MAINDA AMLILIA SHERRY MAGARI
![](http://api.ning.com:80/files/TwbgnXl4eNXyDtcPF7QoGdy4*VNiwxzQuEAXw9n0WAz1eXXYgnuGYOEv7qOkSC550Xc9004K9RBc67Io3wO9u6KkvyRuHTcn/sherry.jpg?width=650)
Stori: Hamida Hassan Staa wa Filamu za Kibongo, Ruth Suka ‘Mainda’ amemlilia rafiki yake kipenzi Sherry Magari aliyefariki dunia hivi karibuni na kusema hana la kufanya zaidi ya kumuombea. Staa wa Filamu za Kibongo, Ruth Suka ‘Mainda’. Akizungumza na Ijumaa juzi, Mainda alisema alikuwa amejipanga kwenda kumuona jana ‘Alhamisi’ baada ya kusikia kwamba hali yake haikuwa nzuri lakini ikawa...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/RnVdzGQ*fcIXiP9fGo4rUHJoKlGswCY2Fnus*UfmpC18W31v-zmJOFWbhXGRVmgs2c4W2atmsSp7sJ2*wubjjmz*Zychk4B3/SHERRY.jpg?width=650)
SHERRY MAGALI AUGUA, AKONDA
Stori:Â Hamida Hassan
STAA wa filamu za vichekesho Bongo ambaye ni mtoto wa Mzee Charles Magali, Sherry Charles Magali ana hali mbaya na sasa ukimuona huwezi kumtambua kama ni yeye. Sherry Charles Magali kabla ya kukonda. Hali hiyo imekuja kutokana na maelezo kuwa anasumbuliwa na ugonjwa wa moyo kiasi cha kumfanya akonde sana na lile wowowo lake lililokuwa likimtambulisha kwenye usanii kupotea. “Yaani sina hata la...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vKR8mtf*1col*XHEn-d3nu8FHhvAGyZgLIWyR9xAKWf9dlNzWWGuGNlsNW-Jtvn-olFRoOzRJ6gu6UZQcY3WdaOPdLc5y5Kn/shry.jpg)
SHERRY MAGALI APATA AJALI AKIENDA MSIBANI
STORI: Hamida Hassan na Gladness Mallya STAA wa vichekesho, Sherry Magali ambaye pia ni mtoto wa msanii wa filamu Charles Magali amepata ajali na kuvunjika mguu alipokuwa njiani akielekea kwenye msiba wa George Otieno ‘Tyson’. Staa wa vichekesho, Sherry Magali akiuguza majeraha aliyoyapata baada ya ajali.
Chanzo kilichoshuhudia ajali hiyo kilieleza kuwa, ilitokea maeneo ya Sinza Kijiweni jijini Dar akiwa...
10 years ago
IPPmedia11 Jan
Sanctions still holding, envoys confirm at Sherry Party
IPPmedia
A section of diplomatic missions from aid providing countries say that sanctions issued in response to senior government officials siphoning off funds from the country's central bank for disputed energy contracts payments will hold up until a viable solution is ...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NDILiAzzLEVL74U4Y-rRPN9uLiFwUHj0Em8UwkVdUrD1Yoxk0Aw4lvLzqBmkhvJXluN-YRCrBZmTAsxUfmojpISP*TK82eDV/breaking.gif)
MSIBA TENA: MSANII SHERRY MAGALI AFARIKI DUNIA!
Msanii nyota wa filamu nchini Sherry Charles Magali akiwa hoi hospitalini Wodi Namba 8 katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Morogoro katika picha hii iliyopigwa na mwandishi wetu Ijumaa iliyopita, Okt 17, 2014. Msanii huyo, amefariki leo saa nne asubuhi baada ya kuugua kwa muda mrefu. Kwa mujibu wa familia, taarifa zaidi za mazishi…
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-a-FzCyHE-DbRHUeyDftEMB1Ay*-sGdbjx-AgaPuLSfH9AKMjmBHvJqN4hyIJFC68dwrxX6N-1g2xHuxffdeGCyjANZFLRgW/sherrymagali.jpg?width=650)
MWILI WA SHERRY MAGALI WAAGWA NA KUZIKWA JANA MOROGORO
Mwili wa marehemu Sherry ukitolewa nje ya kanisa la Mtakatifu Patriki, Morogoro baada ya kuombewa.
Baadhi ya waombolezaji wakiwa nje ya kanisa ukiongozwa na mama wa marehemu, Flora Msiba mwenye kilemba cheupe .…
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-fWyZFEZucHg/U-sxP-7Rg2I/AAAAAAAF_IE/dQULh-NCqKI/s72-c/unnamed%2B(93).jpg)
Tamasha la Magari Tanzania (Autofest) limerudi na Matoleo Mapya ya Magari
![](http://2.bp.blogspot.com/-fWyZFEZucHg/U-sxP-7Rg2I/AAAAAAAF_IE/dQULh-NCqKI/s1600/unnamed%2B(93).jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/P2Q6K2rcr9EeLqJaZsTv-d62VE70MleGzhEVgVQFl2f0-W-HJXqvJAP99Bmffv976lsWNl2oalDPXNEOHNTYXH2IHgS7oUjX/mainda.jpg?width=650)
MAINDA ASAKA MUME
Na Hamida Hassan
STAA wa filamu za Kibongo, Ruth Suka ‘Mainda’ amesema kwa sasa hahitaji mchumba wala mpenzi, anahitaji mume wa kumuweka ndani. Akipiga stori na paparazi wetu, Mainda alisema hata akifuatwa na mtu mwenye fedha nyingi kutaka uhusiano naye, hawezi kumkubalia kwani anachotaka sasa hivi ni ndoa tu. “Kwa sasa mpenzi wangu ni Yesu na kutokana na yeye mume wangu nimeshamuona kwenye maono…yulee...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/o1QX7UF1Vt7gmlgEix3Tx*hU8RiqRkjxBTONPKUetJZn7qHyK1H9TXznIUBerAxSnHr*ljHtdIZl7OxCp*I1V7I1ApASZyYk/MAINDA.jpg?width=650)
MAINDA ALILIA MTOTO
Brighton Masalu
STAA ‘mtulivu’ wa uigizaji Bongo, Ruth Suka ‘Mainda’ ameibuka na kudai kuwa kama mwanamke aliyekamilika, anasikitishwa sana kwa kutopata mtoto hasa kutokana na kunyoshewa vidole na maneno mengi juu ya suala hilo. Staa wa Bongo Movie , Ruth Suka ‘Mainda’ katika pozi. Alisema kutokana na kukosa mtoto wakati mwingine hujisikia vibaya kiasi kwamba hutamani kuwabeba watoto wa...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania