Rais Kikwete amlilia Askofu Lukanima
RAIS Jakaya Kikwete amemtumia salamu za rambirambi Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo na Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC) kutokana na kifo cha Mhashamu Askofu mstaafu Fortunatus Lukanima, aliyekuwa Askofu wa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo13 Sep
Rais Kikwete amlilia Mngodo
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Kikwete amemtumia salamu za rambirambi Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Dk Fenella Mukangara, kutokana na kifo cha mtangazaji wa habari mkongwe, Godfrey Mngodo aliyefariki dunia Dar es Salaam jana.
10 years ago
Habarileo06 Oct
Rais Kikwete amlilia Dk Shija
RAIS Jakaya Kikwete ameelezea huzuni na masikitiko yake kuomboleza kifo cha aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Mabunge ya Nchi za Jumuiya ya Madola (CPA), Dk William Shija.
9 years ago
StarTV26 Sep
Rais Kikwete Amlilia Kombani
Rais Jakaya Kikwete amemtumia salamu za rambirambi Waziri Mkuu, Mizengo Pinda kufuatia Kifo cha aliyekuwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Celina Ompeshi Kombani aliyefariki Dunia Septemba 24, mwaka huu katika Hospitali ya Apollo Nchini India alikokuwa akipatiwa matibabu ya ugonjwa wa Kongosho.
Rais kikwete katika ujumbe wake amesema, Kombani alikuwa Mama mchapakazi, hodari na aliyependa ushirikiano na kuwapa pole Wananchi wa Ulanga pamoja na wafanyakazi wa...
11 years ago
Mwananchi26 Feb
Yombayomba amlilia Rais Kikwete amrudishe kazini
11 years ago
Michuzi15 Apr
JK RAIS KIKWETE AMLILIA MAALIM GURUMO, ATUMA SALAMU ZA RAMBIRAMBI
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-a2RG-jS2I9k/VSq4gg4iU7I/AAAAAAAHQvg/7UGDlzDo4jU/s72-c/unnamed%2B(11).jpg)
RAIS DKT JAKAYA MRISHO KIKWETE AKIMPONGEZA ASKOFU MPAYA
![](http://4.bp.blogspot.com/-a2RG-jS2I9k/VSq4gg4iU7I/AAAAAAAHQvg/7UGDlzDo4jU/s1600/unnamed%2B(11).jpg)
---------------------------------Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete leo, Jumapili, Aprili 12, 2015 ameungana na maelfu ya waumini wa Kanisa Katoliki, Jimbo la Shinyanga, kuhudhuria Ibada rasmi ya kumweka wakfu na kumsimika...
10 years ago
Dewji Blog24 Feb
Rais Kikwete amtumia salamu za pongezi Askofu mpya wa Jimbo Katoliki Shinyanga
Padre Liberatus Sangu wa Jimbo Katoliki la Sumbawanga aliyeteuliwa kuwa Askofu Mpya wa Jimbo Katoliki la Shinyanga.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete amemtumia Salamu za Pongezi Rais wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (T.E.C) na Askofu wa Jimbo Katoliki la Iringa, Mhashamu Baba Askofu Tarcisius Ngalalekumtwa, kufuatia uteuzi uliofanywa na Baba Mtakatifu Francis, wa Padre Liberatus Sangu wa Jimbo Katoliki la Sumbawanga kuwa Askofu Mpya wa...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-EJT_d-A3qMY/VGiP7LfYmRI/AAAAAAAANF8/M_bI1SfMxXo/s72-c/JK_aombewa%2Bcopy.jpg)
ASKOFU CHARLES GADI, AONGOZA IBADA YA KUMUOMBEA RAIS JAKAYA KIKWETE NAFUU YA HARAKA
![](http://2.bp.blogspot.com/-EJT_d-A3qMY/VGiP7LfYmRI/AAAAAAAANF8/M_bI1SfMxXo/s640/JK_aombewa%2Bcopy.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-lzhKJlWzYUg/VGiSjSkBoiI/AAAAAAAANGI/qCZMg7Wu6Uk/s640/bag.jpg)