MAZISHI YA MRAKIBU WA POLISI CAPT.KIDAI SENZALA ALIYEFARIKI KATIKA AJALI YA HEKOPTA DAR ES SALAAM
![](http://2.bp.blogspot.com/-gXcoiEzJLEQ/VH8C_XjtKxI/AAAAAAAAZAg/oABAYMYYA5E/s72-c/IMG-20141203-WA0016.jpg)
Maafisa wa Polisi wakiwa wamebeba sanduku lililohifadhi mwili wa Marehemu Capt. Kidai Senzala Kalise aliyefariki Novemba 29 mwaka huu katika ajali ya Helkopta iliyotokea Kipunguni B-Moshi Bar Dar es Salaam wakielekea katika makaburi ya familia huko Gonja Maore Wilaya ya Same mkoa wa Kilimanjaro Desemba 1, 2014.
Marehemu Kidai alikuwa Mrakibu wa Polisi na alizikwa kwa heshima zote za Kipolisi ikiwa ni kupigiwa mizinga na saluti mbalimbali za kipolisi kabla na baada ya maziko yake.
Helkopta...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-gXcoiEzJLEQ/VH8C_XjtKxI/AAAAAAAAZAg/oABAYMYYA5E/s72-c/IMG-20141203-WA0016.jpg)
MAZISHI YA MRAKIBU WA POLISI CAPT.KIDAI SENZALA ALIYEFARIKI KATIKA AJALI YA HELKOPTA DAR ES SALAAM
![](http://2.bp.blogspot.com/-gXcoiEzJLEQ/VH8C_XjtKxI/AAAAAAAAZAg/oABAYMYYA5E/s1600/IMG-20141203-WA0016.jpg)
Marehemu Kidai alikuwa Mrakibu wa Polisi na alizikwa kwa heshima zote za Kipolisi ikiwa ni kupigiwa mizinga na saluti mbalimbali za kipolisi kabla na baada ya maziko...
10 years ago
Dewji Blog04 Dec
Mazishi ya Mrakibu wa Polisi Capt.Kidai Senzala aliyefariki katika ajali ya Helikopta Dar
![](http://2.bp.blogspot.com/-gXcoiEzJLEQ/VH8C_XjtKxI/AAAAAAAAZAg/oABAYMYYA5E/s1600/IMG-20141203-WA0016.jpg)
Maafisa wa Polisi wakiwa wamebeba sanduku lililohifadhi mwili wa Marehemu Capt. Kidai Senzala Kalise aliyefariki Novemba 29 mwaka huu katika ajali ya Helkopta iliyotokea Kipunguni B-Moshi Bar Dar es Salaam wakielekea katika makaburi ya familia huko Gonja Maore Wilaya ya Same mkoa wa Kilimanjaro Desemba 1, 2014.
Marehemu Kidai alikuwa Mrakibu wa Polisi na alizikwa kwa heshima zote za Kipolisi ikiwa ni kupigiwa mizinga na saluti mbalimbali za kipolisi kabla na baada ya maziko yake.
Helkopta...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-HVsJMGImD_U/VA8xDSU_2pI/AAAAAAAGiQM/L2CK91YSXw4/s72-c/ae686fcdda19248aa327d70e25fb915e.jpg)
Askari wa Usalama barabarani aliyefariki katika ajali kisarawe aagwa leo, mwili wake wasafirishwa kwenda bunda kwa mazishi
![](http://3.bp.blogspot.com/-HVsJMGImD_U/VA8xDSU_2pI/AAAAAAAGiQM/L2CK91YSXw4/s1600/ae686fcdda19248aa327d70e25fb915e.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-yzAqCtCPeQ4/VHogkEz8_bI/AAAAAAAAY9g/9Fz9uehhpnQ/s72-c/CAPT%2BKIDAI.jpg)
TANGAZO LA MSIBA WA KEPTENI-SP. KIDAI SENZALA KALUSE
![](http://3.bp.blogspot.com/-yzAqCtCPeQ4/VHogkEz8_bI/AAAAAAAAY9g/9Fz9uehhpnQ/s1600/CAPT%2BKIDAI.jpg)
Familia ya Mzee Senzala Kaluse wa Kimara Mwisho Dar es Salaam, inasikitika kutangaza kifo cha mtoto wao KIDAI SENZALA KALUSE kilichotokea Novemba 29, 2014 Saa 4 asubuhi kwa ajali ya Helkopta huko Kipunguni B, Moshi Bar Dar es Salaam.
Mipango ya mazishi inafanyika nyumbani kwa baba yake Mzee Kaluse, Kimara Mwisho. Habari ziwafikie, Ukoo wote wa Warutu, Ukoo wa Kaluse, Ukoo wa Mroki, Familia yote ya Timothy Nathan, Ukoo wa Kajiru...
10 years ago
Dewji Blog30 Nov
Tangazo la msiba wa Kepteni — Sp. Kidai Senzala Kaluse
![](http://3.bp.blogspot.com/-yzAqCtCPeQ4/VHogkEz8_bI/AAAAAAAAY9g/9Fz9uehhpnQ/s1600/CAPT%2BKIDAI.jpg)
Mrakibu wa Polisi-Captain Kidai Senzala Kaluse enzi za uhai wake.
Familia ya Mzee Senzala Kaluse wa Kimara Mwisho Dar es Salaam, inasikitika kutangaza kifo cha mtoto wao KIDAI SENZALA KALUSE kilichotokea Novemba 29, 2014 Saa 4 asubuhi kwa ajali ya Helkopta huko Kipunguni B, Moshi Bar Dar es Salaam.
Mipango ya mazishi inafanyika nyumbani kwa baba yake Mzee Kaluse, Kimara Mwisho. Habari ziwafikie, Ukoo wote wa Warutu, Ukoo wa Kaluse, Ukoo wa Mroki, Familia yote ya Timothy Nathan, Ukoo wa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/lfASdeYLW4eZtEKUe7ap4cOrUMdXH4L7Q-EXC5**qcvK3MBhEEFXe5108NTHL0dBNJneTSmm3mArhdyv6NQqjcwcHAl6nN8h/1.jpg?width=650)
MAZISHI YA MWANAMKE ALIYEFARIKI KWENYE AJALI MBAYA MANZESE
11 years ago
MichuziASKARI POLISI WALIOFARIKI KATIKA AJALI YA GARI WAAGWA LEO MKOANI DODOMA TAYALI KWA MAZISHI
Akiongea kwa masikitiko Kamishna Msaidi Mwandamizi wa Polisi DAVID MISIME amewashukuru watu waliojitokeza kuungana pamoja kuaga miili ya Askari hao.
Pia amewataka madereva wote kuwa waangalifu wanapokuwa wanaendesha vyombo vya moto na kuzingatia sheria za usalama barabarani ili kuepuka ajali zinazoweza kujitokeza za namna hii.
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/sUP0ZTFjzlQ/default.jpg)
11 years ago
Michuzi08 Mar