Mazishi ya kiongozi wa kikosi cha wataalamu wa China katika mpango wa ushirikiano wa ujenzi wa uwanja wa taifa na uwanja wa Uhuru
Mke wa marehemu Eng. QI XIN wa pili kutoka kulia akitoa heshima zake za mwisho katika mazishi ya mume wake ambaye alikuwa Kiongozi wa Kikosi cha Wataalam wa kichina katika mpango wa Ushirikiano katika ujenzi wa Uwanja wa Taifa na Uwanja wa Uhuru akiuaga mwili wa mpendwa wake katika mazishi yaliyofanyika jijini Dar es Salaam Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Bi. Sihaba Nkinga wa kwanza kushoto akitoa heshima zake za mwisho kwa mwili wa marehemu Eng. QI XIN ambaye...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
CloudsFM10 Dec
SHEREHE ZA UHURU ZILIVYOFANA UWANJA WA TAIFA
RAIS Jakaya Kikwete ameongoza Watanzania katika kuadhimisha miaka 53 ya Uhuru wa Tanganyika, huku msisitizo katika sherehe hizo ukiwa ni kuwataka kutokubali kurubuniwa na kuharibu amani iliyopo na badala yake waidumishe na kujituma.
Pia baadhi ya viongozi walioshiriki maadhimisho hayo wamepongeza juhudi za Rais Kikwete katika kusimamia mchakato wa Katiba hadi kufikia hatua ya kupigiwa kura ya maoni, na kuwataka wananchi kujitokeza kuipigia kura Katiba hiyo Inayopendekezwa kwa kuwa inajali...
5 years ago
MichuziCHINA YAANZA UJENZI UWANJA WA MPIRA UTAKAOGHARIMU DOLA BILIONI 1.7
Na Leandra Gabriel, Michuzi TV
WAKATI vizuizi vikipungua nchini China ikiwa ni sehemu ya kupambana na virusi vya Corona (Covid -19) klabu moja ya mpira wa miguu nchini humo imeeleza nia yake ya kurudisha mambo katika hali ya kawaida.
Klabu ya Guangzhou Evergrande imetangaza kuanza kazi ya kujenga uwanja wa mpira utakaobeba watazamaji 100,000, na utakua uwanja mkubwa zaidi ulimwenguni.
Imeelezwa kuwa uwanja huo umejengwa katika umbo la ya aina ya lotus utagharimu dola za kimarekani...
10 years ago
Vijimambo06 Dec
MASHINDANO YA WAZI YA UBINGWA WA TAIFA YANAVYO ENDELEA KATIKA UWANJA WA NDANI WA TAIFA
11 years ago
Michuzi11 years ago
Michuziwafanyakazi wa tanzania standard newspapers watia fora katika maandamano ya mei mosi katika uwanja wa uhuru jijini dar es salaam
11 years ago
MichuziMaandamano katika sherehe za mei mosi uwanja wa uhuru jijini dar es salaam
5 years ago
BBCSwahili13 Feb
Daniel Toroitich arap Moi: Maelfu ya Wakenya na viongozi tofauti wahudhuria ibada ya mazishi katika uwanja wa Nyayo Nairobi
9 years ago
Dewji Blog13 Oct
Picha kutoka uwanja wa Jamhuri Dodoma: Kilele cha mbio za Mwenge wa Uhuru kesho Oktoba 14!
11 years ago
GPLRAIS JK AWASILI UWANJA WA UHURU KUONGOZA MAADHIMISHO YA MIAKA 52 YA UHURU WA TANGANYIKA