Rais Kikwete Amlilia Kombani
Rais Jakaya Kikwete amemtumia salamu za rambirambi Waziri Mkuu, Mizengo Pinda kufuatia Kifo cha aliyekuwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Celina Ompeshi Kombani aliyefariki Dunia Septemba 24, mwaka huu katika Hospitali ya Apollo Nchini India alikokuwa akipatiwa matibabu ya ugonjwa wa Kongosho.
Rais kikwete katika ujumbe wake amesema, Kombani alikuwa Mama mchapakazi, hodari na aliyependa ushirikiano na kuwapa pole Wananchi wa Ulanga pamoja na wafanyakazi wa...
StarTV
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo06 Oct
Rais Kikwete amlilia Dk Shija
RAIS Jakaya Kikwete ameelezea huzuni na masikitiko yake kuomboleza kifo cha aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Mabunge ya Nchi za Jumuiya ya Madola (CPA), Dk William Shija.
9 years ago
Habarileo13 Sep
Rais Kikwete amlilia Mngodo
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Kikwete amemtumia salamu za rambirambi Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Dk Fenella Mukangara, kutokana na kifo cha mtangazaji wa habari mkongwe, Godfrey Mngodo aliyefariki dunia Dar es Salaam jana.
11 years ago
Tanzania Daima14 Mar
Rais Kikwete amlilia Askofu Lukanima
RAIS Jakaya Kikwete amemtumia salamu za rambirambi Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo na Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC) kutokana na kifo cha Mhashamu Askofu mstaafu Fortunatus Lukanima, aliyekuwa Askofu wa...
11 years ago
Mwananchi26 Feb
Yombayomba amlilia Rais Kikwete amrudishe kazini
11 years ago
Michuzi15 Apr
JK RAIS KIKWETE AMLILIA MAALIM GURUMO, ATUMA SALAMU ZA RAMBIRAMBI
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-dk3079bPpCc/VgWcEG4QVZI/AAAAAAAH7Mc/cew110LglNk/s72-c/tt.png)
RAIS KIKWETE AOMBOLEZA KIFO CHA WAZIRI CELINE OMPESHI KOMBANI
![](http://1.bp.blogspot.com/-dk3079bPpCc/VgWcEG4QVZI/AAAAAAAH7Mc/cew110LglNk/s640/tt.png)
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete amemtumia salamu za Rambirambi Waziri Mkuu Mheshimiwa Mizengo Peter Kayanza Pinda, kufuatia kifo cha Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma Mheshimiwa Celine Ompeshi Kombani.“Pokea rambirambi zangu za dhati, sote kwa pamoja tumepoteza mama mchapakazi, hodari na aliyependa kushirikiana na wenzake katika kazi zake, hakika tutamkumbuka siku zote” Rais Amesema.Rais Pia...
11 years ago
Mwananchi26 May
Kikwete amlilia Mwandishi wa habari Mlimani
9 years ago
VijimamboMAKAMU WA RAIS DK. BILAL AONGOZA MAZISHI YA WAZIRI WA NCHI OFISI YA RAIS MENEJIMENTI YA TUMISHI WA UMMA MAREHEMU CELINA KOMBANI LEO
9 years ago
Habarileo17 Oct
Kikwete amlilia Makaidi, awapa pole NLD
RAIS Jakaya Kikwete amekitumia Chama cha National League for Democracy (NLD) salamu za rambirambi kuomboleza kifo cha Mwenyekiti wa Taifa wa chama hicho, Dk Emmanuel Makaidi ambaye ameaga dunia katika Hospitali ya Mkoa wa Lindi.