Rais Kikwete amlilia Dk Shija
RAIS Jakaya Kikwete ameelezea huzuni na masikitiko yake kuomboleza kifo cha aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Mabunge ya Nchi za Jumuiya ya Madola (CPA), Dk William Shija.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV26 Sep
Rais Kikwete Amlilia Kombani
Rais Jakaya Kikwete amemtumia salamu za rambirambi Waziri Mkuu, Mizengo Pinda kufuatia Kifo cha aliyekuwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Celina Ompeshi Kombani aliyefariki Dunia Septemba 24, mwaka huu katika Hospitali ya Apollo Nchini India alikokuwa akipatiwa matibabu ya ugonjwa wa Kongosho.
Rais kikwete katika ujumbe wake amesema, Kombani alikuwa Mama mchapakazi, hodari na aliyependa ushirikiano na kuwapa pole Wananchi wa Ulanga pamoja na wafanyakazi wa...
9 years ago
Habarileo13 Sep
Rais Kikwete amlilia Mngodo
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Kikwete amemtumia salamu za rambirambi Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Dk Fenella Mukangara, kutokana na kifo cha mtangazaji wa habari mkongwe, Godfrey Mngodo aliyefariki dunia Dar es Salaam jana.
11 years ago
Tanzania Daima14 Mar
Rais Kikwete amlilia Askofu Lukanima
RAIS Jakaya Kikwete amemtumia salamu za rambirambi Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo na Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC) kutokana na kifo cha Mhashamu Askofu mstaafu Fortunatus Lukanima, aliyekuwa Askofu wa...
11 years ago
Mwananchi26 Feb
Yombayomba amlilia Rais Kikwete amrudishe kazini
11 years ago
Michuzi15 Apr
JK RAIS KIKWETE AMLILIA MAALIM GURUMO, ATUMA SALAMU ZA RAMBIRAMBI
10 years ago
MichuziRAIS KIKWETE ATOA SALAMU ZA RAMBIRAMBI KUFUATIA KIFO CHA KATIBU MKUU WA CPA, DKT. SHIJA
Dkt. Shija aliyefariki dunia Jumamosi asubuhi mjini London, Uingereza, ambacho ndicho kilikuwa kituo chake cha kazi, alisomea na kuwa mhadhiri wa uandishi wa habari kabla ya kuwa mbunge wa Sengerema kwa miaka 15 mfululizo na Waziri Mwandamizi wa Serikali...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-_i1ghNbU8xM/VDpavLrUQTI/AAAAAAAGpfU/Q4dSsHFhhjo/s72-c/s1.jpg)
RAIS KIKWETE AONGOZA SHUGHULI YA KUAGA MWILI WA DKT SHIJA VIWANJA VYA KARIMJEE JIJINI DAR ES SALAAM LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-_i1ghNbU8xM/VDpavLrUQTI/AAAAAAAGpfU/Q4dSsHFhhjo/s1600/s1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-2Kg735QKSYo/VDpaw82f0_I/AAAAAAAGpfc/Cau2ahdQNZg/s1600/s2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-CrCtxSMl_L0/VDqPGQpDPnI/AAAAAAAGpjo/uEqGwm-qJEA/s1600/s3.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-_i1ghNbU8xM/VDpavLrUQTI/AAAAAAAGpfU/Q4dSsHFhhjo/s72-c/s1.jpg)
RAIS KIKWETE AONGOZA WAOMBOLEZAJI KUTOA HESHIMA ZA MWISHO KWA MWILI WA MAREHEMU DKT WILLIAM SHIJA LEO JIJINI DAR ES SALAAM
![](http://2.bp.blogspot.com/-_i1ghNbU8xM/VDpavLrUQTI/AAAAAAAGpfU/Q4dSsHFhhjo/s1600/s1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-2Kg735QKSYo/VDpaw82f0_I/AAAAAAAGpfc/Cau2ahdQNZg/s1600/s2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-CrCtxSMl_L0/VDqPGQpDPnI/AAAAAAAGpjo/uEqGwm-qJEA/s1600/s3.jpg)
10 years ago
Dewji Blog12 Oct
Rais Jakaya Kikwete na Makamu wake, Dkt. Bilal wawaongoza wananchi kuaga mwili wa marehemu William Shija viwanja vya Karimjee Dar leo
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mrisho Jakaya Kikwete, akitoa heshima za mwisho mbele ya Jeneza lenye mwili wa aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Mabunge ya Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Madola, marehemu Dkt. William Shija, wakati wa zoezi la kuagwa mwili lililofanyika kwenye Viwanja vya Karimjee jijini Dar es Salaam, leo Oktoba 12, 2014. (Picha na OMR).
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mrisho Jakaya Kikwete, akiwafariji wanafamilia wa aliyekuwa Katibu Mkuu wa...