MCD, Mzee Dude hatuko nao tena
TASNIA ya sanaa hapa nchini imepata pigo baada ya kuondokewa na wasanii wawili, Soud Mohamed ‘MCD’ wa bendi ya African Stars ‘Twanga Pepeta’ na Mzee Dude wa kundi la vichekesho...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
MZEE DUDE AFARIKI DUNIA
11 years ago
GPL![](http://3.bp.blogspot.com/-iEypq2Hg1oI/UujPQOaY9yI/AAAAAAAATnA/BDoqvAFWwKk/s640/A.jpg)
MAZISHI YA MSANII WA FUTUHI MZEE DUDE OMARY
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8pnqwPqNt2OkcDeUhB4GEtmkonyaIilvKJYB*DbjXRdKNzGT33gQUL-gq9Iwk60OukLCryzHGHx9HU9J37JiNXY5ufDsnRij/dude.jpg?width=650)
DUDE ‘APIGWA’ TENA!
10 years ago
Bongo Movies03 Mar
Bongo Dar-Es-Salaam ya Dude Kurudi Tena Hivi Karibuni!!
Kipindi cha mchezo wa maigizo cha Bongo Dar es Salaam kilichojizolea mashabiki na watazamaji wengi kinalejea tena hivi karibuni baada ya kusimama kwa zaidi ya miaka mitatu.
Mwigizaji Kulwa Kikumba “Dude” ambae ni muigizaji mkuu na mmiliki wa kipindi hicho amewadokeza mashabiki wake mtandaono na kuwa kipindi kitakuwa hewani hivi karibuni na kuweka baadhi ya picha akiwa lokesheni wakifanya kazi huku akimtaja muigizaji Haji Adam kuwa ni moja ya staa atakaefanya nae kazi.
Bila shaka wengi...
10 years ago
VijimamboHARAMBEE YA MZEE EDDIS MGAWE DMV DOLA 3,000 ZAPATIKANA, WATANZANIA OKLAHOMA NAO WACHANGA JUMLA YA MICHANGO NI 13,1OO
Mary Mgawe(kuli) akiwa mwenye huzuni huku akilia kwa uchungu wa kufiwa na mpendwa baba yake marehemu mzee Eddis Mgawe aliyefariki siku ya Jumapili March 29, 2015 usiku , kushoto ni Jasmine Rubama akimfariji wakati wakiwa kwenye harambee iliyofanyika siku ya Jumatano na kuwezesha kukusanya jumla ya dola 3,000 na kufanya jumla ya fedha zilichangishwa wakiwemo wanaDMV na Watanzania Oklahoma kufikia dola 13,100 lengo lilikua 13,955 kiasi kilichobaki ni dola 855 Familia na kamati inatoa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
MAJANGA TENA; MZEE SMALL AFARIKI DUNIA
10 years ago
Mtanzania05 May
ADC: Hatuko tayari kujiunga na Ukawa
NA AZIZA MASOUD, TANGA
CHAMA cha siasa cha ADC, kimesema hakiwezi kujiunga na Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) kwa kuwa umoja huo una lengo la kuua vyama vidogo vya siasa.
Akizungumza katika viwanja vya Kwediboma wilayani Kilindi, mkoani Tanga juzi, Mwenyekiti wa Taifa wa chama hicho, Said Miraji, alisema Ukawa wana lengo la kuvidhoofisha vyama vidogo kupitia mpango wao wa kugawana majimbo kwa sera ya maeneo wanayokubalika.
“Ukawa wameonyesha udhaifu mkubwa wa kugawana majimbo kwa hoja ya...