MSIBA TENA: MSANII SHERRY MAGALI AFARIKI DUNIA!

Msanii nyota wa filamu nchini Sherry Charles Magali akiwa hoi hospitalini Wodi Namba 8 katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Morogoro katika picha hii iliyopigwa na mwandishi wetu Ijumaa iliyopita, Okt 17, 2014. Msanii huyo, amefariki leo saa nne asubuhi baada ya kuugua kwa muda mrefu. Kwa mujibu wa familia, taarifa zaidi za mazishi…
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL
SHERRY MAGALI AUGUA, AKONDA
11 years ago
GPL
SHERRY MAGALI APATA AJALI AKIENDA MSIBANI
11 years ago
GPL
MWILI WA SHERRY MAGALI WAAGWA NA KUZIKWA JANA MOROGORO
11 years ago
CloudsFM21 Oct
MSANII YP AFARIKI DUNIA
Msanii aliyekuwa mkali wa Bongo Fleva, YP kutoka kundi la wanaume Family amefariki dunia usiku wa kuamkia leo.
Meneja wa kundi hilo Said Fella amethibitisha kutokea kwa msiba wa msanii huyo, aliyefariki kwa maradhi ya kifua katika hospitali ya Temeke, Dar es Salaam.
11 years ago
GPL
11 years ago
GPL
MSIBA: MTANGAZAJI BEN KIKO AFARIKI DUNIA
11 years ago
GPL
MSIBA: MCD WA TWANGA PEPETA AFARIKI DUNIA!
11 years ago
GPLMSIBA: MKUU WA WILAYA YA KALAMBO AFARIKI DUNIA
11 years ago
GPL
MSIBA! MPIGA PICHA MKONGWE WA TV AFARIKI DUNIA!