DUDE ‘APIGWA’ TENA!
![](http://api.ning.com:80/files/8pnqwPqNt2OkcDeUhB4GEtmkonyaIilvKJYB*DbjXRdKNzGT33gQUL-gq9Iwk60OukLCryzHGHx9HU9J37JiNXY5ufDsnRij/dude.jpg?width=650)
Stori: Gladness Mallya MGANGA hajigangi! Licha ya kuwa msanii mahiri anayeelimisha jamii jinsi ya kugundua utapeli na kuepukana nao, Kulwa Kikumba ‘Dude’ ameibiwa ‘kupigwa’ vifaa vya saluni na vibaka. Msanii mahiri Kulwa Kikumba ‘Dude’. Akistorisha na mwanahabari wetu, Dude alisema juzikati vibaka hao walipanda kwenye dari na kukata ‘celling board’ kisha kuingia ndani ya...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima29 Jan
MCD, Mzee Dude hatuko nao tena
TASNIA ya sanaa hapa nchini imepata pigo baada ya kuondokewa na wasanii wawili, Soud Mohamed ‘MCD’ wa bendi ya African Stars ‘Twanga Pepeta’ na Mzee Dude wa kundi la vichekesho...
10 years ago
Bongo Movies03 Mar
Bongo Dar-Es-Salaam ya Dude Kurudi Tena Hivi Karibuni!!
Kipindi cha mchezo wa maigizo cha Bongo Dar es Salaam kilichojizolea mashabiki na watazamaji wengi kinalejea tena hivi karibuni baada ya kusimama kwa zaidi ya miaka mitatu.
Mwigizaji Kulwa Kikumba “Dude” ambae ni muigizaji mkuu na mmiliki wa kipindi hicho amewadokeza mashabiki wake mtandaono na kuwa kipindi kitakuwa hewani hivi karibuni na kuweka baadhi ya picha akiwa lokesheni wakifanya kazi huku akimtaja muigizaji Haji Adam kuwa ni moja ya staa atakaefanya nae kazi.
Bila shaka wengi...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/UxG8FbEp4za7-rcy2WqNQL3NtuCreaencEjsJDnYwEwKpG1Td2zQx4W4WqK-88Dej8FiVhRJP05iYhyNVUy1lpwhFHM9DpQ4/auntlulu.gif)
AUNT LULU APIGWA TENA NA BWANA’KE
11 years ago
Bongo502 Aug
Chris Brown apigwa chini tena na mpenzi wake Karrueche Tran kisa Rihanna!
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-DsSJUFIPPtc/Xq7WHqwzv8I/AAAAAAALo84/qnVgaiOfIDI8MHXTwl3Nq28RgETUkwouQCLcBGAsYHQ/s72-c/acastro_200311_3936_coronavirus_0002.0.7.jpg)
WATANZANIA NAOMBA KUANZIA SASA CORONA AWE RAFIKI YETU...KWELI TENA , ASIWE ADUI TENA
![](https://1.bp.blogspot.com/-DsSJUFIPPtc/Xq7WHqwzv8I/AAAAAAALo84/qnVgaiOfIDI8MHXTwl3Nq28RgETUkwouQCLcBGAsYHQ/s640/acastro_200311_3936_coronavirus_0002.0.7.jpg)
Na Said Mwishehe, Michuzi TV
CORONA mambo vipi? Natumai uko salama na unaendelea vema na majukumu yako ya kila siku hapa duniani tangu ulipokuja Desemba mwaka 2019.
Karibu Corona, karibu Duniani, karibu kila unapotaka kuingia. Ndio karibu Corona maana umekuja na malengo yako.
Malengo ya kuua maelfu ya binadamu. Sawa Corona maana ndicho unachoona kwetu sisi.
Dunia inalia tangu ulipokuja na kuanza kuua watu wasio na hatia. Umetutia majonzi makubwa sana, tunalia kwa ajili yako, wengi wamepoteza...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/agg6MtdmQC2MYEJXe1yARBywn3BlfZIPG9UuEHEbrCaEASQ52tm2hJINX2but0rw6Bl18TSuaKNIyVYXUT59tj9EWFHdDIiH/DUDE.jpg)
DUDE
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/wxWEJX1q6dZm7n59oSA-GAm0wuYVnAIgsdEHkE4uxwuGHrO028zevfbZqKPwP*buwZSHuIh-kz4rmIOcqEgASPOvQMMANHan/mastaa.jpg?width=600)
MASTAA WAMBWATUKIA DUDE
10 years ago
Bongo Movies16 Jun
Dude Alaumu Viwango 0
Dude alaumu wasanii wenzake kwa kutoa utitiri wa filamu zisizo na viwango na kusema anataka kuleta mabadiliko katika filamu yake mpya, baada ya kukaa muda mrefu bila kutoa sinema.
Dude alisema wasanii wengi wa filamu nchini wana vipaji lakini wanashindwa kuvitumia ipasavyo kutokana na kuandika miswada ya filamu ambazo hazina elimu yoyote kwa jamii.
Mbali na miswada mibovu , Dude amesema pia wasanii wengi wana tatizo la kuingiza mambo binafsi ambayo hayaendani na hadithi yenyewe...