Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAZISHI YA MSANII WA FUTUHI MZEE DUDE OMARY

Mwili wa   marehemu Omary Majuto maarufu kwa jina la Mzee Dude aliyefariki jana jioni ukiombewa duwa. Kwa mapenzi mema na urafiki hata watoto wadogo walishiriki kuweka mchanga kuusitiri mwili wa aliyekuwa mwigizaji wa kundi la uchekeshaji wa luninga la FUTUHI marehemu Omary Majuto maarufu kwa jina la Mzee…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

MSANII WA FILAMU SALMA OMARY ASHEREHEKEA ‘BIRTHDAY’ YA MAMA YAKE

Mama Sabby, Bi. Hidaya akikata keti na Sabby akiwa kushoto kwake. Sabby akimlisha keki mama yake.…

 

10 years ago

Michuzi

DKT. SHEIN AONGOZA WAOMBOLEZAJI KWENYE MAZISHI YA MUASISI WA CCM MZEE MAKAME MZEE SULEWIMAN,UNGUJA

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein (wa tatu kulia) akijumuika na Waislamu na Viongozi katika Kumswalia aliyekuwa Mwenyekiti wa Wazee wa CCM Marehemu Mzee Makame Mzee Suleiman katika Msikiti wa Ijumaa Mgenihaji Wilaya ya Kati Mkoa wa Kusini Unguja Marehemu alifariki jana Nyumbani kwake Amani Mjini Unguja . Wananchi na Waislamu wakilibeba Jeneeza la Marehemu Mzee Makame Mzee Suleiman aliyekuwa Mwenyekitiwa Wazee wa CCM na kuzikwa lao kijijini...

 

11 years ago

GPL

MZEE DUDE AFARIKI DUNIA

Mzee Dude enzi za uhai wake. MSANII wa kundi maarufu la vichekesho na uigizaji la Futuhi, Mzee Dude amefariki dunia akiwa katika Hospitali ya Rufaa Bugando iliyopo jijini Mwanza leo jioni! Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi.…

 

11 years ago

Tanzania Daima

MCD, Mzee Dude hatuko nao tena

TASNIA ya sanaa hapa nchini imepata pigo baada ya kuondokewa na wasanii wawili, Soud Mohamed ‘MCD’ wa bendi ya African Stars ‘Twanga Pepeta’ na  Mzee Dude wa kundi la vichekesho...

 

11 years ago

GPL

MAZISHI YA MZEE SMALL

Mazishi ya gwiji la maigizo nchini, Said Ngamba 'Mzee Small' yaliyofanyika katika makaburi ya Tabata, Segerea jijini Dar Juni 9, 2014  na kuhudhuriwa na mamia ya watu. Awali Rais Jakaya Kikwete alifika nyumbani kwa marehemu,Tabata kutoa pole kwa familia ya Mzee…

 

10 years ago

Vijimambo

MAZISHI YA MSANII MABOVU IRINGA JANA

Waombolezaji wakiwa wamebeba jeneza la msanii Mabovu kutoka msikiti wa Mwangata kwenda makaburi ya Mlolo Iringa siku ya jana.Msafara wa magari kuelekea makaburini.kwa picha zaidi bofya soma zaidiMwili wa marehemu Mabovu ukiwekwa sawa kabla ya kuzikwa siku ya jana.Waombolezaji wakiuzika mwili wa Mabovu.Msanii Joh Makini akiwa katika mazishi.Wasanii mbalimbali wakiwa katika mazishi ya mabovu jana.Bashiri akiongelea kifo cha Mabovu.Watangazaji wa Radio Ebony Fm waliofika katika mazishi hayo...

 

11 years ago

Mwananchi

JK aongoza mazishi ya Mzee Small

Rais Jakaya Kikwete jana aliongoza mamia ya waombolezaji katika mazishi ya msanii wa kuigiza na vichekesho, Saidi Ngamba ‘Mzee Small’ aliyefariki dunia mwishoni mwa wiki katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), baada ya kuugua kwa muda mrefu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani