wa...

 

10 years ago

Habarileo

Rais Kikwete amlilia Mngodo

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Kikwete amemtumia salamu za rambirambi Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Dk Fenella Mukangara, kutokana na kifo cha mtangazaji wa habari mkongwe, Godfrey Mngodo aliyefariki dunia Dar es Salaam jana.

 

11 years ago

Dewji Blog

Dkt.Mukangara amlilia Maximilian

27763-_dsc6246

Waziri wa Habari Mheshimiwa Dkt. Fenella Mukangara (pichani) amewatumia salamu za rambirambi waandishi wa habari kufuatia kifo cha Mpiga picha wa kituo cha television cha Mlimani, Ndugu Maximilian John kilichotokea alfajiri ya kuamkia Jumamosi wiki iliyopita.

Dkt. Mukangara amesema amepokea kwa masikitiko makubwa taarifa za kifo cha Bwana Maximilian kilichotokana na maradhi ya Moyo, Sukari  na Shinikizo la damu na ameongeza kuwa kifo hicho ni pigo na pengo kubwa kwa tasnia ya habari hapa...

 

10 years ago

GPL

DEMU AMLILIA ZITTO UKUMBINI

Stori: Waandishi Wetu/Risasi Mchanganyiko
HISIA! Mrembo mmoja ambaye jina lake halikuweza kupatikana mara moja, ameshindwa kuzuia hisia zake na kuamua kumlilia hadharani Mbunge wa Kigoma Kaskazini (Chadema), Zitto Zuberi Kabwe.
Tukio hilo lilitokea katika ‘viwanja’ vya Escape One, Jumamosi iliyopita katika maadhimisho ya miaka kumi ya Nyumba ya Vipaji Tanzania (THT). Mbunge wa Kigoma Kaskazini (Chadema), Zitto...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani