Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MASTAA WAMBWATUKIA DUDE

Stori: Gladness Mallya
WASANII wa kike wanaotamba kwenye filamu za Kibongo, hivi karibuni wamembwatukia staa mwenzao, Kulwa Kikumba ‘Dude’ na kuipinga kauli yake kwamba mastaa wengi wa kike wametokea kwenye uchangudoa na kuvamia tasnia hiyo, shuka na mistari uipate habari hii. Kulwa Kikumba ‘Dude’. Wakizungumza na Risasi Jumamosi, mastaa hao wamemtaka Dude kuacha tabia ya kuropoka kwani kauli yake...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

MASTAA WENGI WANA NGOMA - DUDE

Staa wa Filamu za Kibongo, Kulwa Kikumba ‘Dude’. Na Hamida Hassan Staa wa Filamu za Kibongo, Kulwa Kikumba ‘Dude’ ameibuka na kusema kuwa kuelekea mwisho wa mwaka mastaa wengi wana ngoma na mbaya zaidi wanaambukizana wao kwa wao.
Akizungumza na Ijumaa,  Dude alisema kuwa mastaa wazima ni wa kuhesabika na kutaja sababu kubwa kuwa ni kubadilishana na kuibiana wapenzi bila kuwa na woga ....

 

10 years ago

Bongo Movies

DUDE:Mastaa Wengi Wana Ngoma

Mwigizaji na muongozaji wa Filamu za Kibongo, Kulwa Kikumba ‘Dude’ ameibuka na kusema kuwa kuelekea mwisho wa mwaka mastaa wengi wana ngoma na mbaya zaidi wanaambukizana wao kwa wao.

Akizungumza na GPL,  Dude alisema kuwa mastaa wazima ni wa kuhesabika na kutaja sababu kubwa kuwa ni kubadilishana na kuibiana wapenzi bila kuwa na woga .

“Utakuta Mbongo Fleva ana mtu kwenye Bongo Muvi na Mbongo Muvi ana mtu kwenye dansi au kwa mamis au hata wacheza mpira, ukitaka kuujua ukweli tangaza dau...

 

10 years ago

GPL

ISHU YA MASTAA KUJIUZA CATHY AWALAUMU MASTAA WA KIUME

Na Mayasa Mariwata
MKONGWE kwenye tasnia ya filamu Bongo, Subrina Rupia ‘Cathy’ amewalaumu vikali mastaa wa kiume Bongo kuwa ndiyo chanzo kikubwa cha tasnia kutawaliwa na mastaa wa kike wanaojiuza. Mkongwe kwenye tasnia ya filamu Bongo, Subrina Rupia ‘Cathy’ Akizungumzia kuhusiana na kuwepo kwa madai ya wasanii wa kike Bongo Movie kujiuza, Cathy alisema hawezi kuweka wazi kama anawajua wahusika au...

 

11 years ago

GPL

DUDE

Stori: Gladness Mallya
Msanii wa filamu Bongo, Kulwa Kikumba ‘Dude’ ameeleza sababu ya baadhi ya wasanii kuutenga msiba Saidi Ngamba ‘Mzee Small’ akidai kuwa wengi waliona aibu kutokana na walivyomtenga alipokuwa akiumwa. Msanii wa filamu Bongo, Kulwa Kikumba ‘Dude’. Akizungumza na Ijumaa hivi karibuni, Dude alisema: “Wasanii wengi tumeona aibu kuja hata kwenye maandalizi kutokana...

 

10 years ago

Bongo Movies

Dude Alaumu Viwango 0

Dude alaumu wasanii wenzake kwa kutoa utitiri wa filamu zisizo na viwango  na kusema  anataka kuleta mabadiliko katika filamu yake  mpya, baada ya kukaa muda mrefu bila kutoa sinema.

Dude alisema wasanii wengi  wa filamu  nchini  wana vipaji lakini  wanashindwa kuvitumia ipasavyo kutokana na kuandika miswada ya filamu ambazo hazina elimu yoyote kwa jamii.

Mbali na miswada mibovu , Dude amesema pia wasanii wengi wana tatizo la kuingiza mambo binafsi  ambayo hayaendani na  hadithi  yenyewe...

 

9 years ago

Mtanzania

Dude: Mwanaume achagui kazi

dude-534Na George Kayala

MWIGIZAJI, Kulwa Kikumba ‘Dude’, amewataka wanaume kutochagua cha kufanya ili wapate kipato kitakachowawezesha kuendesha familia zao bila usumbufu.

“Nilifanikiwa kuiona filamu ya ‘Yote Njaa’ ina somo kwa wanaume wanaochagua kazi wakati kuna kazi nyingi za kujishughulisha hivyo hakuna sababu ya kuchagua kazi,” alisema Dude

 

11 years ago

GPL

UKATA WAKWAMISHA KAZI ZA DUDE

Na Gladness Mallya
HALI ya uchumi ya mwigizaji Kulwa Kikumba ‘Dude’ imemkwamisha mwigizaji huyo ashindwe kurekodi tamthiliya yake. Kulwa Kikumba ‘Dude’. Akizungumza na paparazi wetu, Dude alikiri kuwa uchumi umemkalia vibaya ambapo aliruhusiwa kupewa muda wa hewani katika Runinga ya East Africa lakini akashindwa kushuti kutokana na majukumu ya kifamilia kumuandama. “Daa we acha tu, mwezi wa...

 

10 years ago

GPL

DUDE ATOA SOMO LA MCHEPUKO

Na Gladness Mallya
STAA wa Mchezo wa Bongo Dar es Salaam, Kulwa Kikumba ‘Dude’ ameibuka na kuwataka wasanii wenzake kuepuka michepuko akidai wengi wao wanaiendekeza. Msanii Kulwa Kikumba 'Dude' akiwa ndani ya ofisi za Global Tv Online.
Akizungumza na paparazi wetu, Dude alisema michepuko ndiyo chanzo cha magonjwa na tasnia nzima ya filamu kuonekana haina maana hivyo ni vyema wasanii wakabadilika kwa kuiga...

 

11 years ago

GPL

DUDE NAYE ALILIA UBUNGE!

Msanii wa maigizo na filamu Bongo, Kulwa Kikumba ‘Dude’. Na Gladness Mallya
WIMBI la wasanii kuingia kwenye siasa limeendelea kushika kasi ambapo awamu hii msanii wa maigizo na filamu Bongo, Kulwa Kikumba ‘Dude’ ametangaza kugombea ubunge kwenye uchaguzi mkuu ujao wa mwaka 2015. ‘Akistorisha’ na paparazi wetu, Dude alisema kutokana na sanaa kutotoa masilahi ipasavyo, ameamua kuingia kwenye...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani